Wapi wameandika mapenzi ya MUNGU mtu kufa?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,149
Tumekuwa tukisema kila saa amekufa kwa mapenzi ya mungu bwana ametoa bwana ametwa lakini sijapata kuona sehemu inasema ni mapenzi ya MUNGU mtu kufa,...nikaona tusaidiane jamani kuelimishana hili..na kama sio
KIFO ni mapenzi ya nani??
 
mimi kuna mahali niliwahi kusoma pameandikwa "hakika utakufa" na ni Mungu ndio alisema sasa sijui hiyo ndio inaitwaje kama ni mapenzi au matakwa
 
Mungu alisema nishukuruni kwa kila jambo kwa hivi hata kifo ni mipango yake kwa hivi hatuna budi kumshukuru yeye kwa hilo kwani ni mapenzi yake
 
Mungu basically ni idea fulani hivi ya kitu ambacho hakipo.

Societies primitive zilipokuwa zinashindwa kuelezea kitu chochote kile, iwe radi, mvua kifo etc, zilisema kwamba hiyo ni kazi ya mungu.

Jinsi tunavyoelimika zaidi tunaona kwamba mungu hayupo, ni hadithi tu za watu wa kale ambazo ni ngumu sana kuziacha kwa sababu ya tradition, na sisi binadamu tunapenda kuwa na matumaini kwamba kuna kitu kikubwa zaidi yetu kinatulinda na kutuangalia, hasa kwa sababu tunalelewa na wazazi tangu watoto.

Lakini regardless ya vitabu hivi ancient vinasema nini, mungu ni idea iliyotengenezwa na binadamu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.

Ndiyo maana kuna controversies nyingi sana kuhusu mungu, kwa sababu waliomtunga waliishi katika ulimwengu wa giza na hawakuweza kujua mambo mengi sana tunayojua leo.

Ukijua kwamba mungu hayupo hizi habari za mungu kamtwaa nani sijui nini wala haziwezi kukubabaisha, utajua tu watu wanakufa kwa ugonjwa wa moyo, na ajali za gari, na risasi, na wengine ni the breaking down of the body due to age according to the laws of entropy and the second law of thermodymanics, hamna cha mungu wala shetani.

Sanasana mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, na mbingu na moto viko hapahapa duniani, na kifo ndio mwisho wa mchezo kwako.
 
Mungu basically ni idea fulani hivi ya kitu ambacho hakipo.

Societies primitive zilipokuwa zinashindwa kuelezea kitu chochote kile, iwe radi, mvua kifo etc, zilisema kwamba hiyo ni kazi ya mungu.

Jinsi tunavyoelimika zaidi tunaona kwamba mungu hayupo, ni hadithi tu za watu wa kale ambazo ni ngumu sana kuziacha kwa sababu ya tradition, na sisi binadamu tunapenda kuwa na matumaini kwamba kuna kitu kikubwa zaidi yetu kinatulinda na kutuangalia, hasa kwa sababu tunalelewa na wazazi tangu watoto.

Lakini regardless ya vitabu hivi ancient vinasema nini, mungu ni idea iliyotengenezwa na binadamu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.

Ndiyo maana kuna controversies nyingi sana kuhusu mungu, kwa sababu waliomtunga waliishi katika ulimwengu wa giza na hawakuweza kujua mambo mengi sana tunayojua leo.

Ukijua kwamba mungu hayupo hizi habari za mungu kamtwaa nani sijui nini wala haziwezi kukubabaisha, utajua tu watu wanakufa kwa ugonjwa wa moyo, na ajali za gari, na risasi, na wengine ni the breaking down of the body due to age according to the laws of entropy and the second law of thermodymanics, hamna cha mungu wala shetani.

Sanasana mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, na mbingu na moto viko hapahapa duniani, na kifo ndio mwisho wa mchezo kwako.

naona umefika "mwisho wa lami" pole sana, ila tafadhari usipotoshe wengine
 
Mungu basically ni idea fulani hivi ya kitu ambacho hakipo.

Societies primitive zilipokuwa zinashindwa kuelezea kitu chochote kile, iwe radi, mvua kifo etc, zilisema kwamba hiyo ni kazi ya mungu.

Jinsi tunavyoelimika zaidi tunaona kwamba mungu hayupo, ni hadithi tu za watu wa kale ambazo ni ngumu sana kuziacha kwa sababu ya tradition, na sisi binadamu tunapenda kuwa na matumaini kwamba kuna kitu kikubwa zaidi yetu kinatulinda na kutuangalia, hasa kwa sababu tunalelewa na wazazi tangu watoto.

Lakini regardless ya vitabu hivi ancient vinasema nini, mungu ni idea iliyotengenezwa na binadamu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.

Ndiyo maana kuna controversies nyingi sana kuhusu mungu, kwa sababu waliomtunga waliishi katika ulimwengu wa giza na hawakuweza kujua mambo mengi sana tunayojua leo.

Ukijua kwamba mungu hayupo hizi habari za mungu kamtwaa nani sijui nini wala haziwezi kukubabaisha, utajua tu watu wanakufa kwa ugonjwa wa moyo, na ajali za gari, na risasi, na wengine ni the breaking down of the body due to age according to the laws of entropy and the second law of thermodymanics, hamna cha mungu wala shetani.

Sanasana mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, na mbingu na moto viko hapahapa duniani, na kifo ndio mwisho wa mchezo kwako.

Baba Pumzi zinakudanganya lakini hatuna hasara kukusikia ukijinyea ovyo kwani ulichooandika ni kinyesi.
 
Baba Pumzi zinakudanganya lakini hatuna hasara kukusikia ukijinyea ovyo kwani ulichooandika ni kinyesi.

Kinyesi kikubwa ni kusema mwenzako kaandika kinyesi bila kuweza kuelezea ukinyesi umekujaje, yaani umshindwa kukionyesha hata kinyesi kwamba ni kinyesi kwa hoja, umekuja dismissive tu.

Yaani hicho ni kinyesi cha mwisho kabisa katika vinyesi vyote.
 
naona umefika "mwisho wa lami" pole sana, ila tafadhari usipotoshe wengine

Hata Galileo Galilei naCopernicus walipokuwa wanawaambia watu kwamba dunia ndiyo inazunguka jua (Heliocentrism) na si kweli kama ilivyoaminika siku hizo kwamba jua linazunguka dunia (Geocentrism) kanisa katoliki lilisema wanapotosha watu.

Leo miaka mia kadhaa baadaye dunia nzima imejua ukweli walikuwa nao kina Galileo.

Vivyo hivyo katika hili swala la kuwepo kwa mungu, miaka 500 baada ya leo, kama dunia itakuwapo, tutaona kuamini mungu ni sawa sawa na wale watu wa zamani walioamini jua linazunguka dunia, au hata wale wanaoamini kwamba dunia si mviringo.

Kuna idea nyingine huwa zinakuja kuwa tofauti sana na tulivyozoea, kufundishwa na kukulia kiasi kwamba tunahitaji miaka mia kadhaa kuzikubali.

Lakini kuna wengine huweza kuelewa mapema kabla ya wengine.
 
Tumekuwa tukisema kila saa amekufa kwa mapenzi ya mungu bwana ametoa bwana ametwa lakini sijapata kuona sehemu inasema ni mapenzi ya MUNGU mtu kufa,...nikaona tusaidiane jamani kuelimishana hili..na kama sio
KIFO ni mapenzi ya nani??

Mungu alishasema watu watakufa kimwili, ila kuna vifo vya aina mbili kuna vya kiroho na kimwili. aliwaambia adam na hawa wakilatunda watakufa, na walivyokula wakafa ghafla?? yes walikufa kiroho kwanza next kimwili

30 "That is why I will judge each of you by what you have done, people of Israel," declares the Almighty LORD. "Change the way you think and act. Turn away from all the rebellious things that you have done so that you will not fall into sin. 31 Stop all the rebellious things that you are doing. Get yourselves new hearts and new spirits. Why do you want to die, nation of Israel? 32 I don't want anyone to die," declares the Almighty LORD. "Change the way you think and act!"

Mungu hapendi kifo cha mwenye dhambi, ila akifa hana dhambi to him is good! why

PLAN B of God after human failure is paradise,

"For God so loved the world that he gave his one and only Son,[a] that whoever believes in him shall not perish but have eternal life. John 3:16

Mpokeeni Yesu awe mwokozi wa maisha yenu
 
Mama mia hii ni injili mfu inayosema kifo ni mapenzi ya Mungu.
Mungu wetu ni mzuri hapendi tufe bali tuishi milele.
Lakini tunakufa kwa ajili ya dhambi maana mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Wabs,

As a scholar, naomba unipe perspective yako.

Kama mungu huyu wa Judeo-Christian tradition ana uwezo wote, na ana upendo wote, na aliweza kuuumba ulimwengu huu vyovyote vile alivyopenda, kwa nini kaumba ulimwengu wenye evil?

Ina maana alilazimika kuuumba ulimwengu huu na hii evil, au hakulazimika?

Kama alilazimika, je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?

Kama hakulazimika, kwa nini kauumba ulimwengu wenye evil? Huoni kwamba kaumba ulimwengu ambao inevitably some of us tutakuwa overwhelmed na the forces of evil?

On that same question, je mungu aliweza ku create kitu asichoweza ku create?

Kama aliweza, doesn't that mean kwamba kuna kitu hataweza by virtue of the fact that he created something that he cannot create?

Kama hawezi je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?
 
Mungu basically ni idea fulani hivi ya kitu ambacho hakipo.

Societies primitive zilipokuwa zinashindwa kuelezea kitu chochote kile, iwe radi, mvua kifo etc, zilisema kwamba hiyo ni kazi ya mungu.

Jinsi tunavyoelimika zaidi tunaona kwamba mungu hayupo, ni hadithi tu za watu wa kale ambazo ni ngumu sana kuziacha kwa sababu ya tradition, na sisi binadamu tunapenda kuwa na matumaini kwamba kuna kitu kikubwa zaidi yetu kinatulinda na kutuangalia, hasa kwa sababu tunalelewa na wazazi tangu watoto.

Lakini regardless ya vitabu hivi ancient vinasema nini, mungu ni idea iliyotengenezwa na binadamu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.

Ndiyo maana kuna controversies nyingi sana kuhusu mungu, kwa sababu waliomtunga waliishi katika ulimwengu wa giza na hawakuweza kujua mambo mengi sana tunayojua leo.

Ukijua kwamba mungu hayupo hizi habari za mungu kamtwaa nani sijui nini wala haziwezi kukubabaisha, utajua tu watu wanakufa kwa ugonjwa wa moyo, na ajali za gari, na risasi, na wengine ni the breaking down of the body due to age according to the laws of entropy and the second law of thermodymanics, hamna cha mungu wala shetani.

Sanasana mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, na mbingu na moto viko hapahapa duniani, na kifo ndio mwisho wa mchezo kwako.

watu kama nyie wala amfundishiki yesu alisema
waache wafu wazike wafu wao pole ndugu
 
Mama mia hii ni injili mfu inayosema kifo ni mapenzi ya Mungu.
Mungu wetu ni mzuri hapendi tufe bali tuishi milele.
Lakini tunakufa kwa ajili ya dhambi maana mshahara wa dhambi ni mauti.


1korintho 15:51-57

angalien ninyi nawapa siri hatulala wote lakini sote tutabadilika kwa dk moja kufumba na kufumbua wakati wa parapanda ya mwisho itakapolia wafu watafufuliwa na kuvikwa kutokuharibika

1 kor 15:21-25

lakini sasa kristo amefufuka kutoka wafu,
"maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu "kadhalika na kiyama ya watu ililetwa na wafu,
kama katika adamuwote wanakufa kadhalika katika kristo wote wanaihuishwa

ukisoma hapo juu tunaona mauti imeletwa na mtu na sio MUNGU tunavyomsingizia si mapenzi ya mungu kumleta mwanae na kisha kumuua
hiyo injili mbofu mbofu tuachane nazo jamani
 
Tumekuwa tukisema kila saa amekufa kwa mapenzi ya mungu bwana ametoa bwana ametwa lakini sijapata kuona sehemu inasema ni mapenzi ya MUNGU mtu kufa,...nikaona tusaidiane jamani kuelimishana hili..na kama sio
KIFO ni mapenzi ya nani??
we kasimame mbele ya treni; jirushe kwenye mkusanyiko wa papa; au karande serengeti ukutane na simba alafu piga rambi rambi zako kwa mungu auko tayari kuondoka ndio utajua kifo ni kazi ya nani. haya mambo haya
 
Mbona ushajijibu mpendwa

kwa maana mshara wa dhambi ni mauti
 
Wabs,

As a scholar, naomba unipe perspective yako.

Kama mungu huyu wa Judeo-Christian tradition ana uwezo wote, na ana upendo wote, na aliweza kuuumba ulimwengu huu vyovyote vile alivyopenda, kwa nini kaumba ulimwengu wenye evil?

Ina maana alilazimika kuuumba ulimwengu huu na hii evil, au hakulazimika?

Kama alilazimika, je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?

Kama hakulazimika, kwa nini kauumba ulimwengu wenye evil? Huoni kwamba kaumba ulimwengu ambao inevitably some of us tutakuwa overwhelmed na the forces of evil?

On that same question, je mungu aliweza ku create kitu asichoweza ku create?

Kama aliweza, doesn't that mean kwamba kuna kitu hataweza by virtue of the fact that he created something that he cannot create?

Kama hawezi je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?

ndio maana nasema una uelewa mdogo. ushahidi unazidi kuongezeka wa maoni yangu uu ya uelewa wako. unaonekana unamuona Mungu kama Fundi fulani hivi! pole sana
 
watu kama nyie wala amfundishiki yesu alisema
waache wafu wazike wafu wao pole ndugu

mama mia huyu mtu (bluray) anafundishika.

manake siamini kuwa haya anayobwabwaja hapa jamvini alitoka nayo tumboni mwa mama yake, lazima kuna mahali alifunzwa na kufundishwa. anachokosea njia ni kwamba kawaamini waliomfundisha hadi kawafanya miungu yake ya maarifa na wakati huohuo akijicontradict kuwa hakuna mungu. jinsi anavyowaamini wanafalsafa, nadhani kama wangekuwa mashoga (ashakum si matusi) nae angekuwa shoga (kama si shoga kwa sasa).

manake anachukua kila kitu tena from the face value, bila ku-digest na ubongo wake. ubongo wake wa thamani kaupeleka likizo ya muda usiojulikana bila sababu yoyote. na kutokana na likizo hiyo sasa anasambaza upuuzi wa kukosa fikra huru humu jamvini,

ndio maana nasema tumuombee na kila tukipata fursa tusiogope kumfundisha walau kidogo. anafundishika huyu!
 
Back
Top Bottom