Wapinzani ndio wabunge bora katika Bunge letu

Wapinzani ndio wabunge bora katika Bunge letu

Ila kiukwel wabunge wa upinzan ni bora kuliko wale wa ccm.Mfano wabunge wa geita,chato,kahama,singida mjin,nyamagana,kama hawapo bungen
 
Mbona bunge lipo live tbc 2? Au ndo kupenda vya bure?
 
Nafikiri wabunge kuwa bora inategemea unawauliza wananchi wa nchi gani. Kwa wabongo, wabunge bora ni wale wanaolala na kusinzia bungeni, wasiouliza na kuihoji serikali na wanaopenda kuwapigia makofi mawaziri wa serikali yao. Huwezi kuwa bora bila kufuata utaratibu huo. We leave in a corrupted system and that is how things work.
 
Pesa za live huko nyuma zilikuwa hazifiki TBC zilikuwa zinaliwa na wajanja juu kwa juu kuna ufisadi hapo Nape kaamua kufunika kombe ili kuwaokoa mawaziri waliopita na wengineo ambao wapo, hata ile gharama ya kulusha live ilikuwa ikiongezwa kifisadi, TBC kuna wadhamini wa vipindi na bunge lingeweza kudhaminiwa na kampuni nyingi tu, kinachofanyika sasa ni kuficha Uovu wa awali kisha baadae warushe live kwa style mpya ya kuiba pesa za live, Yaani bunge watalipia live kisha ile pesa itapigwa na wajanja huku wadhani wakilipia live hiyo hiyo na mambo kwenda Vizuri pasipo kushitukiwa.

hawa wajanja watafutwe ..kama ni kweli

aisee
 
Hawana hoja za msingi, ni kujibebisha tuu
Yaani badala ya kuandamana alarm ya vifo vya kina mama wakati wa kujifungua eti wanaboycot kwa kuitwa baby! Hopeless kabisa. Katiba mpya itoe vigezo kwa viti maalum kama wanataka viwepo lakini wafanye interview!
 
Mbunge bora ni msukuma-wa Geita vijiji,
kwanza Hoja zake tofauti na wabunge wenzake ,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom