KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 295
Uwezo wa kumtisha mtu huwa sina ndugu yangu!Acha kutisha watu haya matusi yako wala hayana nafasi hata kidogo,uhalifu mfanye wenyewe then mjifanye mnahasira usituletee kisirani mkuu.
Nilichofanya ni kujenga mazingira ya wazi kumwonesha mleta mada kwamba mada yake inajenga hisia kama hizo!
Haziepukiki, hazizuiliki!