Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,107
- 55,524
- Thread starter
- #21
Usinitoroke, nisubiri nakuja hapo kwako.Upo kijiji gani?
Usinitoroke, nisubiri nakuja hapo kwako.Upo kijiji gani?
Tunawasaidia wenye viwanja/baa n.k kupata vipato, katika kuleta maendeleo kwa kila mmoja.
Uko wapi nije nikuchukue?
Yanaweza yakatokea mengine hapoNjoo nyumbani hapa
20 -40 iwe kwenye mfuko wa shati ,local beer mbili za kuaga 4000, bajaji haizidi buku tatu .Ila ujiandae UTI mlimaaBei elekezi hapo ni ngapi?
Wa namna hii wapo?20 -40 iwe kwenye mfuko wa shati ,local beer mbili za kuaga 4000, bajaji haizidi buku tatu .Ila ujiandae UTI mlimaa
Hawa jaribu Wavuvi -Dar.
We mtundu😄Njoo nyumbani hapa
Na kasema haji 🙄We mtundu😄
Acha kukariri huko kumejaa wahun tuNenda Samaki samaki au Kitambaa Cheupe
Aje joy es lava madale hatojutia😎Acha kukariri huko kumejaa wahun tu
Ingia telegram tafuta demu utyombe, ili upunguze bajeti ya biaHivyo hivyo kidogo kidogo, huwa haitoshi siku zote.
Ngoja waje kumpa miongozo...
Bila shaka ashapata mwongozo loveNgoja waje kumpa miongozo...
Anataka demu mwenye tako kama lakoBila shaka ashapata mwongozo love
UlinikimbiaBila shaka ashapata mwongozo love