mr kyaka
Senior Member
- Apr 6, 2015
- 193
- 53
Huyo tulishamzoea kwan hupeleka kesi makaman zisizo na kichwa wala miguu!TEHETEHE lawyer mtikila,lakini we dereeeeee
Huyo tulishamzoea kwan hupeleka kesi makaman zisizo na kichwa wala miguu!TEHETEHE lawyer mtikila,lakini we dereeeeee
Toka achukue rushwa kwa Rostam ili ampambe JK na kumchafua Sumaye 2005 atakaye msikiliza Mtikila atakuwa na matatizo yake binafsi
Mtikila ni mchumia tumbo tu
Mtikila alikuwa Mkombozi zaman sana. siku hizi amekuwa Mjasiliamali wa Siasa. toka kipindi kile cha kikwete ambapo aliitwa akapewa Milion 200 ili anyamaze asimseme kikwete vibaya. huwa ndo style yake ya maisha... anaishi kwa style hii. safari Hii Membe amemwezesha. Membe alipoona Makongoro hana uwezo mzuri wa kuongea na pia ni CCM Mwenzao hivyo anabanwa na sheria ndani ya Chama ndipo aliamua kumtafuta Mtikila ili afanye hiyo kazi. jana walikuwa na kikao na alimpatia zaidi ya Mil 200 ili afanye kazi ya kuchafua Lowassa . Membe anaona tatizo katika uchaguzi huu ni Lowassa tu. Mimi nipo tayari kuchagua upinzani lakini si Rais awe Membe.huyu hafai kuwa hata Mjumbe wa Nyumba Kumi.
so sisi wenye akili tulikuwa tunajua mapema tu kuw ahizi sarakasi zinakuja na wengi walishasema toka leo asubuhi kuwa Mtikila anakuja na lake jambo baada ya kupata mshiko. namsikitikia sana mtikila kwa maneno yake na kuamua kuwa chombo kisichofaa. alikuwa wapi siku zote? muulize mtikila anafanya kazi gani au ana miradi gani? anaishi kisiasa siasa tu na chama chake cha mfukoni. angekuwa angalau amerud miaka ile anapigania serikali ya Tanganyika lakini si sasa anatumika na mtu kama Membe. Mimi Membe hata anipe Bill1000 siwezi mpigia Kampeni awe Rais wa Nchi hii.
Nyie hamwelei, Mtikila ndio zake, sasa hivi kaishiwa fedha, anatafuta fedha..kaona akipiga kelele kupitia jina la Lowassa atapata fedha... Mtikila akiwa na njaa ni mkali kweli....
Alileta njaa na umbea wake kuhusu kuuawa kwa Wangwe, alipigwa jiwe la uso, akapata akili, sasa naona kajisahau tena...!!!
Mtikila anatafuta fedha tu, mbona akina Membe, January, Mwigulu, Wasira, woote wagombea urais CCM wametumia pesa, huwezi kugombea Urais utumie upepo...ni uchizi tu... Mtikila ni chizi long ago...!!!
Hii imesukwa kiustadi sana na CCM na TISS...kwani muda wa kampeni ni lini? una uhusiano gani na masuala ya kawaida ya siasa?
Tume ilikuwa haijatoa Ratiba ya kampeni kwa hiyo...hilo halizuii shughuli za siasa kuendelea nchini.
Mtikila alikuwa Mkombozi zaman sana. siku hizi amekuwa Mjasiliamali wa Siasa. toka kipindi kile cha kikwete ambapo aliitwa akapewa Milion 200 ili anyamaze asimseme kikwete vibaya. huwa ndo style yake ya maisha... anaishi kwa style hii. safari Hii Membe amemwezesha. Membe alipoona Makongoro hana uwezo mzuri wa kuongea na pia ni CCM Mwenzao hivyo anabanwa na sheria ndani ya Chama ndipo aliamua kumtafuta Mtikila ili afanye hiyo kazi. jana walikuwa na kikao na alimpatia zaidi ya Mil 200 ili afanye kazi ya kuchafua Lowassa . Membe anaona tatizo katika uchaguzi huu ni Lowassa tu. Mimi nipo tayari kuchagua upinzani lakini si Rais awe Membe.huyu hafai kuwa hata Mjumbe wa Nyumba Kumi.
so sisi wenye akili tulikuwa tunajua mapema tu kuw ahizi sarakasi zinakuja na wengi walishasema toka leo asubuhi kuwa Mtikila anakuja na lake jambo baada ya kupata mshiko. namsikitikia sana mtikila kwa maneno yake na kuamua kuwa chombo kisichofaa. alikuwa wapi siku zote? muulize mtikila anafanya kazi gani au ana miradi gani? anaishi kisiasa siasa tu na chama chake cha mfukoni. angekuwa angalau amerud miaka ile anapigania serikali ya Tanganyika lakini si sasa anatumika na mtu kama Membe. Mimi Membe hata anipe Bill1000 siwezi mpigia Kampeni awe Rais wa Nchi hii.
Maoni yangu ya mbali sana,ni kua huu mpango umesukwa na Lowasa mwenyewe,ndio Mtikilla katumwa na lowasa aandike hivi ili apime maji kwa mara ya mwisho.Lowasa anajaribu kutafuta majibu juu ya nini kamati kuu inafikiria kuhusu yeye.Hapa CCM lazima wata re act,wakijachanganya kumkata itakua ushindi kwa mtikila(CCM hawataki kuamrishwa) .Hivyo basi CCM watampa Lowasa nafaai ili wapingane na mawazo ya wapinzani,akiwemo mtikila.Amini nisemayo kwa sababu tuhuma zote dhidi ya Lowasa hazina uthibitisho.na hio ishu ya kupewa adhabu na CCM kwa kufanya kampeni mapema ambayo mtikila kasema eti ni moja kati ya "ushahid wa wazi"kua lowasa kavunja sheria.Ni kuulize swali msomaji,je inawezekana CCM wakampa mtikila huu ushahid ili amfunge Lowasa?Nani nani ya CCM ana ubavu huo?Hii ni project kati ya Lowasa,Mtikila na wale wanaomuunga mkono Lowasa ndani ya CCM,Mwisho wa hii GAME ni kua Lowasa atajisafisha,atasafishwa tena kwa kishindo,na baada ya hapo hakuna Chombo cha Habari kutakacho andika uovu wa lowasa(labda jamii forum).
Hii ndio karata ya mwisho ya Lowasa,anajua wengi wanamtazama kwa madhaifu yake,na yeye amelifanyia kazi hilo,na ndio ishu itajayo mpa NAFASI ndani ya chama.Kumbuka Lowasa aliwahi kusema kuke Kilimanjaro kua ameshagunga MAGOLI tena kama ya MESSI NA C.RONALDO ,wengi hatukujua añamaanisha nini,lkn hii tafsiri halisi ya magoli.Wakat watu wajo bize kuzungumzia Ufusadi wa lowasa,yeyena kambi yake walikua wako bize kutafuta ushawishi ndani ya chama,vyombo vya habari,usalama ea taifa,vingoz wastaafu ,familia ya baba wa taifa na Viongoz wa CC,NEC na Mkutano mkuu.Na amefanikiwa kwa asilimia 80,hata REDET walilithibitisha hilo.
Lowasa katuingiza mtegoni na tume nasa.
Please usiniite "muongo "mpaka baada ya kikao cha CC ya CCM.