Wapemba na kuvunja muungano

Status
Not open for further replies.
ni vizuri kuichimba historia ya Zanzibar ma muungano kwa makini kwa sababu wadau ni wengi na taarifa lazima zitatofautiana.Nawaapia badu unaweza kupata PhD ukiamua kutafiti mambo ya Muungano.Kwa kuwa upo muungano kwa miaka 48 sasa nafikiri tunahitaji majibu ya kisomi na kisayansi ya mambo makubwa manne:
1.Je sababu za kuungana mwaka 1964 zina mashiko yoyote kwa pande zote leo mwaka 2012?
2. Je tunahitaji Muungano tena? baada ya kupata jibu la swali la kwanza
3. Kama tunauhitaji je ni wa serikali tatu,moja,ama mfumo wetu wa mikoa tuubadili uwe wa majimbo yenye mamlaka sheria na mipango maendeleo na yote yawe na serikali badala ya mikoa hii inayotuzingua na serikali ya shirikisho kama Marekani?
4.Kama kura ya maoni ikionesha Wazanzibari wengi say asilimia 90 hawautaki Muungano na wakati huo huo asilimia 90 ya watu wa iliyokuwa Tanganyika wakuonesha kuutaka tutafanya nini na hawa watu asilimia10 walioko Zanzibar kwa mfano?
Tuone basi tunalijadili dude gumu kuliko suala la ndiyo/siyo

mkuu ubongo unao. Kudos.
 
Nawaunga mkono wa znz 100% kuvunja muungano feki ambao hata sisi watanganyika hakuna mwenye shida nao'ila angalizo tu msije kuvunja halafu mkang'ang'ania bara mrudi kwenu tu tuachieni nchi yetu na ukafiri wetu'

usilipe ovu mkuu. Waruhusiwe kuomba uraia
 
Viongozi hawatuambii ukweli kuhusu sababu za kuunda muungano na wanazuia kuujadili zaidi. kwa nini wasitushawishi kwa hoja zaidi badala ya kutuzuia? Ukiwaangalia wakati wanazungumzia wengi wao inaonesha haitoki moyoni kabisa(wanatamani uvunjike tu).
 
Sijui ni kwanini magamba wanatulazimisha tuendelee na muungano huu usio na tija kwetu?kama hao wazenji wanaukataa kwanini sisi tunaukng'ang'ania?wao ndio wanaonufaika nao.Cdm na wananchi wote tukaze buti 2015 tuwaondoe MAgambaz katika kuongoza dola na hatimaye tuuzike muungano huu wa kinyonyaji
 
Sijui ni kwanini magamba wanatulazimisha tuendelee na muungano huu usio na tija kwetu?kama hao wazenji wanaukataa kwanini sisi tunaukng'ang'ania?wao ndio wanaonufaika nao.Cdm na wananchi wote tukaze buti 2015 tuwaondoe MAgambaz katika kuongoza dola na hatimaye tuuzike muungano huu wa kinyonyaji
Ndio maana CCM Inawahonga viongozi na wajanja wachache nafasi za bure ili kuwafunga midomo imagine nafasi kama ya makamu wa rais Dr Balali nk ni kama haipaswi kuweko hivi kwa nini apewe Msharaha hasa wa nini? Maana wenyewe mjionea hata Rais anapokuwa nje ya nchi Makamo wake hana nguvu yeyote ya kufanya maamuzi, Hebu fikiria vyeo vya kuhongwa kama shamsi Vuai waziri wa mambo ya ndani inaingia akili! Hebu fikiria mtu kama waziri wa sayansi na technologia Prof Mbalawata aliteuliwa tu na JK kuwa mbunge toka Pemba then AKAMKABIDHI WIZARA NYETI YA KUHAKIKISHA NCHI INAJIENDELEZA KISAYANSI YA tECHNOLOGIA LAKINI HEBU TUWE WAKELI NAFASI KAMA HIYO NI YA KUMPATIA MTU ASIE CHANGULIKWA NA WANCHI JE ATAWAJALI WANANCHI? nI WAKATI MUAFAKA MUUNGANO UVUNJIKE TUWE NA TANGANYIKA NA ZANZIBAR THEN WAINGIE KATIKA JUMUIA YA AFRICA MASHARIKI KAMA rWANDA NA BURUNDI, HILO LIKITOKEA HATA CHAMA CHA MAPINDUZI KINAWEZA KUJINASUA KATIKA UTUMWA WA KUWABEBA WAZANZIBAR KATIKA MAMBO MENGI MFANO KUWAJAZA KATIKA NEC, CC, MKUTANO MKUU WA CCM NK! KAMA KUNA KITU KIMEPITWA NA WAKATI NI MUUNGANO NA WALA WA SERKALI TATU HATUUTAKI KUONGEZA MZIGO BURE KWA WATANZANIA KUGHARIMIA SERIKALI AMBAYO VIONGOZI WAKE WATAKUWA WA MTINDO WA MAAMU WA RAIS TULIE NAE KWA KWA SASA. WAZANZIBAR NI FIRST BENEFICIARIES AND FISRT COMPLAINERS KUHUSU MUUNNGAN UNAOWAPENDELEA NINAOMBA VYAMA VYA UPINZANI MSIJE INGIE KATIKA MTEGO WA MUUNGANO WA AINA HII, MIMI NINAKUBALIANA NA SERIKALI ZA MAJIMBO NA ZANZIBAR LIWE JIMBO KAMA WATATAKA MUUMNGANO NA SI HUO WA SERIKALI TATU, JAMANI WAZANZIBAR NDIO WASOMAJIA WAKUU NJE YZ TANZANIA KWA SPOSNORSHIPS ZA BARA LAKINI WAPI!!!!
 
Ni kundi haramu kwa sababu linavunja katiba ya nchi. Kujadili mapungufu ya Muungano hakuna ubaya, ila kuvunja Muungano ni uhaini because it is against the constitution! There are ways to air your dissatisfaction on every opinion, not by breaking laws of the country!! If everybody was to behave like UAMSHO, what will be the destination of this nation!!!
Nitakuunga mkono ukinionyesha katiba ya Zanzibar.....Wazanzibar tuwaachie nchi yao.. hivi sisi watanganyia tuna nga'ang'ania nini zanzibar kwanini tuna lazimisha ndoa na mtu asie kutaka
 
Ndio maana CCM Inawahonga viongozi na wajanja wachache nafasi za bure ili kuwafunga midomo imagine nafasi kama ya makamu wa rais Dr Balali nk ni kama haipaswi kuweko hivi kwa nini apewe Msharaha hasa wa nini? Maana wenyewe mjionea hata Rais anapokuwa nje ya nchi Makamo wake hana nguvu yeyote ya kufanya maamuzi, Hebu fikiria vyeo vya kuhongwa kama shamsi Vuai waziri wa mambo ya ndani inaingia akili! Hebu fikiria mtu kama waziri wa sayansi na technologia Prof Mbalawata aliteuliwa tu na JK kuwa mbunge toka Pemba then AKAMKABIDHI WIZARA NYETI YA KUHAKIKISHA NCHI INAJIENDELEZA KISAYANSI YA tECHNOLOGIA LAKINI HEBU TUWE WAKELI NAFASI KAMA HIYO NI YA KUMPATIA MTU ASIE CHANGULIKWA NA WANCHI JE ATAWAJALI WANANCHI? nI WAKATI MUAFAKA MUUNGANO UVUNJIKE TUWE NA TANGANYIKA NA ZANZIBAR THEN WAINGIE KATIKA JUMUIA YA AFRICA MASHARIKI KAMA rWANDA NA BURUNDI, HILO LIKITOKEA HATA CHAMA CHA MAPINDUZI KINAWEZA KUJINASUA KATIKA UTUMWA WA KUWABEBA WAZANZIBAR KATIKA MAMBO MENGI MFANO KUWAJAZA KATIKA NEC, CC, MKUTANO MKUU WA CCM NK! KAMA KUNA KITU KIMEPITWA NA WAKATI NI MUUNGANO NA WALA WA SERKALI TATU HATUUTAKI KUONGEZA MZIGO BURE KWA WATANZANIA KUGHARIMIA SERIKALI AMBAYO VIONGOZI WAKE WATAKUWA WA MTINDO WA MAAMU WA RAIS TULIE NAE KWA KWA SASA. WAZANZIBAR NI FIRST BENEFICIARIES AND FISRT COMPLAINERS KUHUSU MUUNNGAN UNAOWAPENDELEA NINAOMBA VYAMA VYA UPINZANI MSIJE INGIE KATIKA MTEGO WA MUUNGANO WA AINA HII, MIMI NINAKUBALIANA NA SERIKALI ZA MAJIMBO NA ZANZIBAR LIWE JIMBO KAMA WATATAKA MUUMNGANO NA SI HUO WA SERIKALI TATU, JAMANI WAZANZIBAR NDIO WASOMAJIA WAKUU NJE YZ TANZANIA KWA SPOSNORSHIPS ZA BARA LAKINI WAPI!!!!
Pamoja sana mkuu nimekugongea kile kinyota kabisa........
 
Sijui ni kwanini magamba wanatulazimisha tuendelee na muungano huu usio na tija kwetu?kama hao wazenji wanaukataa kwanini sisi tunaukng'ang'ania?wao ndio wanaonufaika nao.Cdm na wananchi wote tukaze buti 2015 tuwaondoe MAgambaz katika kuongoza dola na hatimaye tuuzike muungano huu wa kinyonyaji
Kura zao ziko nyingi sana huko hebu fikilia leo uondoe zanzibar ngome ya CCM itabaki wapi hapa Tanganyika Mpwani.....?
 
kwa nini unaliita kundi haramu? Wapemba, waunguja na watanganyika wana haki ya kuujadili muungano, na kila mmoja ana haki ya kujitoa kama haumnufaishi, na wananchi ndio waamuzi sio serikali.....
 
kwa mtu mwenye ufahamu kuhusu historia ya hivi visiwa atajua kabisa hawa jamaa hawatumii akili kutaka kuvunja huu muungano
 
Watanzania, sio jambo jema la kulishabikia, kundi la uamsho huko Zanzibar linalo hubiri hadharani kuwa Muungano uvunjike!!!! Inawezekana tukasema tuwapuuze, lakini we have to think twice!! It is shocking kuwa wanapokuwa wanahubiri wakiuliza "nani anapenda muungano uendelee, uwanja wote unakuwa kimya, wakisema nani anataka Muungano uvunjike, majority wanaamsha mkono!!! Hawa sio wa kupuuza kama tunataka muungano uendelee kuwapo. Serikali inalifumbia macho kundi hili haramu. Tafakari, chukua hatua!!!

Hii nchi ni ya kidemokrasia mkuu, acha wapemba wajadili huu muungano kama Watanganyika wameshindwa.
Nauchukia huu muungano kuliko kitu chochote na natamani uvunjike hata kesho.
 
Kuhusu hili la muungano,ama kweli inasibitisha mapungufu tuliyo nayo watu weusi,hoja zao za kutaka kuvunja muungano ni za kipuuzi na kitumwa,mfano wa hoja hizo ni kama eti misaada mingi inapitia serikali ya muungano hivyo wazanzibar hawafaidi!,mara ooh! tukijitenga tutapewa na nchi za kiarabu misaada ya kutosha!,inashangaza badala ya kujadili mambo ya msingi kama kufanikisha mapambano dhidi ya rushwa na utawala mbovu.Wazungu wameungana kwa hiari na hata kwa nguvu kama waingereza(scotland,ireland,wales n.k),U.S.A. watu wachache wanakalia hoja mufilisi za kuvunja muungano.Vibaraka wa waarabu wanaojiita wazanzibari wakae wakijua kuwa siku zao za kupotosha kuhusu muungano zinahesabika,hatutawaruhusu kuendelea tutawarudisha umangani wakaendeleze kujilipua na sio hapa kwetu.Jussa jitazame sura yako!
 
Nyerere ilitumia nguvu za Watanganyika kumtimua Sultani, akampa Mhamiaji wa Uganda John Okello na Wamakonde, Watanga na Wasukuma kazi ya kumpindua Mungu wa Wazenji, baada ya mapundizi akampeleka mwanasiasa nae mhamiaji mwenye asili ya Malawi aitwae Abeid Amani Karume na kapewa eti ni yeye aliyepindua, alikuwa akila kuku kwa Nyerere akisubiri ajira, akapewa miezi 3 tu baada ya kuajiriwa na Mwalimu kama kiongozi wa visiwa vyetu, kisha kasaina kuungana na Mainland, kosa la Nyerere ndio hili la kwanini asingekomboa na kufanya Mkoa tu? Angalia kwa roho yake nzuri ya kuwapa heshima japo wao wa leo wanamtukana Mwalimu kwa pesa toka Iran, enzi hawakuwa banadamu eti walikuwa mali ya Sultani.

Hee kumbe!!!!!!
 
Kama ni kundi haramu eti kwa kujadili Muungano, je Slaa naye ni haini kwa kukataa kuutambua muungano kwa kuwa hajawahi kuiona hati ya Muungano?? Waacheni wa Zb waamue hatima yao. Watanganyika hamna haki ya kuwaamulia Wazenj wanachotaka. Halafu kuna mmoja hapa JF anasema eti kundi la Uamsho linamtukana Nyerere kwa pesa za Iran! Nani kamwambia kuwa hao jamaa wanapewa pesa Iran? Anaweza kutuletea ushahidi? Kwa taarifa yako hao jamaa na Mashia wa Iran ni kama nguruwe na muislam.

Kwa maana hiyo hapo ktk red ni kwamba hao jamaa na Mashia wa Iran wanapatana sababu siku hizi Nguruwe na Muislamu ni damu damu. Waislamu ndo mnaofanya bei ya nyama ya Nguruwe iwe inapanda kwa kasi, wengi wenu mnakula ila kwa siri siri ambapo mnasababisha uhaba mkubwa wa hii nyama inapelekea kupanda kwa bei.

Katika hili nimekuelewa vizuri na nawashauri Waislamu mtusaidie Wakristo kupunguza bei ya hii Nyama kwa kujiondoa ktk ulaji wa hii Nyama. U ar ryt boy!!!
 
zanzibar wachukue nchi yao, utamaduni wao unaharibika kwa kuungana na makafiri wa bara.

Hapo ndio mwisho wako wa kufikiria ulipoishia, nini maana ya kafiri? Unataka kusema kila Mtanganyika ni kafiri, una uhakika na maneno yako?.
Ndio maana huwa ninatilia mashaka mara kwa mara na upeo wenu wa kiakili watu wengi wa Zanzibar(wake wa Sultani) ukiwemo ww uliyeandika hii comment hapo juu. Mmejaa udini udini na ubaguzi wa maeneo mtokayo.
Hata Watanganyika kwani wamekuambia wanautaka huu Muungano? Acha maneno ya Ki***** na usiwe kama vile unafikiri kwa kutumia Masaburi yako.
 
Tatizo muungano tunalazimisha sisi watanganyika, mimi nadhani ccm wana lao jambo lao baya na zanzibar kwa nini wanawalazimisha? Pia wabunge wa zanzibar hawaisaidii zanzibar ni wanafiki! Chukua mfano suala la katiba mpya wengi walimshambulia tundu lissu kwa kuhoji muundo wa muungano. Wabunge wa zanzibar ndo wanao iharibia zanzibar!
 
Hee kumbe!!!!!!

mi nimesoma mitazamo mingi sana ihusuyo muungano wa tanganyika na zenji lakini wana jf nasikitika kuwaambia kwamba miaka yetu ya masomo ya siasa na uraia hatukuwahi fundishwa mitazamo hii inayoleta mkanganyiko leo hii. Hii ilikuwa ni kwa faida ya nani?
 
Wapo sahihi hao mie nawaunga mkono 100%. Hebu waonyesheni hiyo hati ya Muungano kama ipo. Kama hakuna ni dhahiri wanastahiki kudai uhuru wa nchi yao. Rais wa zenji yupo, bendera mnayo, Jeshi (JKU) mnalo. mbona mpo poa tu!. Mtikila upo wapi jembe langu?. na sisi mbona hatuna Rais wa Tanganyika?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom