Elections 2010 Waraka wa Waislam Kuhusu Uchaguzi Wakamilika

ila nimefurahi sana kwa uchambuzi lkn wengi mmeagea kwenye udini mka sahau kuwa hiki ndo kipindi cha kuvuna kipato mpaka uchaguzi upite, hakuna udini hapa ni njaa ndo sababu,mwongozo wenyewe watu wemelambwa buku mbili mbili zidisha mara tuliokuwepo utapata jibu tutarajie mengi zaidi,mfano machinga free kila mahali soko uchaguzi ukiisha hawatawi mpoo wanajf!
 
Hii tabia ya kuiga sio nzuri, fanyeni mambo ya msingi na sio kuleta fujo katika nchi hii. Sera za udini hatuzitaki, kama wakritu wameandika waraka wao, kwanini nyinyi muige? Mlikuwa wapi wakati wote???? Huu si uungwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Bwana MaxShimba,(Nimekupa rangi ya kijani kama heshima kwani mimi ni mwana mazingira- Environmentalist)

Asante sana kwa kutukumbushia historia ya baba wa taifa, nafikiri kwa yeyote atakae angalia hiyo picha ya nyerere, kama alikuwa na mtizamo hasi, atarudi nyuma na kujipambambanua.

Lakini na mimi kama mwana JF nitoe mawazo yangu, nafikiri watanzania tusiogope kuona yale yanayokwenda kutokea katika nchi muda si mrefu,(kupatikana kwa UKOMBOZI au UHURU), ingawa nasikitika kusema kuwa lazima tutapitia wakati mugumu kidogo, na pengine wako ambao wanaweza poteza maisha kama ambavyo tayari tulivyokwisha poteza baadhi ya ndugu zetu waliosimama kwa ujasiri kutetea maslahi ya watanzania sina haja ya kuwataja maana badhi yao tunawakumbuka. Ila damu zao zitaendelea kuwapa ujasiri watu wengine kupinga ufisadi au fikra za kidini kama ambavyo serikali hii ya kikwete ilivyojitahidi kupalilia haya mambo.

Ni historia pekee ndio itatufanya aidha tupate ukombozi kwa amani au kwa gharama ya juu(watu kupoteza maisha), Amerika ina misingi yake hivyo hatuwezi kujilinganisha nayo na pia South Afrika nao wanahistoria yao na tunapoona leo hii wanafurahia matunda kuna gharama iliyowahi kulipwa huko nyuma.

Viongozi wetu wa sasa katika serikali hii, nawashukuru sana maana kwa upofu walionao, ndio utakuwa mwanzo wa Tanzania, au Tanganyika mpya kwa yale waliopalilia na sasa yamekomaa. Mimi naona hayo yote yanayotokea katika nchi yetu, zikiwemo nyalaka za wakatoliki au waislamu, au na mambo mengine mengi tu ambayo yametokea katika nchi yetu na tutashuudia mengi yakitokea ni harakati za ukombozi. Ila naomba niweke angalizo kwa wanaotetea dini zao, Mungu hana dini, watu wote wana thamani mbele zake, tena kifo cha mwenye dhambi Mungu hafurahii kabisa, lakini kama mtapenda kuendeleza mijadala ya dini, na nyie pie mjue mnafanya gharama ya kupata uhuru kuzidi kuwa kubwa kwa yale yatakayo tokea hapo mbele. Siwalaumu lakini, ingawa mnachochea mafuta na kuongeza ukali na ugumu wa njia tutakayoipitia na mwisho wa yote, watanzania walio wengi watashinda vita hii.
 
Ule wakwenu mbona unauzwa au hulijuwi hilo?? Na mnalipia kodi kiasi gani??

AljuniorTZ!

Punguza munkari usiwe kama unataka kujilipua hujajibu swali. Waraka wa Waislamu unauzwa shilingi elfu mbili(2000/=) kwa nakala moja. Kama waraka wa Wakatoliki uliuzwa ulikuwa unauzwa shilingi ngapi kwa nakala moja. Swali la pili lilihusu kutaka kujua huo waraka kwa bei hiyo ni waislamu wangapi wenye uwezo wa kununua.
Kama huko Rufiji kwa Wandengereko wajomba zake na JMK wanomnba msaada wa tende wataweza kweli kununua huo waraka. Nakuongezea swali lingine ili ujilipue. Hao akina Ponda wanakubalika kiasi gani kwa Waislamu na mtandao wao unafika wapi ? Usije kuta mwisho wake ni Mwembe chai hata Ubungo wala Temeke na Mkuranga haufiki yaweza ikawa kazi bure!!!

Nimeomba kama kuna soft copy uwekwe jamvini mpaka sasa haujawekwa ina maana hawajauweka kwenye mtandao je utafika Kigoma baada ya miaka mingapi?
Au ni lazima uwe Dar ndio unaweza kuupta sisi wa madongo tulie tu basi wangeuita ni waraka wa waislamu waishio Dar!
 
Ngoja tuusome tuone yaliyomo.Kwa vyovyote, waraka pia utatoa picha ya FATWA ya shura ya maimamu ikiongozwa na Sheik Ponda.
 
Mashekh basi wekeni huo walaka wenu hapa jamvini tuutafakari, mnaogopa nini?

Labda inabidi JF inunue leseni ya huo waraka. Na sijui kuwa ni leseni ngapi zitahitajika kununuliwa ili member wa JF (walioandikishwa) waweze kuupata!
 
Sijausoma bado huo unaoitwa waraka wa Waislamu, lakini kwa mujibu wa habari za magazeti ni kwamba umejaa masuala ya udini na umeandikwa kwa jazba. Ndani ya waraka huo Waislamu wanadai kwamba Wakristo wamekuwa wakipata upendeleo katika nafasi za uongozi, na mambo kama hayo. Sidhani kama huu ni mwelekeo mzuri. Nilipousoma ule wa Kanisa Katoliki nilisema NAAM! Ngoja tuusubiri huu nao tuone kabla hatujaanza kuuchambua.
 
bado waraka wa KKKT na Anglican na Wasabato.

Tuombe mola anusuru balaa kubwa linalotaka tokea
 
MIMI NADHANI HAYA YA KUTOA WARAKA YATAJAKUWA kama ni kitu cha kawaida na mazoea tu, cha muhimu nkama hawa watu nwa dini wapo serious inatakiwa KUWATENGA HAWA JAMAA KABISA,
KAMA WAKATOLIKI WAMEWEZA KUMTENGA FR NKWERA, FR KARUGENDO NA mapadre wengine inashindikana nini kumtenga MTU KAMA CHENGE AU EL

Chenge na EL siyo mapadre aisee!Hawa ni kondoo waliopotea tu kwa viongozi wa dini
 
Chenge na EL siyo mapadre aisee!Hawa ni kondoo waliopotea tu kwa viongozi wa dini

SIKUMAANISHA HAO (EL na CHENGE) NI MAPADRE, ILA NINACHOSEMA KAMA HAO WAKATOLIKI WALIWEZA KUWATENGA VIONGOZI WAO WA DINI(MAFADHA), WATASHINDWAJE KUWATENGA WAUMINI AMBAO MIONGONI MWAO NI EL NA CHENGE
 
Chenge na EL siyo mapadre aisee!Hawa ni kondoo waliopotea tu kwa viongozi wa dini
The Womanofsubstance!

Acha hizo !Huyo Kituko hujamwelewa na hii ni tabia ya watu wengi hapa jamii!

Ana maana kwamba Tedy Lowasa na Andy Chenge ni wakristo na katika makanisa yao pamoja na wizi waliofanya bado makanisa yao yanawaogopa kwani walitakiwa wawe ex-communicted au kwa lugha nyepesi watolewe kundini au watengwe kama ilivyo desturi.

Mbona mtu akizini na kupata mtoto nje ya ndoa anatolewa kundini nadhani ndiyo hoja ya Kituko!

Hayo makanisa mpaka yanatoa waraka wa kupinga ufisadi wakati mafisadi na majambazi ndio wafadhili wakubwa wa makanisa!

Sometimes ukisoma vizuri historia ya dini utakuta kwamba hata ile Vatican ilijengwa na pesa haramu. Sitaki kuingia ndani na wakatoliki wanalijua hilo St. Peter's Basilca ilijengwa na Papa mmoja aliyegubigwa na rushwa uliweza kuua na ukienda kwake na bulungutu uliloiba unasamehewa jumla as long as umetoa fungu la kumi so please at times haya makanisa yanakosa moral authority kukemea serikali kwa kuhofia kuambiwa walipe kodi any way najua mtanishukia simply because ukweli siku zote unauma...

Kama makanisa yanataka kuja in the clean waondoe kwanza boriti kwenye macho yao ili waweze kuona kibanzi kwenye macho ya serikali na jamii period!
 
The Womanofsubstance!

Acha hizo !Huyo Kituko hujamwelewa na hii ni tabia ya watu wengi hapa jamii!

Ana maana kwamba Tedy Lowasa na Andy Chenge ni wakristo na katika makanisa yao pamoja na wizi waliofanya bado makanisa yao yanawaogopa kwani walitakiwa wawe ex-communicted au kwa lugha nyepesi watolewe kundini au watengwe kama ilivyo desturi.

Mbona mtu akizini na kupata mtoto nje ya ndoa anatolewa kundini nadhani ndiyo hoja ya Kituko!

Hayo makanisa mpaka yanatoa waraka wa kupinga ufisadi wakati mafisadi na majambazi ndio wafadhili wakubwa wa makanisa!

Sometimes ukisoma vizuri historia ya dini utakuta kwamba hata ile Vatican ilijengwa na pesa haramu. Sitaki kuingia ndani na wakatoliki wanalijua hilo St. Peter's Basilca ilijengwa na Papa mmoja aliyegubigwa na rushwa uliweza kuua na ukienda kwake na bulungutu uliloiba unasamehewa jumla as long as umetoa fungu la kumi so please at times haya makanisa yanakosa moral authority kukemea serikali kwa kuhofia kuambiwa walipe kodi any way najua mtanishukia simply because ukweli siku zote unauma...

Kama makanisa yanataka kuja in the clean waondoe kwanza boriti kwenye macho yao ili waweze kuona kibanzi kwenye macho ya serikali na jamii period!

Wala ukweli hauumi mkuu. Hata misikiti they should do the same thing because sija sikia fisadi yoyote muislamu akitengtwa. Mbona bado wanaendelea kuingia misikitini na kuendelea kutoa misaada?

By the way je unajua kuna baadhi ya misikiti imejengwa na pesa haramu? Je unajua mkuu wa polisi wa zamani mmoja alijenga msikitii kujaribu "kuosha " dhambi zkake? Anyway najua nita shukiwa hata mimi maana siku zote ukweli huuma....

By the way unajua kanuni za kuondolewa na kurudishwa kundini?
 
Wala ukweli hauumi mkuu. Hata misikiti they should do the same thing because sija sikia fisadi yoyote muislamu akitengtwa. Mbona bado wanaendelea kuingia misikitini na kuendelea kutoa misaada?

By the way je unajua kuna baadhi ya misikiti imejengwa na pesa haramu? Je unajua mkuu wa polisi wa zamani mmoja alijenga msikitii kujaribu "kuosha " dhambi zkake? Anyway najua nita shukiwa hata mimi maana siku zote ukweli huuma....

By the way unajua kanuni za kuondolewa na kurudishwa kundini?

MwanaFalsafa1!

Kanuni mbona ni rahisi tu! Ukishatenda kosa ambalo linakinzana na mambo makuu kulingana na Amri kumi za Mungu kwanza unatakiwa kukiri na kuwaambia wenzako aoutomatically hutashiriki wala kuikaribia meza ya bwana I mean hutapokea holy communion au chakula cha Bwana and you are therefore nje ya kundi mpaka utakapoungama na kutubu dhambi mbele ya kanisa baada ya hapo unasamehewa na kurudi kundini huku ukishauriwa na kiongozi wa kanisa/Ibada mwenye authority kuwa enenda na usitende tena dhambi!

Kinachotokea msikitini sijawahi kuingia undani kanuni zao ila nimesoma Quoran for the purpose of knowledge amongst others including Budhiisim and Hinduism. In principle kwenye misikiti hakuna parralel procedures kwa sababu the structure depends on origin and ownership the fabric is not firm you understand what I mean na singependa kwenda kwenye specifics kwa sababu wasomaji wengi hapa hawawezi kuokota but watakurupuka na kuokota vipande kitu ambacho hakina tija.

Kuhusu hawa akina Teddy Lowasa na Andy Chenge bado mapadre na wachungaji wanazichukulia kama tuhuma as long sa wao wenyewe hawajakiri but fairness should come first as long as mtu anatuhumiwa anapaswa kukiri au kupanda jukwaani na kutubu kukaa kimya it means ni kukubali then tuwatoe mkuku kutoka kanisani na actually kundi lao ndio kubwa!! Kama ni wasafi kama theluji then wawaulize kwa nini walijiuzulu that is the un -answered question au nakosea?
 
MwanaFalsafa1!

Kanuni mbona ni rahisi tu! Ukishatenda kosa ambalo linakinzana na mambo makuu kulingana na Amri kumi za Mungu kwanza unatakiwa kukiri na kuwaambia wenzako aoutomatically hutashiriki wala kuikaribia meza ya bwana I mean hutapokea holy communion au chakula cha Bwana and you are therefore nje ya kundi mpaka utakapoungama na kutubu dhambi mbele ya kanisa baada ya hapo unasamehewa na kurudi kundini huku ukishauriwa na kiongozi wa kanisa/Ibada mwenye authority kuwa enenda na usitende tena dhambi!

Kinachotokea msikitini sijawahi kuingia undani kanuni zao ila nimesoma Quoran for the purpose of knowledge amongst others including Budhiisim and Hinduism. In principle kwenye misikiti hakuna parralel procedures kwa sababu the structure depends on origin and ownership the fabric is not firm you understand what I mean na singependa kwenda kwenye specifics kwa sababu wasomaji wengi hapa hawawezi kuokota but watakurupuka na kuokota vipande kitu ambacho hakina tija.

Kuhusu hawa akina Teddy Lowasa na Andy Chenge bado mapadre na wachungaji wanazichukulia kama tuhuma as long sa wao wenyewe hawajakiri but fairness should come first as long as mtu anatuhumiwa anapaswa kukiri au kupanda jukwaani na kutubu kukaa kimya it means ni kukubali then tuwatoe mkuku kutoka kanisani na actually kundi lao ndio kubwa!! Kama ni wasafi kama theluji then wawaulize kwa nini walijiuzulu that is the un -answered question au nakosea?

This paragraph is very interesting mkuu. Unajua kanisa haliweza kuwa tenga unless kuna ushahidi they really did do those things they are accused of.....that is fairness. Am I right? So o.k unasema EL na AC wanabidi wakiri makosa ili watengwa. Je kama it is the responsibility ya EL na AC kukiri ndiyo kanisa lichukue hatua hapo una laumu vipi kanisa kuto kuwatenga? Na pia ni watu wangapi unao jua wewe wana kiri makosa hivi hivi?

That brings me to my second point. Kuna kitu kinaitwa confessions haswa kwa wakatoliki? Ndiyo kama ulivyo sema mtu kukiri mwenyewe kosa asamehewe. Kwenye hizi confessions kwa kawaida inakua private na the confessor and the padre don't even see each other na mtu hata kiwi hata kutaja jina lake. With that said mkuu it is very possible EL na AC wamesha confess(I say it is possible not a guarantee). Na kama it's private ina maana kama wamefanya hivyo basi wanaweza kufanya bila wewe na mimi kujua.

Sasa twende kwenye my final point. Kwa kawaida after confessions mtu anakuwa granted msamaha. Na tujue kwamba adhabu za kanisani siyo kama za mahakamani. Mtu aisha kiri makosa yake ya kiroho ana samehewa.

But again everything goes back to guilty until proven innocent. In the church's defence, hawa watu hawawezi kutengwa mpaka kuwe na ushahidi wa kosa. Sasa jukumu la kuprove kuwa hawa wana makosa ni nani? Je ikitolewa ushahidi na vyombo husika kuwa hawa wawili waa makosa una uhakika hawata tengenwa?

Mimi siwa tetei au kusoma EL na AC hawana makosa but you should know the implications of punishing someone without solid proof. Kanisa liki watenga na ika tokea hawana kosa ita kuaje? This thing ya kuwatenga has far more implications than you think. Na hili swala kanisa lisipo chukulia kwa umakini it will go beyond the church na kuna watu wata tafuta sababu ya kuitumia swala hilo kwa manufaa yao.

In this case naona umeonea kanisa. Let those responsible for coming forward with the evidence do so. Once they are proven in the accredited institutions for being guilty tuone responce ya kanisa itakuaje. Not everything is black and white mkuu na vitu vingine una takiwa kuona mbali na siyo simply mtu ni mwizi basi akatwe mkono.
 
Ninachokiona hapa ni nchi yetu pendwa kufa kifo ilichokufa Roman Empire kutokana na kukithiri kwa thamani ya walionacho na kuondoka thamani ya wasiokuwanacho. Kimsingi sasa hivi Tanzania ipo kwenye crisis kwani wanaosikilizwa ni wale wenye pesa kwa sababu kwanza ndio wanaoonekana kuwa na akili na wasomi kuliko wasiosoma. Haya ya nyaraka za Wakatoliki na Waislamu mimi naziona kama side vichocheo vya kuelekea uko kudondoka kwa taifa la Tanzania na huzuni yake ipate kukaa mikononi mwa dini za Wakristo na Waislamu na wala sio za hao mafisadi wanaoiendesha nchi. Kimsingi kwa hili mafisadi wanasiasa wamefanikiwa kwani kwa sasa wametumia dini hizi mbili kama chanzo cha anguko la taifa letu.
Let us watch careful Tanzanians
 
Mimi naona kuna tatizo upande wa jamii kutokana na uelewa mdogo wa mambo. ndugu zetu wakatoliki waraka wao unasema wazi jamii ichague watu waadilifu wasio mafisadi sasa tatizo liko wapi? hivi kuwaelimisha watu wachague watu waadilifu ni kuleta fujo? kwa Upande wetu sisi waislamu napenda kusema ukweli ingawa ukweli unauma tuna matatizo upo uwezekano mkubwa wa baadhi ya viongozi wetu kutumiwa na watu fulani kwa maslahi yao haiwezekani kuanza kupinga waraka wa kuchagua viongozi waadilifu katika jamii, inashangaza sana tuanadai eti wenzetu wakatoliki asilimia kubwa ndio viongozi mimi sioni tatizo kwa sababu wao walikazania elimu tangu mwanzo sisi shule zetu nyingi wanafunzi wanafeli sana sasa na hii ni kwa sababu ya wakatoliki? wenzetu shule zao zinaongoza kwa kufaulu, isingekuwa baba wa taifa kutaifisha shule zao leo hii sijui ingekuwaje naomba waislamu tukazanie elimu tuboreshe shule zetu. vilevile naomba viongozi wetu wa dini ya kiislamu elimu yao iwe ya kutosha kuliko hawa tulionao hawana uelewa mkubwa wa mambo kutokana na elimu duni.
 
Back
Top Bottom