chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,725
- 31,305
Watia nia wamegoma, kama mna tatizo la "erection" Mkamuone Janabi, ila election iko palepaleView attachment 3293146
NO REFORMS NO ELECTION ni Agenda ya Chama Waasi wafukuzwe mara moja.
Watia nia wamegoma, kama mna tatizo la "erection" Mkamuone Janabi, ila election iko palepaleView attachment 3293146
NO REFORMS NO ELECTION ni Agenda ya Chama Waasi wafukuzwe mara moja.
Hakuna wa kuwafuta, zitapigwa mno ukumbiniVp Chama kikiwafuta uanachama watagombea kupitia chama gani kwa hiki kipindi kilichobaki ?
Wezi wa Tume Feki ya Uchafuzi tutawapiga mawe kama wezi wengine na maboksi ya kupigia kura za wizi titayatia kiberiti ngojeni muone.Watia nia wamegoma, kama mna tatizo la "erection" Mkamuone Janabi, ila election iko palepale
Waanzishe chama Chao, simple ! Lissu amekuwa wa moto sana!Hakuna wa kuwafuta, zitapigwa mno ukumbini
Waende wakahongwe vyeo na Makalla kama Msigwa.Waanzishe chama Chao, simple ! Lissu amekuwa wa moto sana!
G55 wanaakili kubwa kuliko kina Lissu na LemaHawa ndio walipaswa kukiongoza chama. Sio mwanaharakati yule.
Afu ametia nia urais. My foot.
Kwa ushauri, chama kitafute mtia nia mbadala kwenye nafasi ya urais sio huyu.
Ni udikteta uchwaraKuna mtu alishauri humu Mrema afukuzwe mara moja
Hatutoki chadema, labda Lissu atuue kama genge lake lilivyomfanyia mwenezi wa BawachaWaanzishe chama Chao, simple ! Lissu amekuwa wa moto sana!
Mtapigwa mno, yaani mtapigwa sana, mtapigwa kama ngomaWezi wa Tume Feki ya Uchafuzi tutawapiga mawe kama wezi wengine na maboksi ya kupigia kura za wizi titayatia kiberiti ngojeni muone.
Hatutoki chadema labda mfanye mpango wa kutuua kama mlivyofanya kwa Mwenezi wa BawachaWaende wakahongwe vyeo na Makalla kama Msigwa.
Kachome vipisi vyako vya bangi, ukijaa kwenye mfumo uchome mali ya umma unakula chuma tuLissu na Heche wanawaingiza chaka wananchi na wagombea wao ,kwa nature ya waTZ na Viongozi huwa hawana guts za kupambana kama wakenya ,hiyo siku ya uchaguzi watashiriki tu kama kawaida na hakuna hata mmoja ambaye atakayeleta fujo ya kuzuia....
Lissu na Heche kwakuwa tayari wana ajira ya kupata mishahara kupitia Tone tone hivyo wanawanyima fursa wenzao ,hao watu hawahitaji kususia ,hao watu wanahitaji mikiki kwenye michakato maana walishajifunza jinsi wanavyowakata na kuwaengua.
Inatakiwa washiriki ila DED akileta uhuni ni kuchoma ofisi ,kuchoma nyumba yake mnafanya hivyo nchi nzima ,wakiona mtiti huo lazima watasarenda lakini mkisusia halafu mtegemea waTZ waende kuzuia hamtopata hata mmoja.
Inatakiwa watoe angalizo mapema kwamba mawakala waapishe siku 2 kabla ya uchaguzi na kama kuapishwa waapishwe wote hadi wa sisiemu ,wasipowaapisha wachome ofisi zote za MADED ,hao watu mkiwachekea watafanya vichwa vya wandawazimu ,hawawezi kuondolewa kwa kususa ,hao watu wanaondolewa kwa kupambana nginja nginja.