Wapi intellijensia ya Dr Slaa?

Wapi intellijensia ya Dr Slaa?

mbona wamegonga pabaya?watapatikana tu watajulikana tu kwakifupi hapo ndo wameharibu kabisaaaaa.watatajwa si tu kwa majina yao hata kwa historia zao.haraka za nini?itajulikana tu subirini
 
Ifikie hatua watu tuwe na huruma na binadamu wenzetu ndugu zetu pamoja na Nchi yetu nzuri inayosifika kwa Amani na upendo lakini inapo elekea ni kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe

Vyama visifanye tukafika mahala ambapo tutakuwa tukigunduana wewe ni Chadema nakuua au wewe ni Ccm nakuua tuondoe chuki za kijinga na ambazo hazina maaana kabisa

Alafu siri ya yote haya wanaijua viongozi wakubwa wa chama kwa mfano tu kinawezekana kuwa ni wafuasi wa CCM ndio wamefanya hivyo au pia upande wa pili ukawa ni hao hao wafuasi wa CDM ndio wamefanya hivyo kwa lengo la kukichafua CCM ili kionekane ni chama ambacho hakina Huruma kwa wananchi wake.
 
Hapa sijengi kejeli, kuna hoja nzito ndani ya hayo maelezo imejificha, na siwezi kuiweka wazi kwani najua impact yake, lakini kwa watu makini wataelewa ni hoja gani ipo ndani ya huu uzi.

Hata wale wenye intelijensia ya juu kabisa kama USA hulipuliwa pia sembuse Dr Slaa? Wakati mwingine jaribu kutafakari kabla ya kumwaga mawazo yako mfu hapa JF
 
UTAKUWA na tatizo lisilotibika maana katika hali kama hii haikutegemewa ulete UPUMBAVU wa namna hii..
Hta hivyo,NINGALIKUWA POLISI wa nchi hii NINGALIKUTIA nguvuni ili uisaidie POLISI kwa sababu MADA yako inaonesha mipango ya kulipuliwa bomu ilikuhusisha ILI TU UONESHE KWAMBA INTELIJENSIA YA DR. SLAA haiwezi kazi NDIYO MAANA MMEWEZA KULIPUA BOMU; na kama haiwezi kazi, IONEKANE YEYE NI MPUUZI na si yeye tu bali CHADEMA kama chama!
Si ndicho unachokilenga??????????

Hapa kuna matatu;

1. Wenda Dr Slaa ni mzushi na hana intelijensia yoyote ile, sema uwa ana jibalaguza kwa wananchi kuwa CHADEMA imekamilika.

2. Kama intelijensia ipo, basi waitupilie mbali kwani imethibitisha kushindwa kufanya kazi zake za kukilinda chama, hasa kwenye mikutano ya hadhara, kwani ilipaswa intelijensia iwe na taarifa zote za kiusalama.

3. Wenda intelijensia ya Dr Slaa ni sehemu ya ilo tukio, kwani haya mambo yapo. Mfano, zipo serikali ambazo zinapanga matukio ya kigaidi ndani ya nchi ili kujenga hofu kwa watu, and then wanajifanya kuyakomesha ili iwe mtaji wa kisiasa. Hapa CHADEMA wamefanya hivi ili wapate public sympathy then wapate kura.

Lately, ndio hypothesis nilizo nazo kuhusu intelijensia ya Dr Slaa.
 
UTAKUWA na tatizo lisilotibika maana katika hali kama hii haikutegemewa ulete UPUMBAVU wa namna hii..
Hta hivyo,NINGALIKUWA POLISI wa nchi hii NINGALIKUTIA nguvuni ili uisaidie POLISI kwa sababu MADA yako inaonesha mipango ya kulipuliwa bomu ilikuhusisha ILI TU UONESHE KWAMBA INTELIJENSIA YA DR. SLAA haiwezi kazi NDIYO MAANA MMEWEZA KULIPUA BOMU; na kama haiwezi kazi, IONEKANE YEYE NI MPUUZI na si yeye tu bali CHADEMA kama chama!
Si ndicho unachokilenga??????????
Acha kutisha watu haya matusi yako wala hayana nafasi hata kidogo,uhalifu mfanye wenyewe then mjifanye mnahasira usituletee kisirani mkuu.
 
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.

Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.

Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.

Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?



Mkuu si wao wenyewe wamepanga kulipua hilo bomu ili kutafuta huruma ya wananchi baada ya kuona upepo umekuwa mbaya Arusha
 
Mkuu si wao wenyewe wamepanga kulipua hilo bomu ili kutafuta huruma ya wananchi baada ya kuona upepo umekuwa mbaya Arusha

Hata mimi nina fikra kama zako mkuu, tatizo watu humu JF hawawajui CHADEMA vizuri, jana niliweka post ya kutahadharisha ili niweze kufanya kaupelelezi kadogo ka awali, nikagundua ile intelijensia ya Dr Slaa wenda ikawa na la kujibu kuhusu mlipuko.
 
Hata wale wenye intelijensia ya juu kabisa kama USA hulipuliwa pia sembuse Dr Slaa? Wakati mwingine jaribu kutafakari kabla ya kumwaga mawazo yako mfu hapa JF

Nikisema wale wenye Intelijensia ya juu kama US uwa wana panga wenyewe mashambulio nitakuwa nimekosea? same applies to CHADEMA.
 
Vijana wake ndio waliotekeleza hili tukio.intelligensia inaonyesha hivyo
 
Hapa sijengi kejeli, kuna hoja nzito ndani ya hayo maelezo imejificha, na siwezi kuiweka wazi kwani najua impact yake, lakini kwa watu makini wataelewa ni hoja gani ipo ndani ya huu uzi.

Kama wewe ni mzalendo na una huruma na damu inayomwagika bila kosa weka mambo wazi hata kama ni mambo ya mabosi wako, Kuongelea hivi ndani ya pazia haisaidii kuokoa uhai wa watanzania wasiokuwa na hatia. Kumbuka kuwa hakuna bosi mkubwa zaidi ya Muumba wako ambaye kwa ushahidi maneno yake katika vitabu vyote vitakatifu hapendezwi na maafa yanayoendelea.
 
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.

Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.

Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.

Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?



Hapa maana yako ni nini hasa?

Inadaiwa CCM kwa kuwatumia polisi wako nyuma ya tukio hili. Je, ina maana wamefanya tukio hili la kuumiza na kuua jamaa na ndugu zetu ili tu kuipima "INTELENJENSIA" ya Dr. SLAA?

 
wewe ubinadamu wako upo wapi,umetoa rambirambi kiasi gani kwa wafiwa?umelia mpaka umejaza pipa kwa machozi? Angalia hoja acha kukurupuka dogo
Hivi unashindwa kuwa na a wafubinadamu hata chembe? ipo siku utayajibu haya kwa muumba wako, na kifo hakina upendeleo wewe ni Marehemu mtalajiwia Mungu ndio anajuwa utakufa kwa style ipi. endeleza kejeri nyuma ya keyboard siku yako itafika tu.
 

Hapa maana yako ni nini hasa?

Inadaiwa CCM kwa kuwatumia polisi wako nyuma ya tukio hili. Je, ina maana wamefanya tukio hili la kuumiza na kuua jamaa na ndugu zetu ili tu kuipima "INTELENJENSIA" ya Dr. SLAA?


Hapa kuna matatu;

1. Wenda Dr Slaa ni mzushi na hana intelijensia yoyote ile, sema uwa ana jibalaguza kwa wananchi kuwa CHADEMA imekamilika.

2. Kama intelijensia ipo, basi waitupilie mbali kwani imethibitisha kushindwa kufanya kazi zake za kukilinda chama, hasa kwenye mikutano ya hadhara, kwani ilipaswa intelijensia iwe na taarifa zote za kiusalama.

3. Wenda intelijensia ya Dr Slaa ni sehemu ya ilo tukio, kwani haya mambo yapo. Mfano, zipo serikali ambazo zinapanga matukio ya kigaidi ndani ya nchi ili kujenga hofu kwa watu, and then wanajifanya kuyakomesha ili iwe mtaji wa kisiasa. Hapa CHADEMA wamefanya hivi ili wapate public sympathy then wapate kura.

Lately, ndio hypothesis nilizo nazo kuhusu intelijensia ya Dr Slaa.
 
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.

Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.

Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.

Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?

Hizi hoja nyingine muwe mnafikiri kwanza kabla ya kuzileta humu. Unataka kuniambia Dr. Slaa ana intelijensia kubwa kuliko USA? Mbona wanalipuliwa?
 
Hizi hoja nyingine muwe mnafikiri kwanza kabla ya kuzileta humu. Unataka kuniambia Dr. Slaa ana intelijensia kubwa kuliko USA? Mbona wanalipuliwa?

USA uwa ina panga yenyewe hayo matukio ya kigaidi, wenye macho makali tunajua hilo. Same applies to Dr Slaa, something tells me, he's behind it.
 
Kumbe TISS na Polisi mmeua watu ili kuijaribu intelijensia ya CDM!! Mashetani wakubwa mnaua watu wasio na hatia kwanini lakini jamani? kama siasa hamuwezi futeni vyama vingi ibaki CCM tu..tuachie uhai wetu bwana!!
 
HAMY-D=Chizi akikukuta unaogelea kisha achukue nguo zako na wewe bila kutafakali mara mbili uanze kumkimbiza kuelekea barabarani toka baharini,atakaeonekana chizi hapa ni nani?
 
Hapa kuna matatu;

1. Wenda Dr Slaa ni mzushi na hana intelijensia yoyote ile, sema uwa ana jibalaguza kwa wananchi kuwa CHADEMA imekamilika.

2. Kama intelijensia ipo, basi waitupilie mbali kwani imethibitisha kushindwa kufanya kazi zake za kukilinda chama, hasa kwenye mikutano ya hadhara, kwani ilipaswa intelijensia iwe na taarifa zote za kiusalama.

3. Wenda intelijensia ya Dr Slaa ni sehemu ya ilo tukio, kwani haya mambo yapo. Mfano, zipo serikali ambazo zinapanga matukio ya kigaidi ndani ya nchi ili kujenga hofu kwa watu, and then wanajifanya kuyakomesha ili iwe mtaji wa kisiasa. Hapa CHADEMA wamefanya hivi ili wapate public sympathy then wapate kura.

Lately, ndio hypothesis nilizo nazo kuhusu intelijensia ya Dr Slaa.


Hivi inawezekana ni kweli njia ya mwongo ni fupi?....Mbona you are contradicting yourself? Let me know, Dr Slaa anaongoza serikali ya wapi inayopanga matukio ya kigaidi ndani ya nchi ili kujenga hofu kwa watu?....Arusha?..... Jamhuri ya CHADEMA?

Hebu kuwa mkweli mwanangu. Serikali na chama chenu CCM kinahusika nini?...Hii ni picha ninayoipata kutoka katika maelezo yako!!... And tell us; Are you part of
this dirty bloodshed plan??

Kwang
u mimi nishauri kitu kimoja,kwamba wanasiasa na allies wao wote iwe ktk actual political platforms au katika medias wacheze michezo yote michafu ya kisiasa in favour of their side.....lakini kamwe na milele tusiwavumilie kuchezea uhai wa ndugu zetu,dada zetu,kaka zetu,mama na baba zetu kwa nia ya kujipatia manufaa ya kisiasa!!..

Na kwa hili la Arusha ni wazi CCM na Serikali inahusika. Kama hawahusiki tunahitaji wahusika wakamatwe na kutiwa ndani haraka iwezekanavyo...Hata kama ni Dr Slaa kama propaganda zenu zinavyowaelekeza, mna sbb na ushahidi fanyeni hivyo haraka!!

 
Tunatofautiana lakini sijui kwanini Mungu kawanyima wengine akili ya kufikiri japo kwa kiasi kidogo namna hii. Hata mabosi wako Lumumba watakushangaa kwa hili.
 
Back
Top Bottom