Kama kuna vijana wako huko Upinzani wakidhani kuna siku Watachukua hii Nchi na kuingia Ikulu basi wanajidanganya sana labda baada ya miaka 50 huko baadhi ya watu wakiondoka .
Kuna sababu mbili tu :-
1.Vyama vyao vinaongozwa na Mamluki na wachumia Tumbo ,Ni either na wana CCM walio vaa mavazi ya Upinzani au Watu walio feli na kufukuzwa vyama vingine kwa Usaliti na makosa mengine .
Mwaka 1992 wakati mfumo wa vyama vingi unaanza ni kwamba watu walitoka CCM kwenye kuanzisha vyama ili mfumo huo uonekane umeanza na bado ni wana CCM .hivyo wanajua fika hawapo pale kwa ajili ya kuchukua Nchi .
2.CCM ina mizizi kila Muhimili au sehemu Muhimu hivyo ni Ngumu kwa upinzani ku bypass hiyo system lakini Pia ina wenyewe ambao bado wapo na watoto wao wapo .
Hivyo kwa Upinzani kuingia Madarakani ni lazima hizo chain zife ,Maana kwa hao viongozi hawawezi hata Pambania Katiba Mpya au Kiundwe Chama ambacho hakina hizo sifa mbovu .Na kama bado kuna Wapinzania wanaamini soon watachukua Nchi basi waamsheni.
Kuna sababu mbili tu :-
1.Vyama vyao vinaongozwa na Mamluki na wachumia Tumbo ,Ni either na wana CCM walio vaa mavazi ya Upinzani au Watu walio feli na kufukuzwa vyama vingine kwa Usaliti na makosa mengine .
Mwaka 1992 wakati mfumo wa vyama vingi unaanza ni kwamba watu walitoka CCM kwenye kuanzisha vyama ili mfumo huo uonekane umeanza na bado ni wana CCM .hivyo wanajua fika hawapo pale kwa ajili ya kuchukua Nchi .
2.CCM ina mizizi kila Muhimili au sehemu Muhimu hivyo ni Ngumu kwa upinzani ku bypass hiyo system lakini Pia ina wenyewe ambao bado wapo na watoto wao wapo .
Hivyo kwa Upinzani kuingia Madarakani ni lazima hizo chain zife ,Maana kwa hao viongozi hawawezi hata Pambania Katiba Mpya au Kiundwe Chama ambacho hakina hizo sifa mbovu .Na kama bado kuna Wapinzania wanaamini soon watachukua Nchi basi waamsheni.