Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
ninavyodhani......jina hili limetokana na movie iliyopata umaarufu sana hapa nchini enzi zile movie za kinigeria zilipoingia....(Aki na Ukwa 1&2).....iliyochezwa na vijana machachari Osita na Chinedu....(Aki na Paw Paw)......
Ni jina la msimu ambalo mwishowe limepata umaarufu sana na ukiangalia chimbuko lake ni hapa TZ..(naruhusu kusahihishwa)
Ni jina la msimu ambalo mwishowe limepata umaarufu sana na ukiangalia chimbuko lake ni hapa TZ..(naruhusu kusahihishwa)