Wapiga Kura 37m vs Walipa kodi 2m?

Wapiga Kura 37m vs Walipa kodi 2m?

Hawalipi kodi kwa vp?hakuna asixelipa kodi hata yule kichanga cha siku moja analipa kodi.au kodi gani unazungumzia
 
Mlipa kodi hapigi kura na mpiga kura halipi kodi
Nadhani wote wanalipa ila takwimu za TRA kuhusu walipa kodi zinasemaje?
Na kama wanalipa kodi,mbona hawatajwi popote linapokuja suala la kuwaletea maendeleo wananchi bali linatajwa jina moja tu pindi mradi wowote wa maendeleo unapotekelezwa?
 
Unashangaza Sana kumbe tuna Taifa tegemezi kwa nakisi ya 35m watu hawalipi kodi
Watanzania wote tunalipa kodi nyingi sana na kuchangia pato la taifa. Kuna waliosaliwa ambao wanalipa both indirect and Direct tax na wale ambao hawajasiliwa rasmi ambao wanalipa Indirect tax kutokana na matumizi ya pato lao ambao ndio wengi. Katika walipa kodi walisajiliwa rasmi kuna walipa kodi wakubwa na wadogo pia.

Mambo ni mengi kwenye kodi ila hakuna mtanzania asiyelipa kodi hata uwe umelala kitandani kwa ugonjwa
 
Back
Top Bottom