Thread tayar
Kwenda zao huko, huyu bikirembwe ana mambo ya kijinga mno..! Subiria tumpige fitina nchi ata waichukue upinzani.Kama mpemba anakuwa Rais ...kuna cheo kikubwa na sensitive zaidi ya Urais??
Acheni nongwa fanyeni kazi...
Kama it's okay Rais kuwa mpemba basi vyeo vyote vingine hakuna tatizo
Unless mseme sheria inayo kataza iko wapi?
wewe mporipori endelea kuota siku moja utajikuta unajiunguza na moto.Kwenda zao huko, huyu bikirembwe ana mambo ya kijinga mno..! Subiria tumpige fitina nchi ata waichukue upinzani.
Umekuwa na element za Kiuchawa siku hizi. Watanganyika tuna fursa kama hizo huko Nchi ya jirani???Kama mpemba anakuwa Rais ...kuna cheo kikubwa na sensitive zaidi ya Urais??
Acheni nongwa fanyeni kazi...
Kama it's okay Rais kuwa mpemba basi vyeo vyote vingine hakuna tatizo
Unless mseme sheria inayo kataza iko wapi?
🤣🤣🤣🤣🤣wewe mporipori endelea kuota siku moja utajikuta unajiunguza na moto.