Waongo walipokutana

Waongo walipokutana

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,358
Kuna wanandoa wawili walikua na tabia ya kudanganyana ktk ndoa yao..siku moja mke alilala nje na aliporudi asubuh,mumewe akamuulza alipolala,ye akamwambia alilala kwa rafiki yake wa kike,mumewe akaamua kuwapigia marafik zake 10,kuwaulza ka mkewe alilala kwao bt wote walikataa kwamba hakulala kwao.cku ya pili mumewe nae akalala nje aliporud asubuh akamwambia mkewe kuwa amelala kwa rafk yake,mkewe nae akaamua kuwapigia marafik wa mumewe 10 kuwaulza ka mumewe alilala kwao bt cha ajabu marafki zake 8 walikubali kuwa jamaa alilala kwao na 2 walisema alilala kwao na hadi wkt huo alikua bado yuko huko kwao.
 
Ndo tatizo la muongo kutetewa na muongo mwenzie!
 
Dah hiyo nimecheka maana nilikuwa sijacheka toka asubuhi.
 
Tehe tehe tehe tehe, tena jamaa anasistiza shemeji jamaa yupoa au nikupe uongee naye kabisa kumbe ndiyo anamuunguza kabisa jamaa.
 
so wanaume ni waongo kuliko wakushoto mwao
 
dah wote 8 na bado kwa mkewe yupo kwa wakati ule! au ni mzimu nini?
 
hehehehehe!!!!umeona wanaume walivyozidi uongo na they support one another
 
Back
Top Bottom