Mimi naomba kuuliza swali kwa Askofu Kilaini na WanaJF mahakama ya kadhi na OIC zinahusiana vipi na Ufisadi naombeni jibu tafadhali.
Pili ndani waraka unasema katiba iheshimiwe naomba kama kuna mdau anayo katiba atuwekee tuanze kichambua maana kama waraka ulivyosema kuwa katiba imetungwa na wananchi na pia katiba isielekee upande mmoja iangalie pande zote mbili vinginevyo ilo ikae kimya. Tunaomba katiba wakubwa.
Mwisho upande fulani naungana na Kingunge kwamba msijijidai kutupaka mafuta huu ni unafiki wa kanisa katoliki unajulikana dunia nzima wanataka kutuwekea serikali ambayo inafata maelekezo yao ili iprotect interest za kanisa. Mara nyingi hiyo strategy huishia katika machafuko. Kama mlikuwa mnaupinga ufisadi mbona mlikurupuka alipochaguliwa JK na kumsifu kuwa ni chaguo la mungu??? five years later mnaleta muongozo wa kuchagua viongozi huu si unafiki. Mlikuwa wapi nyuma na hata huo muongozo mlioutoa mwaka 2005 mbona ulitoka kimya kimya sembuse huu au kwavile mnajua jamii inachukia ufisadi ndio mnajidai kuleta unafiki sasa hivi???
Naomba mwongozo waheshimiwa.
Pili ndani waraka unasema katiba iheshimiwe naomba kama kuna mdau anayo katiba atuwekee tuanze kichambua maana kama waraka ulivyosema kuwa katiba imetungwa na wananchi na pia katiba isielekee upande mmoja iangalie pande zote mbili vinginevyo ilo ikae kimya. Tunaomba katiba wakubwa.
Mwisho upande fulani naungana na Kingunge kwamba msijijidai kutupaka mafuta huu ni unafiki wa kanisa katoliki unajulikana dunia nzima wanataka kutuwekea serikali ambayo inafata maelekezo yao ili iprotect interest za kanisa. Mara nyingi hiyo strategy huishia katika machafuko. Kama mlikuwa mnaupinga ufisadi mbona mlikurupuka alipochaguliwa JK na kumsifu kuwa ni chaguo la mungu??? five years later mnaleta muongozo wa kuchagua viongozi huu si unafiki. Mlikuwa wapi nyuma na hata huo muongozo mlioutoa mwaka 2005 mbona ulitoka kimya kimya sembuse huu au kwavile mnajua jamii inachukia ufisadi ndio mnajidai kuleta unafiki sasa hivi???
Naomba mwongozo waheshimiwa.