Ni kundi haramu kwa sababu linavunja katiba ya nchi. Kujadili mapungufu ya Muungano hakuna ubaya, ila kuvunja Muungano ni uhaini because it is against the constitution! There are ways to air your dissatisfaction on every opinion, not by breaking laws of the country!! If everybody was to behave like UAMSHO, what will be the destination of this nation!!!
Nadhani wewe mwenyewe kwanza hujijui kabisaaa, kitu cha mwanzo uckurupuke kutuletea uzi wenye chuki na watu wa aina fulani(Wapemba), ikiwa unawachukia Wapemba nenda huko Zenji ukawaambie wenyewe usituhusishe na sisi, hapa JF hapakufai.
Halafu wewe inaonekana fikira zako ziko lower level kabisaa, ivo unadhani kuna Mtanganyika mwenye kuupenda huu muungano??? Ikiwa yuko basi huyo karogwa na akili za magamba na ufisadi mwingi, wewe mmojawapo.
Nikuulize Mkuu unamjua nani mhaini au unatuwekea porojo tu hapa ??? Labda nikujibu tu, Mhaini ni yule alouunganisha hizi nchi bila ya kuwashirikisha wananchi halafu kutufutia Tanganyika yetu.
ANGALIZO: Nenda kasome chanzo cha huu muungano na malengo yake, usikurupuke na kutuandikia pumba hapa,
ila samahani ikiwa nimekuudhi Mkuu ni maoni yangu!!!