Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Kuna mtu kizinga anafatilia tokea Mwezi Januari, nimempiga spana tuu,,,,Jana 14/2/2021 text ya kwanza ilikuwa yake.Ile kureply ASANTE kosa kubwa akakumbushia na mpaka tunavyoongea sijafanya lolote mie. Na status anaview kama kawa yaaani,, kula buyu tuu na hizi nyakati kweli siyo za kupigana vizinga walahi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kama jana nilikua airplane mode Hadi usiku mwingi mkuu
Sasa Kuna vijana niliwambia kwenye uzi wa wabet wasijiunge kupatiwa sijui odds waka bisha wakala vitasa Leo hamadi naona uzi wa forex na mzingira ya vitasa yananza nashukuru JF makini wakaufuta

RAHI YANGU WATANZANIA MSIKUBALI KUFANYA MIMALA KIZEMBE MTACHAKAA

pamoja kiongozi
 
defensive mechanism
 
Vizinga kwa msimu huu wapasaka kidogo vimepungua kutokana na changamoto ya kifurushi kuwa juuh

Tuzidi kujikinga wakuu ni hayo tuh
 
Michango hewa [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…