bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Hongera Rais kwa Maendeleo chanya yanayooneka na kufanya chaguzi mbalimbali za viongozi bila kujali itakadi za vyama:Ref Dr Slaa,Mama Mwigira.
Pamoja na mazuri yote hayo ila bado Wapinzani wanaona hakuna mazuri unayoyafanya ajenda yao kubwa imekua ni wewe kuruhusu mikutano ya kisiasa and all in all hiyo mikutano haijanyimwa ila ni kwamba kila mtu afanye kwenye jimbo lake la uchaguzi.
Swali ni Je Wapinzani wanalilia hiyo Mikutano ili nini??na wakati kila kitu kinaenda sawa!
Nb...Dr Slaa atarudi CCM rasmi na kugombea ubunge tena jimbo la karatu na kupewa Uwaziri ila sijui utakua wa nini.
Time will tell.
Pamoja na mazuri yote hayo ila bado Wapinzani wanaona hakuna mazuri unayoyafanya ajenda yao kubwa imekua ni wewe kuruhusu mikutano ya kisiasa and all in all hiyo mikutano haijanyimwa ila ni kwamba kila mtu afanye kwenye jimbo lake la uchaguzi.
Swali ni Je Wapinzani wanalilia hiyo Mikutano ili nini??na wakati kila kitu kinaenda sawa!
Nb...Dr Slaa atarudi CCM rasmi na kugombea ubunge tena jimbo la karatu na kupewa Uwaziri ila sijui utakua wa nini.
Time will tell.