Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.