Elections 2010 Waraka wa Waislam Kuhusu Uchaguzi Wakamilika

<Mjinga akierevuka mwerevu yupo mashakani>
Nemesis,
I say leo umenichekesha sana!!!

 
Nginda1 hongera kwa kuwa mzalendo wa Tanganyika

Kuhusu Kenya ni PM nikupe data ndugu

Kwa ufupi ni kwamba damu ile iliyomwagika ipo mikononi mwa waislamu na odinga.
 
Tatizo hapa si muisilamu au Mkristo, cha muhimu ni kupata uongozi utakao kua responsible, visionary, creative, understanding n.k regardless ya dini yake.
 
Tatizo hapa si muisilamu au Mkristo, cha muhimu ni kupata uongozi utakao kua responsible, visionary, creative, understanding n.k regardless ya dini yake.

Sasa tutapataje kama kunakuwa na kura za kundi maslahi la kidini?
 
kwa hiyo wewe unafurahia hili? kama ndiyo, huna mapenzi na nchi yako na umetanguliza dini na ubinafsi.

Rafiki unajua waislamu wana kasumba mbaya sana ya kutaka kila mtu akubali wanayofanya na kutaka wao ndiyo sahihi.
Ni vizuri tufike huko tunalokwenda ili jawabu zuri lipatikane.

Hafu ubaguzi wakifanya waislamu mnaona poa tuu, tukianza wakrsitu mnakuja juuu, Nyoooooo mwaka huu lazima kieleweke tuu.
 
Baija Bolobi!

Yanapokuja malumbano ya kidini naomba nisichangie kwani katika makuzi nilifundishwa kuheshimu kila mtu linapokuja swala la imani kwani tulio wengi hatujawahi kuchagua tuwe waislaam au wakristo inategemea tu ulipozaliwa wazazi wako walikuwa dini gani.

Huo waraka sijausoma ila nimeguswa na bei inayouzwa Shilingi 2000 nakala moja? isije kuwa kuna wajanja wameanzisha DECI kwani kila penye mauzo yatakiwa risiti na kodi ya KAISARI ikusanywe au nakosea!

Hivi ule waraka wa WARUMI(Wakatoliki) ulikuwa unauzwa bei gani au ulikuwa bure. Sitaki kulumbana na Mashehe nisije somewa dua mbaya.

Hivi ni waislamu wangapi wanaweza kulipa elfu mbili kununua waraka badala ya kuongezea na kununua futari. Nisameheni tena huu ni mwezi wa toba kuna haja ya mpambano au kuganga njaa ili wajanja fulani wapate vijisenti vya kuserebuka kwenye sikukuu za Eid Mubarak !!! Huo waraka si ungetolewa baadae au uchaguzi ni Oktoba 2009.

Kuuliza sio ujinga ila ni kutaka kuelimishwa.

Mkereme
Waraka wa WARUMI haukuuzwa, ulitolewa bure na ulilenga waumini wao.
Hii habari ya wajanja hata mimi naona kuna hatari ya kuwa tunatumiana ili kuganga njaa ya watu. Lakini nisiseme mengi, maana sisi tulio bara tumeambiwa tutaletewa na hatukuambiwa tuandae fedha.

Ule wakwenu mbona unauzwa au hulijuwi hilo?? Na mnalipia kodi kiasi gani??
 
jamani liwalo na liwe maana watanzania tumekuwa tunaogopa sana mabadiliko ninafikili kama dama imwagike tu tunyooshane ili adabu irudi baina yetu sisi ndio kilicho baki.
 
I say jamani, naona wengi mnafanya masikhara. Hili sio jambo la kutaniana. This is the beginning of the end of Tanzania!!!! Nauza nyumba yangu iliopo DSM ili nihame mapema. Najua damu itamwagika tu nchini kama kufa. It's too late for JK. Yote kwasababu kawakumbatia mafisadi. Uganda yanaendelea, Kenya yashatokea, Unguja ndio yamebakia mpaka leo. Sasa ni zamu yetu wadanganyika nasi kuchinjana!!!
Mwenye akili ahame kama mimi ninavyohama nchi hii hii leo!!!

Labda kama hujui nchi hii inavyoendeshwa. Usidhani Kikwete kanyamaza hajui pamoja na udhaifu alionao lakini hawezi kuruhusu mwanya wa udini wala ukabila kushamiri hapa Tanzania. Serikali bado ina nguvu ya kudhubiti fujo zozote zile mahali popote pale.

Anayetaka kujua ajaribu tu hata kuandaa maandamano yanayo husu kupinga au kudharau dini nyingine aone.
 
Huo ni waraka au Mwongozo au fatwa? Hao akina Ponda, Kundecha et al kwa upande mmoja wanaamua kulumbana na Wakatoliki halafu upande mwingine BAKWATA haikubaliani na akina Ponda na wenzie. Halafu Wakatoliki wanalumbana na Kingunge ambaye kwa nia ya hoja tuseme anaiwakilisha NEC ya CCM. Hii equation imekaa vipi?

P vis a vis K vis a vis CCM + K vis a vis CCM+B vis a vis P= Political environment in Tanzania. Where as P=Ponda at al; K=Katoliki;CCM=Kinguge and NEC;B=BAKWATA.

Niambieni hii imekaeje? Nani atakaekuwa mshindi au kubakia na nani atakuwa cancelled out. Mimi naona hii ni kama sinema ya Ze Komedi. Mnasemaje wachambuzi?

Kwanza Ponda anakumbuka alivyo ponea chupu chupu issue ya mwembe chai, sasa anaanza tena this time hatapona. Isitoshe ponda ni raia wa burundi sasa kama antaka kurudi kwa Nkurunzinza asema.
 
kweli nimeamini Wakatoliki ni baba wa Dunia na wote wenye imani ni lazima wafuate nyayo za wakatoliki
Maana baada ya wakatoliki kutoa Waraka, nikaona CCM hapatoshi, lakini kama kawaida ya influence ya Wakatoliki Waislamu nao wakaingia kwenye mkumbo huohuo, sasa ngoja tusubiri waraka wa CUF, CCM na wengine wenye dini
Nasikia wa Mtikila upo njiani
 
Kwa hiyo Serikali inatakiwa ifuate MWONGOZO la sivyo hawatapewa kura au namna gani? Au tuseme kama atatokea mwanasiasa mwenye kuukubali MWONGOZO ndiye atakayepewa kura? Tunamsubiri mzee 'no comment' kikongwe wa kikomunisti Kingunge, mzee wa 'hapa patamu' Makwaia wa Kuhenga na 'bwana madevu' maalim Seif kuupinga waraka huo kama walivyoupinga ule wa Kanisa Katoliki otherwise tutakuwa tumewajua janja yao ililenga kwenye nini!

Maalim Seif hana haja ya kujibu huu muongozo wa Kiislamu. Maalim Seif anatetea maslahi ya Wazanzibar ambao majority ni Waislamu. Kwa hiyo siyo lazima kwa yeye kuujibu.
 
Ushauri wangu kwa maaskofu na wakristu ni kufanya kampeni za waziwazi makanisani kwamba tuchague wakristu wenzetu tuu.
Tueneze kampeni zaidi na kwa wapagani, hindu,n.k(exclude wajahidina).
Hii move ita work sana tuu.
Liwalo na liwe, kama ni noma na iwe noma.

Kumbuka Dar, ndiyo TZ, na majority ni Waislamu kazi kwenu.
 
Sasa tutapataje kama kunakuwa na kura za kundi maslahi la kidini?

Maslahi siyo tatizo kwa vikundi vya kidini. Nchi zilizoendelea zina lobby vitu vingi tu. Tusipanic na hizi kampeni, NeoConservative in USA wanakwenda na Gun kwenye mikutano ya Obama. Hizi ni kampeni tu.
 


Simoni hujui nani atashinda?
CCM itashinda, cha kushangaza zaidi watarudi mafisadi walewale.
Pia utakuwa mwisho wa CUF Tanganyika.

Umesema kweli mkuu mshindi ni ccm hakuna ubishi na mafisadi ndo watarudi madarakani tena kaka yangu ndo atarudia uwadhiri mkuu atii na hawa wapiga ramli watakuwa kimyaa kama hawapo!
 
Back
Top Bottom