Mimi toka ilipoanza naangalia mpaka leo, ila ya ITV ipo nyuma kama miezi 8 hivi
Kama una dstv wanaonesha na mimi nilishtukia last week ila huwezi kufuatilia kwa kuwa tayari tuko nyuma sana utashindwa kuwa na mwendelezo.
Mimi toka ilipoanza naangalia mpaka leo, ila ya ITV ipo nyuma kama miezi 8 hivi
ni kweli ya kwetu huku itv ipo nyuma maana naangalia page ya isidingo ya wasouth huko ni matukio ambayo sjapata kuyaona.
MAHEPE hebu niambie sasa huyu mtoto wa Nikiwe atazaliwa? Na je Frank atarudi kwa Nikiwe au anamuacha aendelee na Carter?
kuangalia tamthilia for years kama hiyo isidingo nadhani ni mateso
Nasikia Derick nyati will be back baada ya kuwa nje ya isidingo kwa miaka karibu 20
Derrick Nyati ni owner wa Horizon Deep mine,ambayo inagombaniwa na Rajesh,Baker na family ya Sibeko.Muda si mrefu ataanza kuonekana.
Kumbe Isidingo ni tamthilia? Mimi nilijua taarifa ya habari maana tangu nizaliwe hadi leo muda ule ule na chanel ile ile nikajua ni taarifa ya habari dah!
Mimi ni mhanga wa isidingo pia kwa hii wiki nimeskitika hakuna jipya zaidi ya marudio. Kama kuna anayeweza kutufikishia malalamiko itv afanye hvyo maana hawatutendei haki.
Nasikia Derick nyati will be back baada ya kuwa nje ya isidingo kwa miaka karibu 20
Isidingo is waste of time!!
He is back already. Jana alisalimiana na Barker.
Am in love with Isidingo.
ni kweli ya kwetu huku itv ipo nyuma maana naangalia page ya isidingo ya wasouth huko ni matukio ambayo sjapata kuyaona.
MAHEPE hebu niambie sasa huyu mtoto wa Nikiwe atazaliwa? Na je Frank atarudi kwa Nikiwe au anamuacha aendelee na Carter?
utamu utaisha though natamani kujua pia...
ni kweli utamu utaisha.
Sijui nani hapa atauziwa mgodi maana Sibeko amejitahidi kujionesha yeye ni bora kuliko wengine.
kasheshe itakuja pale derick nyati akigundua kumbe Barker ana hisa ya 49% kwenye kampuni ya Rajesh wakati nyati na barker hawaivi.Tayari Rajeshi kashauziwa mgodi bcz proposal yake ilionkena ni bora kuliko ya mwenzie
hata kimberly yuko moto,na kiasi nigiwe.LERATO! Daah hyu mdada nam admire ile mbaya! She is black beatifl grl! Ningekuwa na uwezo au ningekuwa kiongz flan hv ningempa mgodi mmja hapa Tz ili hasipate taabu ya kutafta ajira!