Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,638
- 46,279
Kuondolewa kwa zuio haramu la mikutano ya hadhara ya siasa ni fursa nyingine inayofungua milango ya kisiasa kujenga na kumarisha demokrasia ya Tanzania wapinzani wanapaswa kuchanga karata zao vizuri katika agenda watakazotoka nazo.
Japo mlikuwa wahanga wakubwa wa utawala wake mnatakiwa kuachana na kumzungumzia au kulitaja jina la Magufuli kabisa katika majukwaa ya hadhara ya kisiasa. Magufuli haipaswi kuwa mojawapo ya ajenda kwa sababu hayagusi maisha ya raia tena kwa namna yoyote kwa sasa, hata hivyo mnaweza kuwazungumzia watu wake aina ya kina Mnyeti, Gelasius Byakanwa, Makonda, Sabaya, Muro n.k
Ajenda kuu za upinzani zinatakiwa kuwa
1. Hali ya maisha kiuchumi
2. Upatikanaji wa huduma za kijamii
3. Miondombinu
4. Hali ya kidemokrasia
5. Tume huru ya uchaguzi
6. Katiba mpya
7. Mikopo ya nchi
8. Mazingira ya kufanya biashara
9. Matumizi ya serikali
10. Uvunaji na uhifadhi wa maliasili zetu.
Japo mlikuwa wahanga wakubwa wa utawala wake mnatakiwa kuachana na kumzungumzia au kulitaja jina la Magufuli kabisa katika majukwaa ya hadhara ya kisiasa. Magufuli haipaswi kuwa mojawapo ya ajenda kwa sababu hayagusi maisha ya raia tena kwa namna yoyote kwa sasa, hata hivyo mnaweza kuwazungumzia watu wake aina ya kina Mnyeti, Gelasius Byakanwa, Makonda, Sabaya, Muro n.k
Ajenda kuu za upinzani zinatakiwa kuwa
1. Hali ya maisha kiuchumi
2. Upatikanaji wa huduma za kijamii
3. Miondombinu
4. Hali ya kidemokrasia
5. Tume huru ya uchaguzi
6. Katiba mpya
7. Mikopo ya nchi
8. Mazingira ya kufanya biashara
9. Matumizi ya serikali
10. Uvunaji na uhifadhi wa maliasili zetu.