Mungu basically ni idea fulani hivi ya kitu ambacho hakipo.
Societies primitive zilipokuwa zinashindwa kuelezea kitu chochote kile, iwe radi, mvua kifo etc, zilisema kwamba hiyo ni kazi ya mungu.
Jinsi tunavyoelimika zaidi tunaona kwamba mungu hayupo, ni hadithi tu za watu wa kale ambazo ni ngumu sana kuziacha kwa sababu ya tradition, na sisi binadamu tunapenda kuwa na matumaini kwamba kuna kitu kikubwa zaidi yetu kinatulinda na kutuangalia, hasa kwa sababu tunalelewa na wazazi tangu watoto.
Lakini regardless ya vitabu hivi ancient vinasema nini, mungu ni idea iliyotengenezwa na binadamu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.
Ndiyo maana kuna controversies nyingi sana kuhusu mungu, kwa sababu waliomtunga waliishi katika ulimwengu wa giza na hawakuweza kujua mambo mengi sana tunayojua leo.
Ukijua kwamba mungu hayupo hizi habari za mungu kamtwaa nani sijui nini wala haziwezi kukubabaisha, utajua tu watu wanakufa kwa ugonjwa wa moyo, na ajali za gari, na risasi, na wengine ni the breaking down of the body due to age according to the laws of entropy and the second law of thermodymanics, hamna cha mungu wala shetani.
Sanasana mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, na mbingu na moto viko hapahapa duniani, na kifo ndio mwisho wa mchezo kwako.
Mungu basically ni idea fulani hivi ya kitu ambacho hakipo.
Societies primitive zilipokuwa zinashindwa kuelezea kitu chochote kile, iwe radi, mvua kifo etc, zilisema kwamba hiyo ni kazi ya mungu.
Jinsi tunavyoelimika zaidi tunaona kwamba mungu hayupo, ni hadithi tu za watu wa kale ambazo ni ngumu sana kuziacha kwa sababu ya tradition, na sisi binadamu tunapenda kuwa na matumaini kwamba kuna kitu kikubwa zaidi yetu kinatulinda na kutuangalia, hasa kwa sababu tunalelewa na wazazi tangu watoto.
Lakini regardless ya vitabu hivi ancient vinasema nini, mungu ni idea iliyotengenezwa na binadamu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.
Ndiyo maana kuna controversies nyingi sana kuhusu mungu, kwa sababu waliomtunga waliishi katika ulimwengu wa giza na hawakuweza kujua mambo mengi sana tunayojua leo.
Ukijua kwamba mungu hayupo hizi habari za mungu kamtwaa nani sijui nini wala haziwezi kukubabaisha, utajua tu watu wanakufa kwa ugonjwa wa moyo, na ajali za gari, na risasi, na wengine ni the breaking down of the body due to age according to the laws of entropy and the second law of thermodymanics, hamna cha mungu wala shetani.
Sanasana mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, na mbingu na moto viko hapahapa duniani, na kifo ndio mwisho wa mchezo kwako.
Baba Pumzi zinakudanganya lakini hatuna hasara kukusikia ukijinyea ovyo kwani ulichooandika ni kinyesi.
naona umefika "mwisho wa lami" pole sana, ila tafadhari usipotoshe wengine
Tumekuwa tukisema kila saa amekufa kwa mapenzi ya mungu bwana ametoa bwana ametwa lakini sijapata kuona sehemu inasema ni mapenzi ya MUNGU mtu kufa,...nikaona tusaidiane jamani kuelimishana hili..na kama sio
KIFO ni mapenzi ya nani??
Mungu basically ni idea fulani hivi ya kitu ambacho hakipo.
Societies primitive zilipokuwa zinashindwa kuelezea kitu chochote kile, iwe radi, mvua kifo etc, zilisema kwamba hiyo ni kazi ya mungu.
Jinsi tunavyoelimika zaidi tunaona kwamba mungu hayupo, ni hadithi tu za watu wa kale ambazo ni ngumu sana kuziacha kwa sababu ya tradition, na sisi binadamu tunapenda kuwa na matumaini kwamba kuna kitu kikubwa zaidi yetu kinatulinda na kutuangalia, hasa kwa sababu tunalelewa na wazazi tangu watoto.
Lakini regardless ya vitabu hivi ancient vinasema nini, mungu ni idea iliyotengenezwa na binadamu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.
Ndiyo maana kuna controversies nyingi sana kuhusu mungu, kwa sababu waliomtunga waliishi katika ulimwengu wa giza na hawakuweza kujua mambo mengi sana tunayojua leo.
Ukijua kwamba mungu hayupo hizi habari za mungu kamtwaa nani sijui nini wala haziwezi kukubabaisha, utajua tu watu wanakufa kwa ugonjwa wa moyo, na ajali za gari, na risasi, na wengine ni the breaking down of the body due to age according to the laws of entropy and the second law of thermodymanics, hamna cha mungu wala shetani.
Sanasana mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, na mbingu na moto viko hapahapa duniani, na kifo ndio mwisho wa mchezo kwako.
Mama mia hii ni injili mfu inayosema kifo ni mapenzi ya Mungu.
Mungu wetu ni mzuri hapendi tufe bali tuishi milele.
Lakini tunakufa kwa ajili ya dhambi maana mshahara wa dhambi ni mauti.
we kasimame mbele ya treni; jirushe kwenye mkusanyiko wa papa; au karande serengeti ukutane na simba alafu piga rambi rambi zako kwa mungu auko tayari kuondoka ndio utajua kifo ni kazi ya nani. haya mambo hayaTumekuwa tukisema kila saa amekufa kwa mapenzi ya mungu bwana ametoa bwana ametwa lakini sijapata kuona sehemu inasema ni mapenzi ya MUNGU mtu kufa,...nikaona tusaidiane jamani kuelimishana hili..na kama sio
KIFO ni mapenzi ya nani??
Mbona ushajijibu mpendwa
kwa maana mshara wa dhambi ni mauti
Wabs,
As a scholar, naomba unipe perspective yako.
Kama mungu huyu wa Judeo-Christian tradition ana uwezo wote, na ana upendo wote, na aliweza kuuumba ulimwengu huu vyovyote vile alivyopenda, kwa nini kaumba ulimwengu wenye evil?
Ina maana alilazimika kuuumba ulimwengu huu na hii evil, au hakulazimika?
Kama alilazimika, je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?
Kama hakulazimika, kwa nini kauumba ulimwengu wenye evil? Huoni kwamba kaumba ulimwengu ambao inevitably some of us tutakuwa overwhelmed na the forces of evil?
On that same question, je mungu aliweza ku create kitu asichoweza ku create?
Kama aliweza, doesn't that mean kwamba kuna kitu hataweza by virtue of the fact that he created something that he cannot create?
Kama hawezi je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?
watu kama nyie wala amfundishiki yesu alisema
waache wafu wazike wafu wao pole ndugu