Wanywa castle light

Wanywa castle light

Jamani napata taabu kujua hasa nia ya watu hasa wanaume wanaukunywa hiyo bear, je lengo lao ni kupata kilevi au kunywa tu ilimradi. Nimewahi kunywa hizo bear tisa na sikuona mabadiliko yoyote kichwani. Ni laini mno

Dah bwana mdogo umenikubusha zamani 80's wakati naanza kunywa pombe nilikuwa napenda kulewana pia nilienda watu wakijua nimekunwa pombe nilisi ubinwa laki baada ya kuua .........inakuwa kawaida tu! nahisi bao upo kipidi cha mwanzo!
 
Dah bwana mdogo umenikubusha zamani 80's wakati naanza kunywa pombe nilikuwa napenda kulewana pia nilienda watu wakijua nimekunwa pombe nilisi ubinwa laki baada ya kuua .........inakuwa kawaida tu! nahisi bao upo kipidi cha mwanzo!

Kwani umeshalewa? Hiyo lugha duh!!
 
Dah bwana mdogo umenikubusha zamani 80's wakati naanza kunywa pombe nilikuwa napenda kulewana pia nilienda watu wakijua nimekunwa pombe nilisi ubinwa laki baada ya kuua .........inakuwa kawaida tu! nahisi bao upo kipidi cha mwanzo!

Naona kama kuna makosa ya spelling kwenye post yako, je hapo red ni kwamba uliua kiumbe fulani kwa ajili ya pombe?!!!!!!!!!! Ila mimi pombe haijawahi kunipa ukorofi, nakuwa mtu wa kawida tu
 
Jamani napata taabu kujua hasa nia ya watu hasa wanaume wanaukunywa hiyo bear, je lengo lao ni kupata kilevi au kunywa tu ilimradi. Nimewahi kunywa hizo bear tisa na sikuona mabadiliko yoyote kichwani. Ni laini mno

ushaambiwa light kama unataka beer ngumu kunywa eagle au castle milk ulewe haraka..
 
Mkuu tatizo unakunywa vibia vya wanawake...Wanaume tunakunywa Guiness..Welcome to the Table of Men

Hiyo castle lite nilijaribu siku moja tu na sijarudia tena kwani ilikuwa inachosha tu gegedeo langu kwenda uani mara kwa mara lakini stimu kichwani hamna
 
Kunyweni bavaria 8.6 kwa wanaume wa shoka! Wengine ni wanaume wa biscuti mkiwekwa kwenye maji mnavunjika (C'light)
 
Kila mtu ana sababu yake ya kunywa anachokunywa..
---Wapo wanaotaka kulewa
---Wapo wanaotaka kuburudika tu
---Wapo wanaopenda ladha na harufu ya kinywaji tu(mfano wanaopendelea BALTIKA)
---Wapo wanaofata mkumbo
---Wapo wanaomini kuwa wanavutia au wanajiongezea mvuto ikiwa wataonekana wanakunywa aina fulani ya kinywaji.

Siku moja nilikutana na mzungu bar akawa anashangaa kwanini waAfrika wengi wanatumia pesa nyingi na muda mwingi kunywa bia nyingi na kukaa bar muda mrefu ili tu kulewa, ilhali wanaweza kutumia pesa kidogo kunywa vinywaji vikali na wakalewa haraka hinvyo kutopoteza muda mwingi bar.:behindsofa:

Additional point

- Wengine tunakunywa ili tuongee kiingereza.
 
mara ya kwanza kunywa castle lite sikuzielewa zilivyo laini ila siku hizi ndio kinywaji changuna sitakihama kabisa
 
Castle lite bia moja fresh sana ila ina tatizo moja tu! Ukiwa unapiga show wajerumani au wazungu wanachelewa sana kuja au wanaweza wasije kabisa (nimetumia tafsida!)...mwisho wa siku mwenza anakuwa ameridhika ila wewe unabakia na a serious 'hard-on'..
 
He he kwani lite si bia nyenye ngano kitambi pale pele mkuu zote ni ngano na jamii yake au unafikiri castle lite si bia?

kwa wanywaji sugu hako kachupa cha uhai tu....lol
 
Wale mnaojiuliza kwanini Castle lite, mkizoea kunywa beer mtaona mastimu ya mara kwa mara hayana maana. Tunakunywa c.lite pale unapotaka kureflesh mind. Muda huu niko na LITE ya 4 na niko pekee yangu natafakari mambo ya leo na pia mipangilio ya kesho. Nalamba kitu laini huku kikisindikizwa na muziki wa Les Wanyika (NIMARUU), naona sasa imekuja kitu (SHAURI YAKO uende lote Zena wangu) kwa wale wanaoijua miziki ya zamani watanielewa.

Pia kabia kazuri sana ukitaka kupata mazungumzo na mtu hasa mkiwa mmetulia, siyo kuraruka nusu saa tu.
 
Kumbe wewe ulikunywa BEAR? Sasa tafuta BEER

Jamani napata taabu kujua hasa nia ya watu hasa wanaume wanaukunywa hiyo bear, je lengo lao ni kupata kilevi au kunywa tu ilimradi. Nimewahi kunywa hizo bear tisa na sikuona mabadiliko yoyote kichwani. Ni laini mno
 
Mkuu Castle Lite ni kama
Maji ya kunywa tu... Nadhani hata bei ingeshushwa ingeuZwa bei ya soda.. Katika harusi yangu nimeapa wallahi sitaweka Castle Lite kama vinywaji.. Ni hasara tupu
 
Wazungu wanafiki tu huko kwao tumefika na tumeona wao pia ni walevi tu na baa wanakaa mpaka usiku wa manane

tena walevi umbwaaaa kabisa ma rehab kibao huko kwao,nenda Russia,nenda England tena kunasiku nilisoma kwenye gazeti la the sun eti waingereza walikuwa wanasema kuwa waingerezai wanawaitwa walevi(booze) lakini wao wamarekani ni mabingwa kwa obesity
 
tena walevi umbwaaaa kabisa ma rehab kibao huko kwao,nenda Russia,nenda England tena kunasiku nilisoma kwenye gazeti la the sun eti waingereza walikuwa wanasema kuwa waingerezai wanawaitwa walevi(booze) lakini wao wamarekani ni mabingwa kwa obesity

Unajua ndugu sisi tunadanganywa mengi kuhusu wazungu lakini nadhani sasa muda wa kudanganywa kuhusu hao watu haupo tena. Kuna watu wengine husema wazungu hawali chakula kingi eti kwa vile wamewaona kwenye movie, ngoja wawaone live wanakula hao tena hovyo hata mabarabarani ni kula kula tu
 
Back
Top Bottom