Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,881
- 4,993
Una uhakika jiwe atakuwa hai? Yeye mwenyewe mla rushwa mzuri tu! Hata wakati akiwa waziri amekula sana rushwa!Ni kwamba JPM atakuwa rais Hadi mwaka wa 2025 na inawezakana tukampa mingine ili baada ya hapo ni hawa wala rushwa wakubwa wa Sasa wawe wamekufa au wamezeeka sana hivyo hawatakuwa na madhara.