Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Kwa kuwa Shigongo kakosea na inatazamwa kama hana maadili hata kushauri basi ZE COMEDY ORIJINO waendelee na tabia hiyo ya kuwacheka watu walioanguka.
Ndiyo ni tabia yao. Ni tabia yao kuanzia EATV walipomsakama Mr Nice, wakaja kwa wengine hata Mpakanjia, Mashaka na hivi karibuni mwanamuziki mgonjwa.
Ze comedy endeleeni kuifundisha jamii kuwa kumcheka aliyeanguka au aliyetaabani kutokana na masahibu yaliyomkuta ni jambo JEMA SANA.
Endeleeni kuinyea mikono mliyopitia kinyesi chote. Msisaze. Ifundisheni jamii hili nalo ni jema.
Ze comedy mdumu Shigongo zii.
Ndiyo ni tabia yao. Ni tabia yao kuanzia EATV walipomsakama Mr Nice, wakaja kwa wengine hata Mpakanjia, Mashaka na hivi karibuni mwanamuziki mgonjwa.
Ze comedy endeleeni kuifundisha jamii kuwa kumcheka aliyeanguka au aliyetaabani kutokana na masahibu yaliyomkuta ni jambo JEMA SANA.
Endeleeni kuinyea mikono mliyopitia kinyesi chote. Msisaze. Ifundisheni jamii hili nalo ni jema.
Ze comedy mdumu Shigongo zii.