Malinyingi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 864
- 163
Embu weka ushahidi?Chadema iko makini ndg.wahusika watatajwa hadharani muda c mrefu,kuna tetesi kuwa tukio hili limepangwa na genge la watu 8 wakiwewo mkuu wa mkoa wa arusha na mwigulu nchemba.
Embu weka ushahidi?Chadema iko makini ndg.wahusika watatajwa hadharani muda c mrefu,kuna tetesi kuwa tukio hili limepangwa na genge la watu 8 wakiwewo mkuu wa mkoa wa arusha na mwigulu nchemba.
Amesafiri
Embu weka ushahidi?
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.
Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.
Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.
Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.
Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.
Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.
Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.
Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.
Kauli za kitoto hizo tena anayejifunza kuongea, kwa hiyo mmeshindwa kulinda raia si muwwachie wanaoweza kulinda haya mauaji yasien
Chadema iko makini
ndg.wahusika watatajwa hadharani muda c mrefu,kuna tetesi kuwa tukio
hili limepangwa na genge la watu 8 wakiwewo mkuu wa mkoa wa arusha na
mwigulu nchemba.
dr slaa uwa ana jitapa kuwa chadema ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru chadema.
Intellijensia hiyo ya dr slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya ccm na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.
Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (tiss) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.
Sasa iweje dr slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?
Wewe ni mjinga kweli, milipuko inatokea hata Marekani na Israel ambako wamebobea katika inteligensia. Suala ni kiasi gani ulivyo na roho mbaya mpaka kuandika huu upuuzi.Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.
Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.
Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.
Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?
Hapa kuna matatu;
1. Wenda Dr Slaa ni mzushi na hana intelijensia yoyote ile, sema uwa ana jibalaguza kwa wananchi kuwa CHADEMA imekamilika.
2. Kama intelijensia ipo, basi waitupilie mbali kwani imethibitisha kushindwa kufanya kazi zake za kukilinda chama, hasa kwenye mikutano ya hadhara, kwani ilipaswa intelijensia iwe na taarifa zote za kiusalama.
3. Wenda intelijensia ya Dr Slaa ni sehemu ya ilo tukio, kwani haya mambo yapo. Mfano, zipo serikali ambazo zinapanga matukio ya kigaidi ndani ya nchi ili kujenga hofu kwa watu, and then wanajifanya kuyakomesha ili iwe mtaji wa kisiasa. Hapa CHADEMA wamefanya hivi ili wapate public sympathy then wapate kura.
Lately, ndio hypothesis nilizo nazo kuhusu intelijensia ya Dr Slaa.
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.
Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.
Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.
Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?
Dr Slaa uwa ana jitapa kuwa CHADEMA ina intellijensia kubwa, hivyo uwa wana baini mipango mbalimbali yenye lengo la kuidhuru CHADEMA.
Intellijensia hiyo ya Dr Slaa ina daiwa kuwa na matawi yake sehemu mbalimbali, yaani serikalini, ndani ya CCM na kwenye mashirika mbalimbali ya umma.
Lakini pia ana jitapa kuwa kuna maofisa usalama wa taifa (TISS) ambao uwa wana ripoti kwake na kumpa taarifa mbalimbali juu mwenendo wa serikali.
Sasa iweje Dr Slaa awe na intellijensia kubwa namna hii halafu kwenye mikutano ya chama chake yatokee matukio ya mlipuko?