Waraka kwa Mbowe na Zitto

Waraka kwa Mbowe na Zitto

Wadanganyika hakika mnanishangaza sana...
Sasa ikiwa Mbowe atakuwa dikteta na kukataa kabisa kukaa na watu wanaopingana naye ktk maswala yoyote yale kama alivyokuwa mwalimu ndio mtampenda?... kwa uhakika najua mtachukia sana na pengine hata kulaani mfumo mzima wa kiutawala..Lakini Leo hii Mbowe na Zitto wanapolumbana kimtazamo ni wajibu wetu kutafuta ukweli kwanza kuelewa kinachoendelea kabla hatujachukua side au kuhukumu mgogoro wote. Mlitaka itokee kitu gani yaani kusiwepo na kutokubaliana ndani ya chama!

Binaafsi haya malumbano ya Zitto na Mbowe hayanipi homa kabisa kwa sababu ndio makuzi ya demokrasia ndani ya chama. Sitaki kuona ya mwalimu kukosana na Kambona, mzee Mtei au Jumbe na kufikia maamuzi ambayo yalikidhoofisha chama ktk ujenzi wa fikra mpya na ndio maana CCM hadi leo bado imekumbatia siasa za Ujamaa ambazo ktk dunia ya leo ndio chimbuko la Ufisadi wa viongozi wa juu.

Kama Mbowe na Zitto wanagombania nafasi zao kwa uchaguzi wa mwaka 2015, waacheni wagombane muhimu watuonyeshe uwezo wao kifikra na yule mwenye karizma ndiye atapendwa na wanachama zaidi na kufuatwa kwa sababu CDM haichagui sura wala hatumpongezi mtu kwa kusema sana. Zitto ataendelea kuwa Zitto na atakuwa na watu wasiopenda msimamo wake ndani ya chama na nje ya chama, Mbowe vile vile lakini wote wakitumikia itikadi ya chama.

Mbowe anaweza kuwa na matatizo lakini kama mwenyekiti lazima ifahamike kwamba hiki si cheo cha utendaji kazi bali ni nafasi inayotakiwa hekima na busara kuweza kuwa msikivu, muumini na mtaalam wa imani iliyokijenga chama. Uwezo wa ku preach kile unachokiamini (katiba) pasipo kudadisi ama kuzungumza yanayotoka kichwani mwako.

Nakumbuka nimesoma mahala ndugu yetu Waberoya kasema kitu kama hiki kuhusiana na maisha yake ya Ulokole, jinsi alivyoweza kutambua utumishi mbaya wa viongozi wa dini ambao hu preach mambo ambayo hayamo ktk Biblia hivyo ilimlazimu yeye kuisoma Biblia na kufuata tu yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu ktk mahubiri yake, na hakika ina imani kwa kufanya hivyo utapata wafuasi wenye kuvutiwa na dawa utakayowapa...

Na kwa hali ya kisiasa ndani ya Chadema Zitto ni mmja wa wachungaji anayefundisha mambo yanayotoka kichwani mwake, hafuati yaliyomo ktk kitabu ila mtazamo wake yeye akilenga faida ya wananchi hivyo kuunda dhehebu au niseme mrengo tofauti na ule unaojengwa na chama.
Upande mwingine kwa Mbowe, leo anaonekana ni dikteta kwa sababu anapingana na Zitto iwe toka kugombea nafasi ya Uenyekiti lakini muhimu tufahamu kwamba Zitto bado kabisa hajakomaa kisiasa na nadhani yeye sii mwanasiasa kitaaluma bali anaweza kuwa mtendaji mzuri tofauti na Mbowe ambaye he is a Politician.. na ndani ya Politics, udikteta unatumika sana kulinda chama na itikadi kwa sababu kinachosimama for each party ni itikadi sio sura za viongozi wake.

Mwisho nachoweza kusema ni kumkanya Zitto zaidi ya Mbowe apate kufahamu kwamba Siasa ya chama ina imani na lazima mtu uwe na mwongozo unaokupa fikra mpya na sii kutazama upepo unakwenda wapi kama zile mashua zinazosubiri monsoon wind. Chama kina dira na lazima kiongozi au mwanachama awe na fikra zinazoendana na mwongozo huo na sii kufikiria toka kichwani maadam unafikiri uko sawa.. kwa Chama kikianza kudandia fikra za watu binafsi ndio huanza kupoteza mwelekeo na hakika kupinga mawazo binafsi yanaopingana na mwongozo wa chama ni hali isiyotakiwa ndani ya chama.

CCM wamepoteza mwelekeo kwa sababu hii hii. CCM wameruhusu mawazo binafsi wakati mwongozo wa chama ni siasa ya Ujamaa na Kujitegemea ambayo ndani ya ubepari imezaa Ufisadi na Ubinafsi kinyume kabisa cha malengo ya chama. na kwa bahati mbaya sana ndani ya CCM kuna watu wenye imani tofauti na naweza kusema majority wa wananchama wa chama hiki hawaamini siasa za Ujamaa na Kujitegemea. Vichwa vya watu vinatofautiana kabisa na malengo ya chama, hivyo wanachokipata ni mkusanyiko wa mawazo mgando na waigaji wa sera maana hakuna mwongozo.

Chadema kwa kuelewa hivyo hakiwezi kupoteza mwelekeo wake kwa sababu kuna watu wanafikiria kwamba Chadema ni chama cha Mbowe, Wachagga, sijui wakristu au Mbowe ni dikteta. well tunachotakiwa kusoma ni Biblia ya chama inasema nini na Mbowe anafundisha nini. Kama Mbowe anafundisha kinyume cha mafundisho ya chama na anaeneza gospel yake hapo tuna kila sababu ya kulaumu lakini Mbowe kusimama thabiti, kutetea malengo ya chama dhidi ya propaganda kubwa zinazojengwa kila siku, basi bila shaka huyu ndiye mwenyekiti tunayemtaka.

Zitto afahamu kwamba anatumika pasipo yeye kuelewa kwa sababu kila anapokutana na wanaCCM na kuzungumza mambo mengi ya ndani ya chama, hao hao huenda na kuwafahamisha viongozi wa CDM juu ya malalamiko yake... Na wapo marafiki zake ambao kazi yao ni kumnukuu maneno yake na kuyasambaza pasipo yeye kujua kwamba anatumiwa kwa sababu Zitto anachotumia zaidi ni elimu na hisia zake badala ya mwongozo wa chama.

Lakini wakati huo huo wapo washabiki wa Mbowe ambao hawapimi kitu isipokuwa kwa mapenzi ya Mbowe kutokana na heshima alojivunia. Lakini kumheshimu Mbowe hakuwezi kufunga kabisa vichwa vyenu mkashindwa kufikiri nje ya kabati..Washabiki hawa wameunda chuki binafsi dhidi ya Zitto pasipo kuelewa kitu ila kuunda fitan tu ndani ya chama.

Nakumbuka sana kuna wakati Zitto alisema wazi kwamba yeye na Mbowe hawana matatzo akini Zitto alitukanwa na kufuatwa kuchambuliwa ktk kila alichogusa. Zitto alikuwa na right ya kugombea uenyekiti na hata kama hakufaa kushika wadhifa huo maamuzi yalifanyika na alikubali maamuzi ya wazee lakini hadi leo anafuatwa kama vile kaua mtu...nakumbuka Nyerere aliwahi kuwakataa Salim na JK kushika madaraka ya juu kutokana na umri wao lakini sikusikia malalamiko kama ya haya..

Mbowe will always be Mbowe na Zitto atabakia Zitto wote wakiwakilisha chama kwa nafasi tofauti. Chadema haiwezi kubadilisha vichwa kwa sababu tunafikiria nafasi hiyo ina msuit fulani pasipo vigezo..
 
TO the contrary, namshauri mbowe afanye mpango wa kumfukuza Zitto mapema iwezekanavyo ili akajiunge na CCM yake mapema badala ya kulea kidonda, Wakati mwingine dawa ya kansa ni kukata kiungo chenye kansa mapema ili kansa isienee mwili mzima, Si bure Zitto ana lake jambo au katumwa!!!
 
Uko sahihi kwa sababu Huyu Mdau mtoa hoja amejiunga Leo tu hivyo atakuwa katumwa na watu!
Kimsingi Kutofautian ndiyo Kuelewana ,CDM tunaruhusu tofauti za Kimawazo,Kila Kiongozi au Mwanachama ana Uhuru wa Kuwasilisha mawazo yake BILA Unafiki wa NDIYO kwa Kila kitu......Hizi tofauti Ndizo zinazokijenga Chama na Kukiweka Hapo Kilipo na Cha Msingi ni Kwamba Mwisho wa Siku Kuna Makubaliano na Mambo yanaenda Mbele! Huo ndiyo Msingi wa Demokrasia tunayoidai..Ni lazima Ianzie Ndani ya Chama

Mkuu kupingana ni muhimu sana na kunaleta maendeleo. Ila kwa CHADEMA kunasikika kuna chokochoko watu wanapingana kisha wanakubaliana kinafiki yaani they agree to disagree ndio maana tulisikia wengine wameamua kususia Bunge wenzao wakawapinga na walipofanya uamuzi wa kususia waliopinga hawakwenda kabisa bungeni. kwa maana hiyo hapa walikubaliana kutokubaliana. Chama kikiendelea hivi huwa mwisho wake ni mbaya na hasa ikitokea kikaingiliwa na mamuluki wa kisiasa.
 
Uko sahihi kwa sababu Huyu Mdau mtoa hoja amejiunga Leo tu hivyo atakuwa katumwa na watu!
Kimsingi Kutofautian ndiyo Kuelewana ,CDM tunaruhusu tofauti za Kimawazo,Kila Kiongozi au Mwanachama ana Uhuru wa Kuwasilisha mawazo yake BILA Unafiki wa NDIYO kwa Kila kitu......Hizi tofauti Ndizo zinazokijenga Chama na Kukiweka Hapo Kilipo na Cha Msingi ni Kwamba Mwisho wa Siku Kuna Makubaliano na Mambo yanaenda Mbele! Huo ndiyo Msingi wa Demokrasia tunayoidai..Ni lazima Ianzie Ndani ya Chama

Mkuu kupingana ni muhimu sana na kunaleta maendeleo. Ila kwa CHADEMA kunasikika kuna chokochoko watu wanapingana kisha wanakubaliana kinafiki yaani they agree to disagree ndio maana tulisikia wengine wameamua kususia Bunge wenzao wakawapinga na walipofanya uamuzi wa kususia waliopinga hawakwenda kabisa bungeni. kwa maana hiyo hapa walikubaliana kutokubaliana. Demokrasia inataka watu wakiamua basi unakuwa ni uamuzi wa wote na sio kuamua uamuzi ukawa wa wale waliokuwa wanaunga mkono na wasiounga mkono wanakuwa si sehemu ya maamuzi. Chama kikiendelea hivi huwa mwisho wake ni mbaya na hasa ikitokea kikaingiliwa na mamuluki wa kisiasa.
 
Vijana tunakiamini chama cha demokrasia na maendeleo,kwa namna kinavyosimama na kuibua na kuhoji mambo muhimu sana katika jamii yetu.

Hata wazazi wetu wanaamini chadema ndio kimbilio letu, licha ya wao kutuonya kuhusu kujitokeza mbele sana kwenye harakati za siasa, wakihofia usalama wetu.

Ila sasa viongozi wetu mnapoonekana kuvutana kwa ajiri ya tamaa za madaraka na ruzuku, ni aibu sana na ipo siku vijana wengi watafuatilia kiundani mambo ya chama chetu na ikiwa watabaini ukweli ulio tofauti na hisia zao, basi wataingia msituni kwani hawataamini mabadiliko kupitia chama cha siasa.

Ikiwa CHADEMA hakitabadilika kimtazamo, kisera na ki-organisation, hakuna mafanikio, nawaomba sana Mbowe, Slaa na Zitto kubalini kukaa na kushauriana.

I dnt understant wht the deal with uwenyekiti, tafadhali sana vijana vyuoni sasa wameanza kuhoji undani wa ugomvi wa Mbowe na Zitto kila wanapo onana.

Na ni kwa nini wanaonekana kutosikilizana hata kwa jambo la maana, tunajitahidi kujibu maswali magumu sana kutoka kwa vijana wasiojua CHADEMA, ila tunafanikiwa kuwatuliza na kuwapa moyo, ila wakati mwingine unajibu mtu na unaona haimwingii akilini.

Please msituumize kabisaaa.
Wajinga ndio waliwao!
 
Comrade Mkandara,kudos!

Ofcourse,No need to point finger and no need to continue to look back; together let us focus on grooming the young Generation to lead this great nation.

Eventhough situation in Tanzania is currently very unpleasant, but it's not too late, there is definitely bright light at the end of the tunnel. We need to rejuvenate the standard of our Party by uplifting our archetype and removal of all barriers that are descending the developmental level of the party and hence our country.
 
Comrade Mkandara,kudos!

Ofcourse,No need to point finger and no need to continue to look back; together let us focus on grooming the young Generation to lead this great nation.

Eventhough situation in Tanzania is currently very unpleasant, but it's not too late, there is definitely bright light at the end of the tunnel. We need to rejuvenate the standard of our Party by uplifting our archetype and removal of all barriers that are descending the developmental level of the party and hence our country.
Thanks...

Genuinely disgusted with all shit about Mbowe vs Zitto, can't stop wandering what Wadanganyika are all about!
While we have got a President who will fight everyone on his path, A president who refuses to give in when the party wanted to replace him as chairman, he changed the secretariat to his choice and convenient. A President of the unknown, who went out and smeared members of his own caucus, tried to destroy their public reputation through other people while he himself campaigned for them...yet again he can't fire them for fear of their retaliationagainst. WHAT a CLASSIC..

All this in the name of pure fear factor, people would swallow and digest, ignoring politicians like Mbowe and Zitto acknowledging reality. Would rather pick old stocks of what seems to be their reality as long as they seem to grip on something, for were taught to hate - Hate Chadema, hate everyone and anything associated to. That was Ujamaa na Kujitegemea policies of hate and it keeps at pace with your generation.

Be hold Wadanganyika...We have got to stand and fight, fight not for Mbowe or Zitto, and is not about Chadema and CCM either. This is about ourselves and the kind of democracy we would like to stand...Peace!
 
Mkandara,Bravo!

The failures of both the past and present of our beloved country Tanzania is worrying; in terms of political and economical frustrations.I would have thought that by people discussing the problems, maybe a solution would come, and maybe we would have a well educated sound leader who understands macroeconomics and logistic. In the past 50 years, not so much had been accomplished. I acknowledge it is longer, but is it the length of time that matters. Let us for reallyForget about Zitto vs Mbowe,Chadema Vs CCM,thanks to you for pointing it out .

The point is why are we keep getting it wrong; why is that we expect our government to be any better than those that came before them and even anticipate better in future regimes; why we sit down in our groups and only discuss the dogma that dull our chances of survival; why can't we stand up and say enough is enough; why can't we really start thinking and investing into the future, our children's future so that they can grow up and feel proud to be called Tanzanians. Are our problems solely based on the privilege few that use every means of corruption and manipulation to edge away the wealth of the nation, therefore creating the vicious cycle of ignorance. I believe our corrupted, unenlightened, biased, short sighted leaders are just part of the products that we Tanzanians create. Yet, I can't lay the blames only on Tanzanians, but also to acknowledge the birth of the nation from the British colonial era. We are a collection of tribes brought together so that the British could manage us effectively.


The future continues to look bleak but we can use Direct advise, our votes, our phones, our twitter, our facebook, our email to effect the type of change that the youths in Egypt effected in 18 days. Remember, the youths of Egypt made sacrifice, they were resolute, they abandoned ethnic differences,Political ideologies, they influenced and mobilised their parents and their friends because they wanted to salvage their future. The future does not belong to the parents, it belongs to the youths.

The objective is simple, to have a clean break from the past, issue CCM a red card and restore hope for the future. Let us initiate and support the movement for change,we are still young at heart and desire a brighter rewarding future. Let us continue to dream of a great Tanzania
 
this was my 1st post, and it seems to be contributed than ever, thanks for yuor concerns and some new vissions i can see and read.
 
this was my 1st post, and it seems to be contributed than ever, thanks for yuor concerns and some new vissions i can see and read.
Andika kwa kiswahili. Wenzio watakucheka. Muhimu ni kuwa tofauti za Mbowe na Zitto ni za kufikirika zaidi kuliko hali halisi. Mara zote wamekuwa wakitofautiana kwenye vikao halafu hayaendi zaidi ya hapo. Wapambe wao na sisi humu ndio huwa tunazikuza bila sababu. Hata vikao vya harusi na misiba watu hutofautiana lakini hatimaye harusi au msiba hufanyika na kukamilika. Zitto na wengine mle kwenye vikao vya CHADEMA wanafanya jambo jema kutokubaliana kila kitu na mwenyekiti wao. Wakikubaliana kila kitu maana vikao itakuwa haipo na utakuwa ndio mwanzo wa "zidumu fikra sahihi za mwenyekiti!".
Kosa dogo tu la bwana mdogo Zitto ni pale anapovujisha kile kilichoamuliwa kwenye vikao na alikosimamia yeye.
 
Ngoja niweke hivi: Hadi pale CHADEMA itakapobadilisha mfumo na muundo wake kama chama itaendelea kujikuta kwenye matatizo yale yale. Haitojalisha nani ni Mwenyeki, Katibu au Naibu! Walipocopy na kupaste mfumo wa CCM walinakili vile vile namna matatizo yanavyotokea ndani ya CCM. Quote me.
 
tatizo ni kwamba zitto anapenda kuingilia mambo ya mwenzake mbowe. mbowe akicheza dili zake yy anaingilia kwa mfano mbowe yy baada ya kuona magari yamekosa wateja anataka kuwauzia chama zitto anaingilia, mbowe akamwambia zitto na wewe kama unataka nawewe tuuzie hammer lako ili mwisho wa wiki slaa baada ya kuchoka na kazi za kukisafishia chama njia ya ikulu atumie, zitto akakataa sasa hapo ndio mwanzo wa ugonvi wao.
Asante kwa kutufahamisha
 
Ngoja niweke hivi: Hadi pale CHADEMA itakapobadilisha mfumo na muundo wake kama chama itaendelea kujikuta kwenye matatizo yale yale. Haitojalisha nani ni Mwenyeki, Katibu au Naibu! Walipocopy na kupaste mfumo wa CCM walinakili vile vile namna matatizo yanavyotokea ndani ya CCM. Quote me.
Ni mfumo gani unaopendekeza!
 
CDM inamatatizo zaidi ya Mbowe na Zitto. Wengi tunawasingizia watu hawa. Pale kuna watu wanaitwa waasisi, hawa wananguvu saana katika maamuzi. Mbowe pale huambiwa ni nini cha kufanya na Zitto huwa aonavyo, na hapo ndio kazi huanza.
Lakini Swali rahisi, hivi kwanini siri za vikao za CDM zinazagaa hata kabla ya kikao kuisha. Hivi ni lazima kila kikao kinachofanyika watu wajue yaliyojadiliwa? Hivi hawaoni kutofautiana kidogo, wananchi watajua ndiyo mwanzo wa mwisho wa CHAMA.
 
mzee haijalishi; watakapochoka na matatizo na kuamua kweli wanataka kujiandaa kutawala wataamua la kufanya.

Ni kweli Mwanakijiji hawajamaa hawapo tayari kutawala. Mie naipenda CDM si kwamba nataka iongoze nchi maana haijakomaa bali inaleta changamoto kwa serikali na kuifanya ikumbuke wajibu wake na kutekeleza matakwa ya wananchi wake.
 
Ni kweli Mwanakijiji hawajamaa hawapo tayari kutawala. Mie naipenda CDM si kwamba nataka iongoze nchi maana haijakomaa bali inaleta changamoto kwa serikali na kuifanya ikumbuke wajibu wake na kutekeleza matakwa ya wananchi wake.

Hili siyo jukumu la CDM ni jukumu la wana CCM; CDM jukumu lake (na la vyama vingine vya upinzani) ni kuidhoofisha serikali iliyoko madarakani ili hatimaye wapiga kura waikatae na kuiondoa madarakani ili chama hicho kiingie madarakani kuongoza.
 
Thanks...

Genuinely disgusted with all shit about Mbowe vs Zitto, can't stop wandering what Wadanganyika are all about!
While we have got a President who will fight everyone on his path, A president who refuses to give in when the party wanted to replace him as chairman, he changed the secretariat to his choice and convenient. A President of the unknown, who went out and smeared members of his own caucus, tried to destroy their public reputation through other people while he himself campaigned for them...yet again he can't fire them for fear of their retaliationagainst. WHAT a CLASSIC..

All this in the name of pure fear factor, people would swallow and digest, ignoring politicians like Mbowe and Zitto acknowledging reality. Would rather pick old stocks of what seems to be their reality as long as they seem to grip on something, for were taught to hate - Hate Chadema, hate everyone and anything associated to. That was Ujamaa na Kujitegemea policies of hate and it keeps at pace with your generation.

Be hold Wadanganyika...We have got to stand and fight, fight not for Mbowe or Zitto, and is not about Chadema and CCM either. This is about ourselves and the kind of democracy we would like to stand...Peace!
Can y'all stop justifying that beef?
If corruption and bad procurement policies is something that we are all against then Mbowe definately needs to be responsible,with all members that approved the purchase of his used Fusos and some Indian trucks(used).This is about people's money!!!...just because the president is corrupt,it dont mean Mbowe,Slaa and Lema should be corrupt too!!

What a b***h ass party!!
 
Can y'all stop justifying that beef?
If corruption and bad procurement policies is something that we are all against then Mbowe definately needs to be responsible,with all members that approved the purchase of his used Fusos and some Indian trucks(used).This is about people's money!!!...just because the president is corrupt,it dont mean Mbowe,Slaa and Lema should be corrupt too!!

What a b***h ass party!!
Nobody justified anything..'cause I know deep what's up. You want Mbowe to be responsible on what? if 90% of members voted for buying used trucks what make you think he isn't responsible!.

Talking about peoples money, since when buying used trucks has been irresponsible and corrupt without taking in account the value money can buy..
And believe me I don't see any similarity between the two. JK is corrupt and you can hit the dictionary for the definiton of corruption, but this, I wonder which dictionary view(s) did you first look at to understand or get a high-level idea of a given replication environment!!!!
 
Ni mfumo gani unaopendekeza!
Ujamaa na kujitegemea with the AA incorporation in our constitution.Kiongozi hatakiwi kuwa mfanyabiashara ni lazima awe mkulima au mfanyakazi,na asiwe ameajiri hata house girl!!....
 
Back
Top Bottom