Wapinzani msimkatae Membe kwa sababu ya Lowassa na Sumaye

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,313
12,613
Mwl Nyerere alishaweka nadhili yake kwa kusema "Mpinzani atayeing'oa CCM atatoka CCM. Ahadi hii bado ipo mpaka leo ni maswala ya muda tu. Huenda mida imefika.

Kwa vyovyote vile Mh. sio mwanasiasa wa uzito mdogo kwenye siasa za Tanzania. Kumfukuza na kumpokea kwenye chama Cha siasa kunaleta athari.

Kama umeamua kumfukuza basi kaa kimya usubiri matokeo yake sio tena kumtabiria na kumshauri nini afanye, kurudi kuomba msamaha au kukata rufaa, atasamehewa, nk. Kufanya hivi sio sawa maana tunajuwa kuwa hata Kama akirudi CCM bila shaka atarudi kwa masharti lukuki ambayo hayatamwezesha kutimiza ndoto yake 2020.

Baada ya Lowassa na Sumaye kurejea CCM kuendelea kumuongelea na kumsindikiza Membe kwa maneno ni kuwakumbusha wapinzani ya Sumaye na Lowassa ili waingiwe hofu ya kumpokea Mh. Kwenye vyama vyao.

Wapinzani msimkatae Membe kwasababu ya Lowassa na Sumaye kila mtu ahukumiwe kwa makosa yake.
 
Kujiunga chama cha siasa ni haki ya kikatiba. Kufukuzwa ndiyo sijui. Hapa kuna shida, ukiwa mwanachama kindaki ndaki maana yake ideology inakuwa ya chama kile. Inakuwa damuni kabisa. Ni zaidi ya simba na yanga umkute mtu amekuwa simba miaka yote kisha aende yanga. Nafikiri kuna shida kubwa katika mfumo wa siasa duniani, mwanachama anapaswa kuwa life member na akikosa ananyimwa some privileges ila anabaki chamani kwa ajili ya hii ideology until death do them apart. Ni mawazo yangu ikiwa tunafanya siasa za kweli. Kwa mamlaka tu hawa wanachama wanaofukuzwa huwania vyeo kwa kuwa ndiyo malengo yao. Hakuna hata mmoja anayetaka kuwa mwanachama wa kawaida. Wakae hadi waive ndiyo kwa demokrasia wapewe nafasi ikionekanana inafaa. Ukiwapa kazi kwa mfano ya kukikuza chama hawawezi kwa kuwa ideology tofauti aliyokulia. Tizameni mtaona atiii.
 
Kwahiyo unampangia Bashiru cha kuongea/kufanya?,wewe mbona unatoa maoni yako.hapa bila kupangiwa?,
Mwl Nyerere alishaweka nadhiri yake kwa kusema "Mpinzani atayeing'oa CCM atatoka CCM. Ahadi hii bado ipo mpaka leo ni maswala ya muda tu. Huenda mida imefika.

Kwavyovyote vile Mh. sio mwanasiasa wa uzito mdogo kwenye siasa za Tanzania. Kumfukuza na kumpokea kwenye chama Cha siasa kuna athali.

Kama umemfukuza basi kaa kimya usubiri matokeo take sio tena kumtabiria kurudi kuomba msamaha au kukata rufaa. Kufanya hivi sio sawa maana hata akirudi CCM atarudi kwa masharti ambayo hayatamwezesha kutimiza ndoto yake.

Baada ya Lowassa na Sumaye kurejea CCM kuendelea kumuongelea Membe ni kuwakumbusha wapinzani ya Sumaye na Lowassa ili waingiwe na hofu ya kumpokea mh.

Wapinzani msimkatae Membe kwasababu ya Lowassa na Sumaye
 
Naunga mkono hoja. Madogo wengi humu walikuwa wakisema Membe anakubalika sana CCM na Tanzania kwa ujumla. Walienda mbali zaidi kwamba ndiye mtu sahihi wa kuwa Rais wa Tanzania akiwa na kauli mbiu yake ya "Kazi na Bata". Sawa, Mungu awape nini vijana wa UKAWA. Dodo hilo chini ya mchongoma! Mchukueni Membe awe Mgombea wenu wa urais 20202!!!!!!!!
 
Kujiunga na Upinzani kwa Membe ni yeye tu, ila Chadema akija aje akae bench kwa sababu ni Jasusi mbobezi asije kutukoroga.

Uraisi tunae Jemadari Tundu Mughwai Lissu 2020
Kama ataona Nongwa ajaribu ACT wazalendo
Akijidanganya kwenda CUF atakombwa vijifedha vyake na yule Professa tapeli
Akienda Nccr-mageuzi ndio anaenda kujichimbia kaburi lake kisiasa

Labda aende kwenye povu la kiraracha au kwa mzee hashim rungwe wakakifufue chama
 
Kujiunga na Upinzani kwa Membe ni yeye tu ila Chadema akija aje akae bench kwa sababu ni Jasusi mbobezi asije kutukoroga

Uraisi tunae Jemadari Tundu Mughwai Lissu 2020
Kama ataona Nongwa ajaribu ACT wazalendo
Akijidanganya kwenda CUF atakombwa vijifedha vyake na yule Professa tapeli
Akienda Nccr-mageuzi ndio anaenda kujichimbia kaburi lake kisiasa

Labda aende kwenye povu la kiraracha au kwa mzee hashim rungwe wakakifufue chama
Its Tundu Lissu 2020....Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Tume huru italeta habari hii...!!
 
Its Tundu Lissu 2020....Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Tume huru italeta habari hii...!!
Wakileta kichwa ngumu misaada inakatwa na vikwazo vya kuzui wasisafiri vinafuatia maandamano ambayo hawajawahi kuyaona yanafuatia wakiuwa wananchi Fatou bensouda anawasweka ndani
 
Mwl Nyerere alishaweka nadhiri yake kwa kusema "Mpinzani atayeing'oa CCM atatoka CCM. Ahadi hii bado ipo mpaka leo ni maswala ya muda tu. Huenda mida imefika.

Kwavyovyote vile Mh. sio mwanasiasa wa uzito mdogo kwenye siasa za Tanzania. Kumfukuza na kumpokea kwenye chama Cha siasa kuna athali.

Kama umemfukuza basi kaa kimya usubiri matokeo take sio tena kumtabiria kurudi kuomba msamaha au kukata rufaa. Kufanya hivi sio sawa maana hata akirudi CCM atarudi kwa masharti ambayo hayatamwezesha kutimiza ndoto yake.

Baada ya Lowassa na Sumaye kurejea CCM kuendelea kumuongelea Membe ni kuwakumbusha wapinzani ya Sumaye na Lowassa ili waingiwe na hofu ya kumpokea mh.

Wapinzani msimkatae Membe kwasababu ya Lowassa na Sumaye
Uking'atwa na nyoka........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja. Madogo wengi humu walikuwa wakisema Membe anakubalika sana CCM na Tanzania kwa ujumla. Walienda mbali zaidi kwamba ndiye mtu sahihi wa kuwa Rais wa Tanzania akiwa na kauli mbiu yake ya "Kazi na Bata". Sawa, Mungu awape nini vijana wa UKAWA. Dodo hilo chini ya mchongoma! Mchukueni Membe awe Mgombea wenu wa urais 20202!!!!!!!!
Kazi na Bata Ni kauli ya ZZK sio Upinzani wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujiunga chama cha siasa ni haki ya kikatiba. Kufukuzwa ndiyo sijui. Hapa kuna shida, ukiwa mwanachama kindaki ndaki maana yake ideology inakuwa ya chama kile. Inakuwa damuni kabisa. Ni zaidi ya simba na yanga umkute mtu amekuwa simba miaka yote kisha aende yanga. Nafikiri kuna shida kubwa katika mfumo wa siasa duniani, mwanachama anapaswa kuwa life member na akikosa ananyimwa some privileges ila anabaki chamani kwa ajili ya hii ideology until death do them apart. Ni mawazo yangu ikiwa tunafanya siasa za kweli. Kwa mamlaka tu hawa wanachama wanaofukuzwa huwania vyeo kwa kuwa ndiyo malengo yao. Hakuna hata mmoja anayetaka kuwa mwanachama wa kawaida. Wakae hadi waive ndiyo kwa demokrasia wapewe nafasi ikionekanana inafaa. Ukiwapa kazi kwa mfano ya kukikuza chama hawawezi kwa kuwa ideology tofauti aliyokulia. Tizameni mtaona atiii.

siasa haitakiwi kuwa kama upinzani wa mpira, siasa inahusu mstakabali wa maisha yako na nchi yako kwa njia moja au nyingine. Ushabiki wa mpira unaweza wala usi affect maisha yako ya kila siku. Lakini ukikosea kuchagua viongozi watakaokuongoza basi maisha yako hayatakuwa utakavyotegemea kwa kipindi chote ambacho huyo kiongozi atakuwa madarakani. Wananchi wenye uwelewa kuhusu hili naliliongea wanakuwa makini ikifika wakati wa kujua wamchague nani wakati wa uchaguzi.
 
Mwl Nyerere alishaweka nadhiri yake kwa kusema "Mpinzani atayeing'oa CCM atatoka CCM. Ahadi hii bado ipo mpaka leo ni maswala ya muda tu. Huenda mida imefika.

Kwa vyovyote vile Mh. sio mwanasiasa wa uzito mdogo kwenye siasa za Tanzania. Kumfukuza na kumpokea kwenye chama Cha siasa kuna athari.

Kama umemfukuza basi kaa kimya usubiri matokeo take sio tena kumtabiria kurudi kuomba msamaha au kukata rufaa. Kufanya hivi sio sawa maana hata akirudi CCM atarudi kwa masharti ambayo hayatamwezesha kutimiza ndoto yake.

Baada ya Lowassa na Sumaye kurejea CCM kuendelea kumuongelea Membe ni kuwakumbusha wapinzani ya Sumaye na Lowassa ili waingiwe na hofu ya kumpokea Mh.

Wapinzani msimkatae Membe kwasababu ya Lowassa na Sumaye.

Wapinzani wameshaumwa na nyoka sasa hivi wakiona unyasi wanastuka. Hao wanaccm kwakuwa wanajiamini wanaweza siasa na wanaushawishi, wakaanzishe chama chao cha upinzani, au wakajiunge na vyama vya Dovutwa au Cheyo ili wafanye upinzani. Wanapokuwa madarakani na ndani ya ccm, huwa wanafanya uhayawani wote ili kuua upinzani, lakini wakimwagwa ndio wanatafuta pa kupandishia PR zao ili waitwe ccm tena. Huyo Membe atakula alikopeleka mboga.
 
Mwl Nyerere alishaweka nadhiri yake kwa kusema "Mpinzani atayeing'oa CCM atatoka CCM. Ahadi hii bado ipo mpaka leo ni maswala ya muda tu. Huenda mida imefika.

Kwa vyovyote vile Mh. sio mwanasiasa wa uzito mdogo kwenye siasa za Tanzania. Kumfukuza na kumpokea kwenye chama Cha siasa kuna athari.

Kama umemfukuza basi kaa kimya usubiri matokeo take sio tena kumtabiria kurudi kuomba msamaha au kukata rufaa. Kufanya hivi sio sawa maana hata akirudi CCM atarudi kwa masharti ambayo hayatamwezesha kutimiza ndoto yake.

Baada ya Lowassa na Sumaye kurejea CCM kuendelea kumuongelea Membe ni kuwakumbusha wapinzani ya Sumaye na Lowassa ili waingiwe na hofu ya kumpokea Mh.

Wapinzani msimkatae Membe kwasababu ya Lowassa na Sumaye.
Usiwe na wasiwasi membe hana hela ya kununulia GEAR ya angani.
Hana soko upinzani.

Membe pia hana nyumba ubelgiji kama nyalandu ya tundu lissu kuishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom