JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Mwenyekiti wa Chama cha Kutetea Abiria Tanzania (CHAKUA), Hassan Mchanjama anasema: "Kwenye sheria wapiga debe hawapo, abiria amekuwa hatendewi haki kwa sababu ya kuzongwazongwa, wengine wanaibiwa simu na pesa.
"Abiria ana haki ya kulipa nauli halali, kusafiri mazingira salama kusiwe na kelele wala bugudha, ana haki ya kupata usafiri mbadala pindi usafiri unapoharibika njiani na ana haki ya kulipwa fidia."
Source: East Africa Radio