PreGE2025 Waraka wa wagombea 2020 na watia nia wa ubunge 55 wa CHADEMA. Wapinga chama kususia uchaguzi mkuu

PreGE2025 Waraka wa wagombea 2020 na watia nia wa ubunge 55 wa CHADEMA. Wapinga chama kususia uchaguzi mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Katiba inatoa uhuru na haki. Kikundi cha watu wachache wanaminya uhuru huo..

Azimio la mafichoni aliipo ndg yetu Maria lilikuwa la no reforms, no election. Likiwa na ujumbe na mikakati yake, lakini kigenge cha watu wachache walio Anza kulewa madaraka mapema wamepindua dhima kuu na kubakia na sura ile ile ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu

Muda ndio msema kweli. Je, uchaguzi utafanyika?
Mrema anasumbuliwa na mahba na Mbowe na Chagadema philosophy. Hoja ya msingi hili la reforms/elections lilipitishwa na Kamati Mkuu, Mkutano Mkuu je dhana ya iwajibikaji wa pamoja"collective responsibility" iko wapi?
 
Miongoni mwa sababu walizozitoa G-55 katika waraka huo ni pamoja kwamba wanaona haiwezekani kuzuia uchaguzi ikiwa si washiriki, badala yake wanapaswa kushiriki na kuzuia kwenye vituo vitakavyoonekana kufanyika ubadhilifu.

Licha ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuweka msimamo wa kuzuia uchaguzi, watia nia 55 wa ubunge maarufu’G-55’ kupitia chama hicho, wamelipinga hilo wakitoa sababu tisa za uamuzi wao huo.

Watia nia hao 55, ndio wale ambao kuanzia juzi, jumbe zao katika kundi la WhatsApp zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii, zikionyesha mipango yao ya kuwasilisha pingamizi la msimamo wa chama hicho.


waraka.jpg

2.jpg
3.jpg
4.jpg
5.jpg
6.jpg
 
Miongoni mwa sababu walizozitoa G-55 katika waraka huo ni pamoja kwamba wanaona haiwezekani kuzuia uchaguzi ikiwa si washiriki, badala yake wanapaswa kushiriki na kuzuia kwenye vituo vitakavyoonekana kufanyika ubadhilifu.

Licha ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuweka msimamo wa kuzuia uchaguzi, watia nia 55 wa ubunge maarufu’G-55’ kupitia chama hicho, wamelipinga hilo wakitoa sababu tisa za uamuzi wao huo.

Watia nia hao 55, ndio wale ambao kuanzia juzi, jumbe zao katika kundi la WhatsApp zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii, zikionyesha mipango yao ya kuwasilisha pingamizi la msimamo wa chama hicho.


View attachment 3293116
View attachment 3293120View attachment 3293121View attachment 3293122View attachment 3293123View attachment 3293124

View: https://www.instagram.com/p/DIBMHZmgmUV/?igsh=OTByM3UzbDQ4aDFz
 
Aisee, watu wanaitafuta pesa kwa nguvu sana na kwa njia yoyote bila aibu wala mawaa!.
 
Duniani kuna watu na viatu, kama umehusika na uandaaji wa utumbo huu, jua wewe ni wahovyo. Lissu endelea kushikilia hapo hapo tuwajue vibaraka wanaotuzunguuka, wewe kama unawashwa hama chama au nenda burundi, msituchoshe.
 
Miongoni mwa sababu walizozitoa G-55 katika waraka huo ni pamoja kwamba wanaona haiwezekani kuzuia uchaguzi ikiwa si washiriki, badala yake wanapaswa kushiriki na kuzuia kwenye vituo vitakavyoonekana kufanyika ubadhilifu.

Licha ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuweka msimamo wa kuzuia uchaguzi, watia nia 55 wa ubunge maarufu’G-55’ kupitia chama hicho, wamelipinga hilo wakitoa sababu tisa za uamuzi wao huo.

Watia nia hao 55, ndio wale ambao kuanzia juzi, jumbe zao katika kundi la WhatsApp zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii, zikionyesha mipango yao ya kuwasilisha pingamizi la msimamo wa chama hicho.


View attachment 3293116
View attachment 3293120View attachment 3293121View attachment 3293122View attachment 3293123View attachment 3293124
Hawa ndio walipaswa kukiongoza chama. Sio mwanaharakati yule.

Afu ametia nia urais. My foot.

Kwa ushauri, chama kitafute mtia nia mbadala kwenye nafasi ya urais sio huyu.
 
Duniani kuna watu na viatu, kama umehusika na uandaaji wa utumbo huu, jua wewe ni wahovyo. Lissu endelea kushikilia hapo hapo tuwajue vibaraka wanaotuzunguuka, wewe kama unawashwa hama chama au nenda burundi, msituchoshe.
Mwajabu,mzigo wako👉💐💐💐💐💐🌸💐💐💐💐🌸🌸💐💐💐🌸🌸💐🌸💐💐💐💐💐💐💐💐
 
Uongozi wa Lissu ndani ya chadema umeshikiliwa na nguzo za barafu katikati ya jangwa la kalahari.

Watia nia wote katika nafasi za ubunge na udiwani wamemgomea ajenda yake ya kutoshiriki uchaguzi wa 2025.

Katika kauli yao nzito wamesisitiza kuingia ulingoni kutumia haki yao ya kikatiba.

Hii ni hatua kubwa kupinga udikteta. Haiwezekani mtu aendeshe chama kama kundi la bata wa nyumbani kwake.

Screenshot_20250404-152622.jpg
 

NO REFORMS NO ELECTION ni Agenda ya Chama Waasi wafukuzwe mara moja.
 

Tume inayolalamikiwa hivi haifai lazima ifanyiwe REFORMS.

Huyu Babu kageuka baada kulambishwa Asali mbichi.
 
Uongozi wa Lissu ndani ya chadema umeshikiliwa na nguzo za barafu katikati ya jangwa la kalahari.

Watia nia wote katika nafasi za ubunge na udiwani wamemgomea ajenda yake ya kutoshiriki uchaguzi wa 2015.

Katika kauli yao nzito wamesisitiza kuingia ulingoni kutumia haki yao ya kikatiba.

Hii ni hatua kubwa kupinga udikteta. Haiwezekani mtu aendeshe chama kama kundi la bata wa nyumbani kwake.

View attachment 3293145
Ni bahati mbaya sana pamoja na nguvu zote mnazotumia kuzuia No Reform No Election, Watanzania wamewapuuza na wako serious wanataka mabadiliko.

Ni jambo zuri sana kuwa hao wote mnaowatumia wameshajulikana kuwa ni mapandikizi wenu CCM.

Poleni sana CCM.
 
Back
Top Bottom