Waraka wa kurudishwa kazini

Waraka wa kurudishwa kazini

mliverpool

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2015
Posts
1,580
Reaction score
2,990
Vijana wote waliosimamishwa Ajira mwezi June mwaka Jana baada ya tamko la Mh. Rais na ambao hamjapewa taarifa yoyote mpaka sasa nawashauri muwasumbue au muende mkawaone waajiri wenu.

kwani waraka wa kuwarudisha ushatoka,mnasainishwa mkataba mpya unaoanza tarehe 1/4/2017 kuchelewa kwako ndo kusahaulika kwako.

Natumai Ujumbe umefika!
 
mwisho 9 wakati waraka umetoka jana sijui dah je wa mikoani
 
Ishu hyo Ni kweli mm binafsi tangu mwezi wa NNE nilifanya hvyo lakini imekuwa kimya tena hakuna cha kuitwa wala nn???
 
Back
Top Bottom