SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,963
- 75,029
Ogopa sana Mungu na Teknolojia.View attachment 3293126
Aulizwe Mwamba Mbowe je NO REFORMS NO ELECTION ulikuwa ni MKWARAA?!
Ogopa sana Mungu na Teknolojia.View attachment 3293126
Aulizwe Mwamba Mbowe je NO REFORMS NO ELECTION ulikuwa ni MKWARAA?!
Zanzibar upinzani wametoa hadi makamu wa Raisi
Chadema haijawahi weka wagombea majimbo yote Tanzania sababu hakipo majimbo yoteMajimbo yapo 264 ila wao wapo 55.
Hata nusu bado
Lissu atawakubalia??Kuna waliokaa kimya uwaoni ndio wengi zaidi na hatari zaidi.
2015 ilikuaje??Chadema haijawahi weka wagombea majimbo yote Tanzania sababu hakipo majimbo yote
Yeah time is the best answer
You're so insecure...Ngoja tuone muuza alizeti kama atamudu mziki alioandaliwa mb-huyo
Kwani washauri hana???Lissu hajui afanye nini maji shingoni.. shida yake ni ukosefu wa hekma za uongozi.