Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 347
Kuoa au kuolewa na makabila haya lazima uwe mvumilivu sana. Pengine watu hujitumbukiza katika uhusiano bila kufanya utafiti wa kina. Nilimsindikiza rafiki yangu kutoa mahali kwa Wapare na niliona mambo ya ajabu sana! Tukaambiwa twende akatabulishwe kwa mizimu ya Kipareni.
Nilishangaa wakati nashuhudia wanavyotambika. Tuliingizwa kwenye kinyumba kibovu sana! Kimejaa tunguli tupu! Wazee wakaongea maneno yao kwa Kipare ya kuomba dua! Wakachukua pombe na kuweka kwenye Kibuyu kikubwa, eti ni ya mizimu! Walisema baada ya dakika mbili mizimu itakuwa imekunywa pombe hiyo ikiashiria kwamba dua lao limekubalika. Wakafanya hivyo hivyo na nyama ya mbuzi na matabiko haya yanafanyika katika eneo wanaloita milima ya Wapare! Huko ndiko Wapare wanaendeleza FGM. Baadhi ya wanawake wengi wa kipare wamekatwa nani zao eti wasitamani wanaume na kuzuia wasitoke nje ya ndoa zao. Aibu kubwa Wapare nyie msioelimika!
Kwangu, naona kama Ndugu yangu amepotea kidogo kuoa kutoka kabila hili maana usiku huo hakulala kabisa. Aliogopa sana na kusikitika kwamba angejua…... Eti kila Mwaka wanatambika na lazima ahudhurie. Nadhani akiwa kama mwanamme, hayo matambiko hayamhusu kwa vile anatoka ukoo tofauti na kabila sio la Wapare. Nimemshauri asishiriki matambiko ya aina yeyote!
Ni bora wachaga na wa Pare wawe wanaoana wenyewe kwa vile wao ndo wenye matambiko haswaa kwa karne hii ya 21! December imekaribia utaona wanavyohangaika kwenda kutambika!
Badilikeni nyie!
Nilishangaa wakati nashuhudia wanavyotambika. Tuliingizwa kwenye kinyumba kibovu sana! Kimejaa tunguli tupu! Wazee wakaongea maneno yao kwa Kipare ya kuomba dua! Wakachukua pombe na kuweka kwenye Kibuyu kikubwa, eti ni ya mizimu! Walisema baada ya dakika mbili mizimu itakuwa imekunywa pombe hiyo ikiashiria kwamba dua lao limekubalika. Wakafanya hivyo hivyo na nyama ya mbuzi na matabiko haya yanafanyika katika eneo wanaloita milima ya Wapare! Huko ndiko Wapare wanaendeleza FGM. Baadhi ya wanawake wengi wa kipare wamekatwa nani zao eti wasitamani wanaume na kuzuia wasitoke nje ya ndoa zao. Aibu kubwa Wapare nyie msioelimika!
Kwangu, naona kama Ndugu yangu amepotea kidogo kuoa kutoka kabila hili maana usiku huo hakulala kabisa. Aliogopa sana na kusikitika kwamba angejua…... Eti kila Mwaka wanatambika na lazima ahudhurie. Nadhani akiwa kama mwanamme, hayo matambiko hayamhusu kwa vile anatoka ukoo tofauti na kabila sio la Wapare. Nimemshauri asishiriki matambiko ya aina yeyote!
Ni bora wachaga na wa Pare wawe wanaoana wenyewe kwa vile wao ndo wenye matambiko haswaa kwa karne hii ya 21! December imekaribia utaona wanavyohangaika kwenda kutambika!
Badilikeni nyie!