Mjifunze kutengeneza wake zenu mbona kutafuta hela mnaweza? Mi najua vyote mpaka massage shemeji yenu anapata ukiachilia kusafishwa kucha, nywele namnyoa mwenyewe hana haja ya kwenda salon. Tuepukane na uvivu tuchukue hatua kuboresha mahusiano na wenza wetu.
Kinachonikera wanapokuwa wanasuguliwa hiyo miguu yaani muda unavyozidi kwenda ndimwanatanua miguu..mi huwa simuelewi kabisa wife material na hii kitu..anakuja kwenye ki ist chetu twende home makongo kaiva macho kama kala ukwaju
Kuna haja ya kujua km hawa jamaa ni rijali au lah! Yani salon za kiume wale wadada ni shida na huko nako mmh!!
Ha ha ha ha!Kinachonikera wanapokuwa wanasuguliwa hiyo miguu yaani muda unavyozidi kwenda ndimwanatanua miguu..mi huwa simuelewi kabisa wife material na hii kitu..anakuja kwenye ki ist chetu twende home makongo kaiva macho kama kala ukwaju
Hawa jamaa ukiwakuta Mwenge wanavofanya masaji miguu ya wadada, dah moyo unadunda the fastest, maana wanafunua hadi mapajani karibu na 18 yaani dah sina jinsi ningeweza ningemkataza wife but ndo haiwezekani haya basi sawa wacha iwe hivo dah!
Kuna haja ya kujua km hawa jamaa ni rijali au lah! Yani salon za kiume wale wadada ni shida na huko nako mmh!!
Ukiwa na mwenza ambae hajitambui kila kitu ni shida. Atatembea na muuza bucha, muuza nguo na viatu na pochi, mzaire wa kutengeneza nywele (wale jamaa akikuosha nywele anapiga massage flani hukawii kusinzia hehehe), daktari na banker you name it. Haina tofauti na kuwa na mune asiejitambua atakaetembea na muuza bar, hgal, office mates, na hata kutongoza marafiki wa mkewe.
Muhimu kuwa na mwenza anaejitambua na kujithamini. Maisha yote yatakuwa bwerereee