Wapangaji wangu wanabadilishana wake zao

Wapangaji wangu wanabadilishana wake zao

Umesahau majukumu ya Baba mwenye nyumba.
 
Baba mwenyenyumba pamoja na kutoeleweka vyema kqa maelezo yako...yaonekana kama wataka ingia katika hiyo rosta "cicle"!
 
japo mkewangu nimeachana nae siwez kujiingiza but ninatakiwa kukemea kama kuwapa notes nitawaongezea miezi mitatu yakukaa free
 
bila kuwachosha wakuu. kama kichwa cha habara kisemavyo kila baada ya siku mbili wahuku anakwenda kule , na wakule anakuja huku. mimi ni megundua leo asubuhi. wangapaji wenzao wanasema( they keet it as secret) Mausiano yao ni(sexual,emotional,spiritual and defferent combination) when i had ask them . answ from them(the enjoyed when being engaged also enjoyed the defferent which god brougth to them )ad nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? kama baba mwenyenyumba
you killed and buried queen's language,
rest in peace english!
 
Hahaha Una alternatives mbili.

1. Jenga nyumba nyingine Ili uepuke udaku WA kuwafuatilia wapangaji walo

2. Ongea na mkeo Ili mjiunge na huo mzunguko. Halafu utupe feedback. Labda naweza na mie kuhamia kupanga kwako
 
Wambie waendelee tu hapa Arusha NYUMBA ZA AICC KIJENGE KUNA GHOROFA LIMEBAKI BILA WATU ,WAMEKUFA KWA SHEA WAUME NA WAKE ZAO
 
mimi nakushauli ludisha mkeo alafu uombe kuingia kwenye zam
 
Aiseee hii duniaa hiii jamaniii daaa.Sasa ukikuta mkeo analiwa tigo utasemaje ?esp akishazoea...duuh
 
Haaaaaaaaaa kazi unayo kama vipi we hama tu maana hamna namna tena wameona yafaa iwe ivo _____________ Kama wampenda mkeo muhamishe tu hapo pana sintofaham angalia msiinjie mkawaharibia wenzenu mambo yao daaaaa maisha yamelainika ee ????
 
Back
Top Bottom