Wapi nikatafute maisha kati ya Botswana, Mauritius,Namibia au Sychelles?

Wapi nikatafute maisha kati ya Botswana, Mauritius,Namibia au Sychelles?

Kwa uzoefu wangu niliofika kwa mda Cha kwanza hawa jamaa wapi makini sana kwa mgeni maswali ambayo watakuuliza cha kwanza unatakiwa uwe na show money isiopungua Dola 500 Cha pili unawenda wap au mwenyeji wako ni nani na huyo mwenyeji wako lazima wajue ana Kaa sehemu Gani na anajishuhulisha na nini na wakikugongea passport mda utaokuwepo kwao usije ukazidisha tarehe ya kukaa kwao ukizidisha Wana faini zao au jela na kingine hawa jamaa Wana ubinafsi sana kwa raia Mimi nilipoingia gaberon walipokagua passport yangu waliniuliza maswali mengi sana kabla hawajanigongea passport na kingine Cha muhimu sana epuka kumchukuwa mke wa mtu au x wa mtu wanawake ni wazuri sana na ukimwi ni mwingi sana na nchi nzuri sana ya kutafuta maisha hasa ukiwa unafanya biashara na biashara ambao itakayokuchomoa haraka ni biashara ya vinyago au kacha kama za huku kwetu na raia wengi hawapendi kufanya kazi ngumu maisha Yao asilimia kubwa ni ya bata
Natarajia kuingia kufanya kazi huko nitakutafuta mkuu.
 
Kama umechoka na maisha ya bongo ninakushauri katika nchi ulizozitaja bora uende nchini Botswana katika nchi za bara Asia nenda Japan au South Korea Au brunei..
Katika nchi za Bara la ulaya nenda ireland au Sweden, au Ujerumani, au Switzerland, au Belgium Au Kanada au Australia
Nipe Tarehe uliyozaliwa na mwezi wako nipate kukupa ushauri wa nchi gani ya dunia inayo kufaa kwenda kuishi na kuweza kufanikiwa kimaisha
Tarehe 24 - mwezi wa 8

Mkuu kama hutojali, hebu chakata hio😅
 
Bongo sitaki tena nataka nikimbie, naombeni ushauri kati ya hizo nchi wapi angalau nikienda sifi njaa nikipambana kati y'a Botswana, Mauritius, Namibia au Sychelles au South Africa

Au Morocco na nchi nyingine ongezea.

Bongo sitaki,

Naombeni pia kama kuna wenyeji kwenye hizo nchi wanitafute PM au hapa hapa
Wewe una taaluma gani, una ujuzi gani, una kipaji gani, unataka kwenda kufanya nini?

Nchi tofauti zinaweza kuwafaa watu tofauti kwa kutegemea na wao walivyo.
 
Bongo sitaki tena nataka nikimbie, naombeni ushauri kati ya hizo nchi wapi angalau nikienda sifi njaa nikipambana kati y'a Botswana, Mauritius, Namibia au Sychelles au South Africa

Au Morocco na nchi nyingine ongezea.

Bongo sitaki,

Naombeni pia kama kuna wenyeji kwenye hizo nchi wanitafute PM au hapa hapa
Inategemea unaenda kufanya Nini mkuu! South Africa jiandae kurudi maiti au mlemavu!
 
Una ujuzi gani kama ni daktari wa binadamu Botswana kutakufaa, mimi nilienda zamani 1991 nilifika hadi mji unaoitwa Kanye, ipo hospitali inaitwa Kanye hospital ya Adventist, (wasabato), shemeji yangu alikuwa anafanya kazi hapo, nilipita hapo nikielekea south Africa
Mkuu hiyo ilikuwa zamani mambo ya udaktari
 
Mk
Kama umechoka na maisha ya bongo ninakushauri katika nchi ulizozitaja bora uende nchini Botswana katika nchi za bara Asia nenda Japan au South Korea Au brunei..
Katika nchi za Bara la ulaya nenda ireland au Sweden, au Ujerumani, au Switzerland, au Belgium Au Kanada au Australia
Nipe Tarehe uliyozaliwa na mwezi wako nipate kukupa ushauri wa nchi gani ya dunia inayo kufaa kwenda kuishi na kuweza kufanikiwa kim

Kama umechoka na maisha ya bongo ninakushauri katika nchi ulizozitaja bora uende nchini Botswana katika nchi za bara Asia nenda Japan au South Korea Au brunei..
Katika nchi za Bara la ulaya nenda ireland au Sweden, au Ujerumani, au Switzerland, au Belgium Au Kanada au Australia
Nipe Tarehe uliyozaliwa na mwezi wako nipate kukupa ushauri wa nchi gani ya dunia inayo kufaa kwenda kuishi na kuweza kufanikiwa kimaisha
Mkuu samahani naweza pata PM yako tafadhali
 
Hope ulienda nchi hizi mbili nilizokushauri Namibia na Botswana , kama ulienda kwa utaratibu namini upo vyema na maisha yanakuja mdogo mdogo unachakutuma nyumbani, kama ulienda kifala utakuwa jela au teja, au umekwama boda ya Namibia na zambia, don't dare kwenda south Pana mambo ya kishamba sana . Kumbuka unapokuwa nchi za watu hasa hizo za kusini ukimwi ni mwingi ila wacheki mademu ukimuona na makovu jua imeisha
 
Nikupe mchongo wa kufanya , tafiti maduka na cheki na madalali uwe winga tu tukifika unatuambia gear box ya scania ipo pale, hospitali ya ugonjwa flani ipo pale unatupeleka wabongo itakupa pesa mzee, kikubwa kuwa mwaminifu jenga brand ya winga mwaminifu utanishukuru, ukiwa iddle Namibia uza biashara ndogo ndogo uchinga ukirudi bongo we mwanetu,nenda mpakani mwa zambia nunua pembejeo zinabebeka kirahisi wapitie wakulima huji kutamani Tanzania
 
Bongo sitaki tena nataka nikimbie, naombeni ushauri kati ya hizo nchi wapi angalau nikienda sifi njaa nikipambana kati y'a Botswana, Mauritius, Namibia au Sychelles au South Africa

Au Morocco na nchi nyingine ongezea.

Bongo sitaki,

Naombeni pia kama kuna wenyeji kwenye hizo nchi wanitafute PM au hapa hapa
Botswana
 
Back
Top Bottom