Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
UNAJITAMBUA LAKINI???Usimlinganishe rais JPM na Membe. JPM ana jeuri na kiburi cha kazi, ubunifu wa miradi ya maendeleo, kupiga vita rushwa na ufisadi, kutetea matumizi ya rasilmali za taifa kwa faida ya wananchi, kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma, kusimamia ukusanyaji Kodi. Akiwa na kiburi cha maendele Kama haya nini mbaya? Membe labda atakuwa na kiburi Cha kufanya aliyozoea yaani kutumia Boeing na bombardier zetu huko angani na bakuli kwapani kuomba omba.