Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,175
- 11,572
Ok nitajaribu, ila napenda sana stimu kwa kichwa
Naamini hilo
Ok nitajaribu, ila napenda sana stimu kwa kichwa
Kabisa Mkuu, lengo la pombe ni kupata stimu na sio kujaza mimaji tumboni
bora anywe hiyo LIGHT kuliko kuwa na MICHEPUKOOOO
Kila mtu na starehe yake kama vipi kunywa gongo ili ulewe haraka.
kama wewe ni mlevi ,,basi sio bia yako....
wew endelea kunywa safari za mot
mimi nakunywa hizo castle lite kwasababu
-nina kitambi
-nimekatazwa bia kunywa kutokana na presha
-na drive ,nahitaji kuwa sober always nakaa mbali na kazini
-sio mlimbukeni wa vileo,nilikunywa sana enz za chuo
Kila mtu ana sababu yake ya kunywa anachokunywa..
---Wapo wanaotaka kulewa
---Wapo wanaotaka kuburudika tu
---Wapo wanaopenda ladha na harufu ya kinywaji tu(mfano wanaopendelea BALTIKA)
---Wapo wanaofata mkumbo
---Wapo wanaomini kuwa wanavutia au wanajiongezea mvuto ikiwa wataonekana wanakunywa aina fulani ya kinywaji.
Siku moja nilikutana na mzungu bar akawa anashangaa kwanini waAfrika wengi wanatumia pesa nyingi na muda mwingi kunywa bia nyingi na kukaa bar muda mrefu ili tu kulewa, ilhali wanaweza kutumia pesa kidogo kunywa vinywaji vikali na wakalewa haraka hinvyo kutopoteza muda mwingi bar.:behindsofa:
Kwani pombe ni dhambi! Mboni tunainywa wakati wa chakula cha Bwana
Da ebana ngoja na mie nijaribu hizo lite maana kitambi yangu naona inanipa shida,halafu siku hizi nikinywa ile bia yangu Caslte Lager huwa inanipa hangover sana,i think its time to shift to this beer.
Da ebana ngoja na mie nijaribu hizo lite maana kitambi yangu naona inanipa shida,halafu siku hizi nikinywa ile bia yangu Caslte Lager huwa inanipa hangover sana,i think its time to shift to this beer.
Jamani napata taabu kujua hasa nia ya watu hasa wanaume wanaukunywa hiyo bear, je lengo lao ni kupata kilevi au kunywa tu ilimradi. Nimewahi kunywa hizo bear tisa na sikuona mabadiliko yoyote kichwani. Ni laini mno
Jamani napata taabu kujua hasa nia ya watu hasa wanaume wanaukunywa hiyo bear, je lengo lao ni kupata kilevi au kunywa tu ilimradi. Nimewahi kunywa hizo bear tisa na sikuona mabadiliko yoyote kichwani. Ni laini mno
Tisa tu nilisha kula 21 na nikadrive mpaka hm na sikufeel kulewa kabisa ,zile zinawafaa wanafunzi wa kilevi sisi wazee wa viroba is jus a wastage of money n time...!
cyo dhambi
mimi napata red wine unasemaje?Kila mtu ana sababu yake ya kunywa anachokunywa.. ---Wapo wanaotaka kulewa ---Wapo wanaotaka kuburudika tu ---Wapo wanaopenda ladha na harufu ya kinywaji tu(mfano wanaopendelea BALTIKA) ---Wapo wanaofata mkumbo ---Wapo wanaomini kuwa wanavutia au wanajiongezea mvuto ikiwa wataonekana wanakunywa aina fulani ya kinywaji. Siku moja nilikutana na mzungu bar akawa anashangaa kwanini waAfrika wengi wanatumia pesa nyingi na muda mwingi kunywa bia nyingi na kukaa bar muda mrefu ili tu kulewa, ilhali wanaweza kutumia pesa kidogo kunywa vinywaji vikali na wakalewa haraka hinvyo kutopoteza muda mwingi bar.:behindsofa:
kunywa ze kick au kibo gold
Red wine safi kwa kusaidia mmeng'enyo wa chakula.mimi napata red wine unasemaje?
Tongoa ,tongoa mwanakwetu jipole lielewe!oh nimekumbuka nyumabani!sema sema zuzu aelewe!Naona umepanic bro.
--Unahisi kila atajaye mzungu basi amemtukuza!!!Huku ni kupanic
--Kwanini unafikiri mzungu niliyekutana naye bar ni lazima atakuwa jamaa yangu tena foreigner!!!Hapa pia umepanic
--Unahisi kuwa nimemtaja mzungu hapo ili kuunogesha ushauri wake kuwa ni mzuri!!!Hapo umepanic
Mzungu ni mzungu tu na mwafrika atabaki kuwa mwafrika na wala mzungu hawi bora kwa kuwa katajwa na mwafrika.
Pia kushangaa kwa mzungu hakufanyi mwafrika aonekane kakosea.
Hii ni dunia huru bro usipanic.