kuna wamama wanauza matunda na kutembea distance ya kutoshaUsiangalie tu upande wa kupakaa wanawake rangi, angalia pia umbali wanaotembea kupita pita na kukatiza mitaa... hiyo ni kazi ngumu kama ya mmachinga kutembea na kutafuta wateja wa bidhaa zake...
kuna wamama wanauza matunda na kutembea distance ya kutosha
kwani ulivyosema umbali na nguvu kutumika sio kwamba ulimaanisha kuwa ndio sababu ya wanawake kutopendelea kazi hiyo?Lakini siyo urembo...
Mbona hujawafikiria wale dada zangu FREELANCERs wanaouza line, vipodozi na dawa za GNLD&etc??Usiangalie tu upande wa kupakaa wanawake rangi, angalia pia umbali wanaotembea kupita pita na kukatiza mitaa... hiyo ni kazi ngumu kama ya mmachinga kutembea na kutafuta wateja wa bidhaa zake...
Kumbe ndo wewe maana mamiiiito wangu Ananiambiaga anaenda kwa jigo,we unaniharibia mke wangu.Hii kazi naipenda sana na ndio maana naifanya hapa ofisini kwangu ...wadada wananifurahia mno mimi
Jigo
Ndo hivyo ndugu Fanya survey utaona utam wa hii kaziHa ha haaaaaaa Mzee wa fitna umetisha
So possibly hii ni sababu mojawapoHii kazi tam acheni unapapasa miguu kuliko hata mmiliki ukutane na mwenye kimini