Uganda: Polisi wapiga marufuku mikutano ya kisiasa ya Bobi Wine kwa madai ya kumtukana Rais Museveni

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,051
49,736
Jeshi la Polisi nchini Uganda limepiga marufuku mikutano ya kisiasa ya kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, kutokana na ukiukaji wa utaratibu na kumchafua Rais Yoweri Museveni.

Polisi nchini humo wamesema mtu mmoja amefariki na wengine 10 kujeruhiwa vibaya katika mikutano yake, lakini Bob Wine ameahidi kuendelea na mikutano hiyo.

---

Afrika hii Wapinzani wanafanana tabia na ndio maana Serikali zinawashughulikia.

Watu hawawezi kujadili hoja ila kutukana Viongozi.Tabia hizi ni za kukomeshwa.

Naunga mkono Polisi wa Uganda kumshughulikia Bob Wine.Bado Chadema na Viongozi wake.

Polisi nchini Uganda wamepiga marufuku mikutano ya kisiasa inayoandaliwa na kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi, ambaye pia anajulikana kama Bobi Wine, kutokana na ukiukaji wa utaratibu wa umma na kumchafua rais.

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Tumusiime Katsigazi Jumatano alisema mtu mmoja amefariki na wengine 10 kujeruhiwa vibaya katika mikutano ya chama cha National Unity Platform (NUP).

Bw Katsigazi aliwaonya wafuasi wa NUP dhidi ya kile alichokitaja kuwa "mawazo ya kundi la watu...dhidi ya raia na wasimamizi wa usalama".

Polisi pia walimshutumu Bw. Kyagulanyi kwa kuchochea makundi katika mikutano yake iliyoanza Jumatatu.

Bw Kyagulanyi, hata hivyo, ameapa kuendelea na mikutano na kuwataka wafuasi wake "kusubiri ishara". Anatumia mikutano hiyo kuinua uungwaji mkono mashinani kabla ya uchaguzi mkuu wa 2026. Source BBC

Nilijua tu mzee hawezi vumilia mikutano ya bob wine
 
Jeshi la Polisi nchini Uganda limepiga marufuku mikutano ya kisiasa ya kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, kutokana na ukiukaji wa utaratibu na kumchafua Rais Yoweri Museveni.

Polisi nchini humo wamesema mtu mmoja amefariki na wengine 10 kujeruhiwa vibaya katika mikutano yake, lakini Bob Wine ameahidi kuendelea na mikutano hiyo.

---

Afrika hii Wapinzani wanafanana tabia na ndio maana Serikali zinawashughulikia.

Watu hawawezi kujadili hoja ila kutukana Viongozi.Tabia hizi ni za kukomeshwa.

Naunga mkono Polisi wa Uganda kumshughulikia Bob Wine.Bado Chadema na Viongozi wake.
Nakuunga mkono katika presentations zako, ila kwa hili hapana issue ya Bob wine ni tofauti na ya wapinzani wa kwetu hapa, Bob wine hajamtukana mtu yoyote pale hata m7 iko makini sana ni kwasbb ni tishio kwa mseveni na mtoto wake Muhozi, Bob wine ana nyomi ya wafuasi wasomi, vijana na watu wazima, bobwine inasadikika ali mshinda m7 kwa uchaguzi ulio pita kwa % kubwa sana, yule ni zaidi ya tishio pale Uganda sio hao vijana wetu kama Mdude Chadema au Lema nk.
 
Polisi nchini Uganda wamepiga marufuku mikutano ya kisiasa inayoandaliwa na kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi, ambaye pia anajulikana kama Bobi Wine, kutokana na ukiukaji wa utaratibu wa umma na kumchafua rais.

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Tumusiime Katsigazi Jumatano alisema mtu mmoja amefariki na wengine 10 kujeruhiwa vibaya katika mikutano ya chama cha National Unity Platform (NUP).

Bw Katsigazi aliwaonya wafuasi wa NUP dhidi ya kile alichokitaja kuwa "mawazo ya kundi la watu...dhidi ya raia na wasimamizi wa usalama".

Polisi pia walimshutumu Bw. Kyagulanyi kwa kuchochea makundi katika mikutano yake iliyoanza Jumatatu.

Bw Kyagulanyi, hata hivyo, ameapa kuendelea na mikutano na kuwataka wafuasi wake "kusubiri ishara". Anatumia mikutano hiyo kuinua uungwaji mkono mashinani kabla ya uchaguzi mkuu wa 2026. Source BBC

Nilijua tu mzee hawezi vumilia mikutano ya bob wine
20230914_134044.jpg
 
Jeshi la Polisi nchini Uganda limepiga marufuku mikutano ya kisiasa ya kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, kutokana na ukiukaji wa utaratibu na kumchafua Rais Yoweri Museveni.

Polisi nchini humo wamesema mtu mmoja amefariki na wengine 10 kujeruhiwa vibaya katika mikutano yake, lakini Bob Wine ameahidi kuendelea na mikutano hiyo.

---

Afrika hii Wapinzani wanafanana tabia na ndio maana Serikali zinawashughulikia.

Watu hawawezi kujadili hoja ila kutukana Viongozi.Tabia hizi ni za kukomeshwa.

Naunga mkono Polisi wa Uganda kumshughulikia Bob Wine.Bado Chadema na Viongozi wake.
Bobby is next president, its a matter of time.
 
Jeshi la Polisi nchini Uganda limepiga marufuku mikutano ya kisiasa ya kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, kutokana na ukiukaji wa utaratibu na kumchafua Rais Yoweri Museveni.

Polisi nchini humo wamesema mtu mmoja amefariki na wengine 10 kujeruhiwa vibaya katika mikutano yake, lakini Bob Wine ameahidi kuendelea na mikutano hiyo.

---

Afrika hii Wapinzani wanafanana tabia na ndio maana Serikali zinawashughulikia.

Watu hawawezi kujadili hoja ila kutukana Viongozi.Tabia hizi ni za kukomeshwa.

Naunga mkono Polisi wa Uganda kumshughulikia Bob Wine.Bado Chadema na Viongozi wake.
Museveni mwenyewe anasemaje?
 
Back
Top Bottom