Wapinzani wanataka mikutano ya kisiasa kwa malengo gani?

Who made constitution?katiba ni watu wamekaa wakaitengeza sio kila kitu kwenye katiba ni pie 22/7 vingine vinabadilika kulingana na Rais ndo Head of State anauwezo wa kutengua kile anaona hakina faida kwa nchi.
Hayo yanafanyika kwa katiba ambayo kipengele cha taasisi ya urais kimekuwa siyo rigid.Inamaana kwa katiba hii hata wewe ukiwa ndiyo top basi waweza Fanya lolote kwa utashi wako maana katiba imeruhusu.Lakini kwa marekani haiwezekani kutokana na katiba yao.Lakini usiumize kichwa kwakuwa upo vizuri kutetea unachokifahamu,na huo ndiyo upeo wako wa kufikiri ulipoishia.
 
KASOME KATIBA KWANZA HALAFU UJE KUFUTA UZI
Freedom of expression siwez kufuta uzi
Kama ni hivo nyuzi nyingi sana zimefutwa humu
And goodenough miaka ya nyuma wamefanya sana mikutano hayo maendeleo yapo wapi?
Too much Democracy is undemocracy.
 
Freedom of expression siwez kufuta uzi
Kama ni hivo nyuzi nyingi sana zimefutwa humu
And goodenough miaka ya nyuma wamefanya sana mikutano hayo maendeleo yapo wapi?
Too much Democracy is undemocracy.

WEWE USIWE KAMA HUJIELEWI,VYAMA VYA UPINZANI NI MIONGONI MWA CONTROL YA MECHANISM DHIDI YA UTENDAJI MBOVU WA SERIKALI KWA PRINCIPLE ILEILE KWAMBA MTU HAWEZI KUJIKOSOA MWENYEWE AU KUONA MAPUNGUFU YAKE.

HALAFU HILI SUALA NIMEKUAMBIA NI LA KIKATIBA NA VYAMA VYA UPINZANI KWA MUJIBU WA KATIBA VINA UHURU WA KUFANYA MIKUTANO YA SIASA SEHEMU YOYOTE NCHINI BILA KUJALI NI JIMBO LAKE AU SYO LAKE KWA SABABU VYAMA NI KWA AJILI YA WANANCHI WOTE NA SYO MAJIMBO.
 
Hongera Rais kwa Maendeleo chanya yanayooneka na kufanya chaguzi mbalimbali za viongozi bila kujali itakadi za vyama:Ref Dr Slaa,Mama Mwigira.

Pamoja na mazuri yote hayo ila bado Wapinzani wanaona hakuna mazuri unayoyafanya ajenda yao kubwa imekua ni wewe kuruhusu mikutano ya kisiasa and all in all hiyo mikutano haijanyimwa ila ni kwamba kila mtu afanye kwenye jimbo lake la uchaguzi.

Swali ni Je Wapinzani wanalilia hiyo Mikutano ili nini??na wakati kila kitu kinaenda sawa!

Nb...Dr Slaa atarudi CCM rasmi na kugombea ubunge tena jimbo la karatu na kupewa Uwaziri ila sijui utakua wa nini.

Time will tell.
Wanataka mikutano ili waletelete vifujo vyao kama walivyofanya Moshi Juzijuzi hapa.
 
WEWE USIWE KAMA HUJIELEWI,VYAMA VYA UPINZANI NI MIONGONI MWA CONTROL YA MECHANISM DHIDI YA UTENDAJI MBOVU WA SERIKALI KWA PRINCIPLE ILEILE KWAMBA MTU HAWEZI KUJIKOSOA MWENYEWE AU KUONA MAPUNGUFU YAKE.

HALAFU HILI SUALA NIMEKUAMBIA NI LA KIKATIBA NA VYAMA VYA UPINZANI KWA MUJIBU WA KATIBA VINA UHURU WA KUFANYA MIKUTANO YA SIASA SEHEMU YOYOTE NCHINI BILA KUJALI NI JIMBO LAKE AU SYO LAKE KWA SABABU VYAMA NI KWA AJILI YA WANANCHI WOTE NA SYO MAJIMBO.
Siku zote kama mtu anaona katiba imevunjwa kuna mahali pa kwenda Mahakamani Kenya waliona katiba imevunjwa wakaenda Mahakamani yaliyotokea tumeyaona wote na wapinzani nao wakiona katiba imevunjwa basi wakimbie Mahakamani.
 
Back
Top Bottom