PreGE2025 Waraka wa wagombea 2020 na watia nia wa ubunge 55 wa CHADEMA. Wapinga chama kususia uchaguzi mkuu

PreGE2025 Waraka wa wagombea 2020 na watia nia wa ubunge 55 wa CHADEMA. Wapinga chama kususia uchaguzi mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Upinde mnawaza kujamba tu

Nakushauri ukitaka kuwa mchangiaji mzuri wa mada na ukaonekana umepevuka ni kujikita kwenye context ,ukianza kutumia lugha za maudhi/matusi na yanayofanana na hayo sehemu ambayo hayahitajiki unaonekana haujuhi unataka nini.
 
Kwani Msigwa amehongwa cheo gani na Makalla?
Kaahidiwa kupewa cheo cha kuhongwa au hata ubunge wa Iringa kwa kubebwa na Tume ya Uchafuzi ndio maana tunasema NO REFORMS NO ELECTION.
 
Hatutoki chadema labda mfanye mpango wa kutuua kama mlivyofanya kwa Mwenezi wa Bawacha
Mtafukuzwa kwa kupinga agenda za Chama muende kwa Makalla akawagawie Ebola na M.pox.

Ila sisi tunafocus na NO REFORMS NO ELECTION Mpaka kizimkazi acheue bungo.
 
Daah hawa jamaa wameamua TU kua against na uongozi huu maana hata ukiwauliza hoja ziko wapi wanatoa macho tu.
Hawa hawajatumwa na CCM ila kwa kiburi chao wameamua kufanya KAZI ya CCM bila kulipwa ili kujarbu kuonyesha uongozi mpya wao ndio alfa na omega.


Wengine walitoa miez2 lakini wanaona mwezi wa3 huu Ngoma ndo kwanza inaanza kupaliliwa na harakati bila wao zinasonga Tena bila ya makando kando,wakaona wajikusanye kama Intarahamwe.

Nashauri wapuuzwi na kama watatokea wenye viburi zaid basi watawafata Covid-19.

Cdm haijawahi kua chini ya mtu,CDM ni chama chemye sura ya kitaifa sasa na kila mwenye kutaka mabadiliko anakimbilia CDM na ndo mana hawataki hata wanaharakati wajihusishe na CDM(😄😄).

LISU NA HECHE kazeni milio imeanza kuskika,hao waachieni kina Mnyika na Lema watadili nao
tundu lisu hakutakiwa kabisa na system awe kwenye nafasi ya mwenyekiti chadema. haya ndiyo matokeo yake sasa
 
Mtafukuzwa kwa kupinga agenda za Chama muende kwa Makalla akawagawie Ebola na M.pox.

Ila sisi tunafocus na NO REFORMS NO ELECTION Mpaka kizimkazi acheue bungo.
Focus mfu ni ujinga mtupu
 
Chadema ni wapumbavu nyie

Nyinyi sisisemu bila heka heka mnarelax na kuifanya nchi yenu ,no bizness as usual ,nawashauri CDM wagombee ila wawadhibiti wahuni kwa vitendo ,mkurugenzi akigoma kutoa form au mpuuzi ameengua mgombea ni kuchoma moto ofisi na nyumba yake ,wakienda mwendo huo mtakaa mezani.
 
Nyinyi sisisemu bila heka heka mnarelax na kuifanya nchi yenu ,no bizness as usual ,nawashauri CDM wagombee ila wawadhibiti wahuni kwa vitendo ,mkurugenzi akigoma kutoa form au mpuuzi ameengua mgombea ni kuchoma moto ofisi na nyumba yake ,wakienda mwendo huo mtakaa mezani.
Choma uchomwe
 
Back
Top Bottom