Wanywa castle light

Wanywa castle light

mara ya kwanza kunywa castle lite sikuzielewa zilivyo laini ila siku hizi ndio kinywaji changuna sitakihama kabisa

Aisee mimi ni dume, samahani kukuuliza, je wewe nawe ni dume?
 
Taste and preference is the best assumption of individual who want to maximize his utility
 
Nyie bavichaa, mnaambiwa na Katibu Mkuu wenu, kunywa gongo.
 
Sio kwamba ni wewe tu 'umeshindikana'?
 
Nyie bavichaa, mnaambiwa na Katibu Mkuu wenu, kunywa gongo.

Una hasira na Chadema haijapata tokea!, mimi sio chadema lakini vilevile sitaki chama kimoja kidumu madarakani zaidi ya miaka 15. Kuhusu gongo, haina tofauti na konyagi ila ndio vile tumetekwa na uzungu.
 
kula Castle Phantom achana na lite, vinakumalizia visenti bure
 
Una hasira na Chadema haijapata tokea!, mimi sio chadema lakini vilevile sitaki chama kimoja kidumu madarakani zaidi ya miaka 15. Kuhusu gongo, haina tofauti na konyagi ila ndio vile tumetekwa na uzungu.

Pombe ni pombe, dhumuni lake ni moja, kukulewesha, nasikia kuna nyingine inaitwa pingu, na yeneyewe ni kama nini whiskey?
 
Pombe ni pombe, dhumuni lake ni moja, kukulewesha, nasikia kuna nyingine inaitwa pingu, na yeneyewe ni kama nini whiskey?

Kwani pombe si ndio serikali inapata kodi kubwa. Walevi waheshimiwe na kila mtu
 
Back
Top Bottom