Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
hakika wakatoliki wataleta balaa huko tanganyika. hebu tupeni Data.
1.hawa wakatoliki ni % ngapi ya wakristu huko Tanzania ( yaani Walutheri, waanglican,wasabato n.k).
2. Nini tamko la askofu mkuu wa KKKT kuhusu waraka wa kanisa katoliki?
3.Nini tamko la Askofu mkuu wa Anglican kuhusu waraka wa wakatoliki?
4. je Waandishi wenzangu mmewahoji hao viongozi wengine wa madhahebu mbali mbali za Wakristu, mbona hamtendi haki?
5. Je kwani tamko la wakatoliki ni tamko la wakristu wote huko Tanzania?
Mola ibariki nchi yangu niipendayo
1.hawa wakatoliki ni % ngapi ya wakristu huko Tanzania ( yaani Walutheri, waanglican,wasabato n.k).
2. Nini tamko la askofu mkuu wa KKKT kuhusu waraka wa kanisa katoliki?
3.Nini tamko la Askofu mkuu wa Anglican kuhusu waraka wa wakatoliki?
4. je Waandishi wenzangu mmewahoji hao viongozi wengine wa madhahebu mbali mbali za Wakristu, mbona hamtendi haki?
5. Je kwani tamko la wakatoliki ni tamko la wakristu wote huko Tanzania?
Mola ibariki nchi yangu niipendayo