Wapentekoste Ngara wahamia msituni; wangoja kunyakuliwa

umeongea vyema sana. nakuunga mkono kabisa. wapentecost ni watu wanaomjua Mungu kwa ukweli kabisa. mimi ninatoka makanisa ya pentecost...yaani makanisa ya kilokole yanayoamini ujazo wa Roho Mtakatifu kuwa ni wa lazima kwake yeye aaminiye. makanisa haya ni mengi sana, na yote yanajumuishwa kuwa ni ya wapentecost.

cha kufahamu ni kwamba, inawezekana, wakati mwingine, kukawa na mtu anayeleta imani fulani ambayo haina uongozi wowote wa Roho Mtakatifu, akaita mlokole na watu wakamdefine kuwa ni mpentecost...akachafua wapentecost wote. cha kuelewa ni kwamba, KITU CHOCHOTE AMBACHO HAKINA UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU, HAKIKA YAKE NI UHARIBIFU TU. kwenu nyie mnaomjua Mungu, kama kitu haujaongozwa na Roho Mtakatifu,umeongozwa ether na chuki yako, elimu ya kidunia, ufahamu na hekima za kidunia, doctrine ambayo haikuanzia kwa Roho mtakatifu etc, hakika yake, mwisho wake ni aibu tu na huwa haufanikiwi..kwasababu kila jambo linalofanyika kimwili hilo ni la uharibifu. NDIO MAANA NI MUHIMU KUJAZWA NA KUISHI NA ROHO MT. ili akuongoze, na chochote atakachokuambia Roho, hakika yake hata kama unaona kama utapitia hatari fulani, mwisho wake ni mwema. ndio maana mimi nilisema, inawezekana kuwa, hao watu ni wa Mungu na inawezekana kuwa ni hekima ya kibinadamu tu au mchomeko wa shetani tu anayevaa sura ya malaika wa nuru....HIVYO, KAMA NI JAMBO LA KIMUNGU, LITASIMAMA, KAMA SI LA KIMUNGU, LITAISHIA KAMA WALE WASABATO MASALIA. pamoja na kwamba mimi hapo siungi mkono kabisa.

Shetani baada ya kuona watu wanaokoka na kuzijua nguvu za Mungu, anatumia mawakala wake wengi tu siku hizi ili waingie kama malaika wa nuru, kusudi walete picha chafu kwa watu wanaotaka kumpokea Mungu..ili shetani aendelee kuwa na kundi kubwa la watu wanaoelekea motoni....hivyo kila kitu lazima kipimwe kwa Neno la Mungu, na kwa Roho Mtakatifu.

Tuko pamoja mkuu. Umesema vyema kabisa, shetani ni mjanja sana na mtu asiye na ROHO wa MUNGU atapotezwa naye (shetani) maana hujigeuza kama Malaika wa nuru na kuwapotosha wengi.
 
Kweli Mganga hajigangi. Wakati wa sakata la Kibwetere huko Uganda mwanzoni mwa 2000 ( nilikuwa Uganda) Tanzania ilitoa ushauri kwa serikali ya Uganda kwamba ni mihumu kupenyeza watu wa Usalama wa Taifa (informers) katika makundi haya ya dini ili ku-monitor situation just in case mambo yanakwenda mrama. Je Usalama wa Taifa uko wapi katika hili la Ngara mpaka watoto hawaendi shule? Come on TIS.
 
Tatizo watu hawataki kujifunza Biblia, wanategemea waalimu wa dini ambao nao pia wameathiriwa na mapokeo ya kidini tuliyoletewa na wazungu ambayo tayari ilishachanganywa na mafundisho ya kipani Source yake Bibiloni la kale. Miracles are no longer existing!!!
 
Kama huyo mama ameweza kuwashawishi wanakijiji wa idadi hiyo kuhamia kijijini, sembuse uongo na ahadi za wanasiasa kwa waTanzania?
Ndio maana hii nchi haitapiga hatua mpaka watu kama hawa (si lazima kama hawa ki imani) waelimike......ubaya ni kwamba hata hiyo elimu yenyewe hawaitaki.
 
Mungu ushaongea naye wapi wewe mama? Si useme tu frustration za maisha under Kikwete zimekuzidi unatafuta escapism tu, si ajabu ukawa-Kibwetere hawa simpleton peasants.

And then some want to tell me that human beings are rational.

Maisha bora kwa kila Mtanzania hayo.
 
watu wako taabani ....JK anaenda kuwaambia ataugeuza mji wao kaa Dubai. huko Dubai watu hata kupasikia hawajawahi acha kupaona!
 
umeongea vyema sana. nakuunga mkono kabisa. wapentecost ni watu wanaomjua Mungu kwa ukweli kabisa. mimi ninatoka makanisa ya pentecost...yaani makanisa ya kilokole yanayoamini ujazo wa Roho Mtakatifu kuwa ni wa lazima kwake yeye aaminiye. makanisa haya ni mengi sana, na yote yanajumuishwa kuwa ni ya wapentecost.

cha kufahamu ni kwamba, inawezekana, wakati mwingine, kukawa na mtu anayeleta imani fulani ambayo haina uongozi wowote wa Roho Mtakatifu, akaita mlokole na watu wakamdefine kuwa ni mpentecost...akachafua wapentecost wote. cha kuelewa ni kwamba, KITU CHOCHOTE AMBACHO HAKINA UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU, HAKIKA YAKE NI UHARIBIFU TU. kwenu nyie mnaomjua Mungu, kama kitu haujaongozwa na Roho Mtakatifu,umeongozwa ether na chuki yako, elimu ya kidunia, ufahamu na hekima za kidunia, doctrine ambayo haikuanzia kwa Roho mtakatifu etc, hakika yake, mwisho wake ni aibu tu na huwa haufanikiwi..kwasababu kila jambo linalofanyika kimwili hilo ni la uharibifu. NDIO MAANA NI MUHIMU KUJAZWA NA KUISHI NA ROHO MT. ili akuongoze, na chochote atakachokuambia Roho, hakika yake hata kama unaona kama utapitia hatari fulani, mwisho wake ni mwema. ndio maana mimi nilisema, inawezekana kuwa, hao watu ni wa Mungu na inawezekana kuwa ni hekima ya kibinadamu tu au mchomeko wa shetani tu anayevaa sura ya malaika wa nuru....HIVYO, KAMA NI JAMBO LA KIMUNGU, LITASIMAMA, KAMA SI LA KIMUNGU, LITAISHIA KAMA WALE WASABATO MASALIA. pamoja na kwamba mimi hapo siungi mkono kabisa.

Shetani baada ya kuona watu wanaokoka na kuzijua nguvu za Mungu, anatumia mawakala wake wengi tu siku hizi ili waingie kama malaika wa nuru, kusudi walete picha chafu kwa watu wanaotaka kumpokea Mungu..ili shetani aendelee kuwa na kundi kubwa la watu wanaoelekea motoni....hivyo kila kitu lazima kipimwe kwa Neno la Mungu, na kwa Roho Mtakatifu.

GOOD POINT, Pia imani potofu au kupotoka kiimani huanza na mtu mmoja. sijaamini kuwa hao ni wapentecoste. Ni kama wale jamaa ambao kambarage aliwatimuwa miaka ya 60 walikuwa wanaitwa watch tower kama sikosei. Lakini pia mtu mmoja hata mtumishi wa Mungu anaweza kupotoka na kubeba kundi kubwa la watu.

kwa hao ikiwa huo ni mpango wa Mungu na wameongozwa na roho wataendelea la si hivyo watasambaratika!
 
Kichwa ngumu ndio maana unapigwa mboko uelewe huhitaji mtetezi...na huko kwenye Qur'an uzembe hauhitajiki..dogo..

Hawa walioenda porini walikosa nini mjini? madrasa zote ziko town!

Ama kweli ukristo unakua palipo na wajinga..lakini watu wa mjini (wenye akili) hawawezi kukubali huu ulimbukeni..
Dogo nilijua tu utasema. Madrasa si ni yetu wote sasa hasira za nini? Kwa kukosa utetezi wa kupigwa mboko madrasa nimesema sijali kama wanataka kukaa huko wakae tu. Ni haki yao maana wako above 18 wanamaamuzi ya kiutu uzima.:becky:
 
tanzania maendeleo yatachukua muda kupatikana kwa vitu kama hivi. kwa kuwa wamekakosolewa wapentikoste lazima waingizwe waislam nao kwenye mjadala.

sheria ni msumeno tu, kama anaevunja ni mwalmu wa madrasa au mwalimu wa sunday school
Yaani kwako kusema nilipigwa viboko madrasa imekuwa issue ya waislam tena? si nilipigwa mboko? Sasa shida ni nini?

Haya bwana ngoja nitoke kwenye mjadala huu maana kuwasema waislam ni dhambi ati.
 
Kichwa ngumu ndio maana unapigwa mboko uelewe huhitaji mtetezi...na huko kwenye Qur'an uzembe hauhitajiki..dogo..

Hawa walioenda porini walikosa nini mjini? madrasa zote ziko town!

Ama kweli ukristo unakua palipo na wajinga..lakini watu wa mjini (wenye akili) hawawezi kukubali huu ulimbukeni..

.
Hebu tukumbushane kidogo. Pango alilobanwa mbavu Muhamadi kwa mara ya kwanza alipotakiwa kusoma lilikuwa mjini au nyikani?
Hapa litawezapatikana jibu la wenye akili zaidi ni wa wapi.
 
.
Hebu tukumbushane kidogo. Pango alilobanwa mbavu Muhamadi kwa mara ya kwanza alipotakiwa kusoma lilikuwa mjini au nyikani?
Hapa litawezapatikana jibu la wenye akili zaidi ni wa wapi.

You made my day mkuu.
 
wanatakiwa waonyeshe ni kitabu gani na mistari ipi katika Biblia inayotoa hayo maelekezo!
 
Vijiji vingi ndani ya Tz chini ya serikali ya ccm havina tofauti na maisha ya msiituni. Ni kijiji gani Tz kinaweza kuvuna mazao wakati wa msimu ikiwa Mungu hakuwanyeshea mvua? Hakuna jitihada zozote za serikali kuweka miundo mbinu ya kilimo cha umwagiliaji, na kama zipo basi zitakuwa ni takwimu kwenye makaratasi za miaka nenda rudi. Hivyo wanavijiji hawaoni tofauti ya kuishi kwenye kile kinachoitwa kijiji na msituni.
WAPENTEKOSTE ZIDISHENI MAOMBI YENU, YESU AWACHUE KUPUMZIKA ILA KWA JINSI NINAVYOZIJUA HURUMA ZAKE HATAWACHUKUA NINYI ILA ATAINYAKUA CCM KUWATOA MADARAKANI NA KUWAKABIZI KWA CHAMA KINGINE KITAKACHO SABABISHA UKOMBOZI WENU KIMAISHA.

KIBY - YOU REALLY IS AMUSING - GOD BLESS YOU - ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa ha ha haaaaaaaaaaa - hivi kweli CCM itanyakuliwa??? lets wait and see!!!!
 
Katika hali inayokumbushia kisa cha "Wasabato Masalia" kundi la kina mama Wapentekoste na watoto wao wameamia kwenye msitu huko ngara wakiziacha nyumba na familia zao katika kile wanachoamini kuwa wanatekeleza mapenzi ya Mungu ya kutotumia madawa yanayotengenezwa na binadamu huku wakikesha kuomba wakingojea "wanyakuliwe".

Wapentekoste Kanisa gani? Makanisa yao yana majina bwana ebo
 
Back
Top Bottom