Jamani napata taabu kujua hasa nia ya watu hasa wanaume wanaukunywa hiyo bear, je lengo lao ni kupata kilevi au kunywa tu ilimradi. Nimewahi kunywa hizo bear tisa na sikuona mabadiliko yoyote kichwani. Ni laini mno
Dah bwana mdogo umenikubusha zamani 80's wakati naanza kunywa pombe nilikuwa napenda kulewana pia nilienda watu wakijua nimekunwa pombe nilisi ubinwa laki baada ya kuua .........inakuwa kawaida tu! nahisi bao upo kipidi cha mwanzo!