Wanyamwezi nani kawaroga?

Status
Not open for further replies.

Wewe usiwe mpumbafu mtoa mada kaeleza wazi kabisa kwamba huyo msomali hana Qualification za kuwa mbunge Obama anazo qualification za kuwa Rais , qualification anazofaa huyo mbunge ni za maneno maneno, sasa kwali watu wa Tabora wanahitaji mtu wa maneno maneno.
 

wewe ndiye umerogwa ulitaka wamchague mjomba wako.
 
kilichowaloga ni kukubali kujengewa mnara wa busara
 
kwa kujipigia pande uko juu. LOL
Ujue hili ni jukwaa la siasa si LOVE CONNECT

Nyie ndio madada nuksi :doh: ............Wewe si unaona hambohambo anaanza kuelewa somo.
Mwache huyo mtoto ale "mzigo" wa Msukuma wa Kaskazini!
 
Pilipili usoila yakuwashiani sisi tumemchagua na tutaendelea kumchagua unless otherwise abadilike awe na sera ambazo si zetu.mchangia mada na wewe usiwe --------
 
...

....bhing'we bhanadakama mishagi mtindelile sana!!!

....makambo!!! makambo!!! makambo!!!

...bhoswahili swahili do ...changanya no bhobha!!!!
 
Pilipili usoila yakuwashiani sisi tumemchagua na tutaendelea kumchagua unless otherwise abadilike awe na sera ambazo si zetu.mchangia mada na wewe usiwe --------

Mwanyamwezi mmeambiwa kuwa ila kama Tabora mtahitaji mtu wa utapeli tapeli, na brabra, na uswahili mwingi na maneno maneno basi Rage ndiyo anafaa. Na kweli hapo kwenye nyekundu Rage hana mpinzani.

Pili kwenye masomo ya udaktari ukifanya grave mistaske unapigwa mvua yaani anarudia mwaka mmoja maanake umeuwa mgonjwa,sasa nyie wanyamwezi mmfanya grave mistake mbili kwa hiyo mnapigwa mvua mbili kimaenedeleo
 
Nyie ndio madada nuksi :doh: ............Wewe si unaona hambohambo anaanza kuelewa somo.
Mwache huyo mtoto ale "mzigo" wa Msukuma wa Kaskazini!

hahahah, haya bro ngoja nikusaidie kupiga chepeo hadi aone mkurya bila panga si mali kitu.
 
Ila mimi nasema Mungu atuepushe na CHAMA CHA MAJAMBAZI(CCM)maana toka uhuru wametunyonya sana na kuyafanya maisha ya wana-Tabora kuwa magumu sana.
Mwenyezi Mungu atuepushe na WACHAGA, marehemu Baba wa Taifa aliishasema hawa jamaa hawafai ata kidogo, alipowekwa Mzee mbowe kuwa mkurugenzi wa Tra, alijaza wachaga Tra hadi Nyerere akamwamuru astaafu au afukuzwe. si watu hawa jamaa
 

Ah dadaangu wee hiyo mimba ina miezi mingapi haya me naona wa kulaaniwa ni mzungu alotuletea dini ya kusadikika ya sanamu kua mungu
 
Blayi wa Mpwapwa natumai sisi Wasukuma hujatuunganisha na Wasukuma wa Kusini (Wanyamwezi)!! La sivyo shingo yako ni halali yetu!

Chifu, unafahamu historia ya wanyamwezi vyema?

Nikupe dondoo kidogo. Mambo yapo hivi: katika kabila la kinyamwezi, kuna wanyamwezi wa kaskazini (wasukuma) na wanyamwezi wa kusini (wadakama).

Sasa unaposema wasukuma wa kusini ni sawa na kusema wakaskazini wa kusini. Kwani neno 'sukuma' lina maana ya kaskazini!

Soma historia ama uliza kwa akina babu, watakueleza vizuri...

Kama kweli tulitokea (sisi wasukuma) Afrika ya Magharibi, basi hao wadakama waliamua kwenda kuishi maeneo ya Tabora, wakituacha ndugu zao maeneo ya Shinyanga na Mwanza.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…