mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
wasirudie rudie wanakera.na wanaharibu maana nzima ya hyo supa brand
heh, super brand ni akina itv?!! basi hata mimi ni super brand!
wasirudie rudie wanakera.na wanaharibu maana nzima ya hyo supa brand
Isidingo iliniboa kitambo baada ya kuwa tamthilia ndefuuuu. maybe watunzi wanataka tamthilia yao iingizwe kwenye guiness book kama endless drama!
jamani wale wapenzi wa isidingo kwa nn tusiwe na thread yetu maalum hapa maana kama kuna kitu nisichopenda kukosa ni isidingo.kwangu ni zaidi ya tamthilia
inakwenda kama really life,haitaisha hadi mwisho wa dunia.Isidingo iliniboa kitambo baada ya kuwa tamthilia ndefuuuu. maybe watunzi wanataka tamthilia yao iingizwe kwenye guiness book kama endless drama!
thats make two of us!
Nasikia Derick nyati will be back baada ya kuwa nje ya isidingo kwa miaka karibu 20
Mimi toka ilipoanza naangalia mpaka leo, ila ya ITV ipo nyuma kama miezi 8 hivi