Wapinzani tusimjibu Makonda. Tukimjibu tu tunajiharibia kwa wananchi

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.

Lakini tumebako kubug'aaa tu.

Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.

Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
 
Mumjibu mara ngapi?,nyie ni nyumbu waheed,sasahivi habari ni Makonda iwe nyie watoa taarifa na baadhi ya wanaccm wategemea mbereko za wazazi wao
 
Hivi Makonda alipaswa kueleza ubovu wa serikali ya CCM hadharani badala ya kuonyana huko kwenye vikao vyao?
CCM ni chama chao, serikali wameunda wao sasa afanyacho ni kuutaarifu umma kuwa kwa miaka yote hii CCM imeshindwa kuunda serikali madhubuti itakayo simamia rasilimali na ustawi wa wananchi.
Hii serikali sio ya Chadema wala UPDP bali ya CCM na Makonda anazunguka kuwaumbua watendaji waliowekwa na chama chao.
WANANCHI SIO WAJINGA
 
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.

Lakini tumebako kubug'aaa tu.

Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.

Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Hivi na nyie Kuna watu wanawaamini? 😁😁
 
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.

Lakini tumebako kubug'aaa tu.

Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.

Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Yaani mafisadi na wazembe wanaweza kuzuiwa na maigizo ya huyo muhalifu? Wapinzani hawana muda wa kujibishana na mfungwa mtarajiwa.
 
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.

Lakini tumebako kubug'aaa tu.

Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.

Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.

Kwani nani kamjibu?. Kila mtu na time zake. Yeye kabakia kuwaamrisha Wana CCM wenzake.
 
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.

Lakini tumebako kubug'aaa tu.

Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.

Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Na wewe tuondolee upumbavu wako wa kiuvccm hapa. Wakikunyima posho unajifanya nawe mpinzani pambaf.
 
Kwani nani kamjibu?. Kila mtu na time zake. Yeye kabakia kuwaamrisha Wana CCM wenzake.
Eti juzi anawataka wapinzani wafanye mikutano ili apate watu wa kijibishana nao, na kuonyeshana nyomi fake. Bahati nzuri wapinzani wamempotezea, amebaki kutoa maagizo ya kisanii ili aonekane anafanya kazi.
 
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.

Lakini tumebako kubug'aaa tu.

Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.

Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Nyie chadema matusi ndio mnaweza, siasa za hoja masuala hayo wenyewe ni ACT WAZALENDO.
 
Back
Top Bottom