kisiwapanza
Member
- Jun 27, 2014
- 8
- 0
Hello
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwani umeambiwa Rage ni dereva wa treni, nenda kapige mswaki huko, na uwambie huo ukoo wa Mwanansali watume posa wakupose naona umewapendaIvi Mzee Yunge Mwanansali hakuacha watoto wala wajukuu? habu tafuteni mmoja kati ya hao mmpe kazi., huyo uzalendo wake hautiliwi shaka yoyote atajituma kama. alivyokuwa anajituma yule Mzee nakumbuka wakati wake akiendesha treni za kichwa cha locomotivie makaa yaliisha sehemu za Kitaraka yule mzee aliingia mbugani akakata kuni akachochea treni likaanza kuondoka takaendelea na safari hadi Dodoma ndipo makaa yalipatikana, Huyo Rage anaweza jituma hivo?
ebaeban, hivi Wewe Mbona vita vyako ni kama vile umeshavurugwa na Rage, utuambie kama Rage ana tabia hiyo tusimpe tena kura zetu. Funguka tukusaidieKwa wale wenye kumbukumbu nzuri, huyu Msomali Rage aligombea ubunge hapo Tabora mwaka 1995, katika kura za mapendekezo aliongoza alipata karibu kura zaidi ya 1600 na wa pili alipata kura 800, inasemekana kulikuwa na gari aina ya randrover 109 ilionekana ndani yake kulikuwa na watu wanagawa mlungula, basi gari hiyo ikahusishwa na Rage. Vikao husika wakati huo vilikuwa vinaongozwa na Mwl. Nyerere vikakata jina la Rage asubuhi tu kabla ya saa nne.
Ndio maana Rage mpaka leo hampendi Nyerere kwa maana kwanza alimfukuza kazi akiwa CDA, pili alikata jina lake na kuzuia asigombee ubunge ni hadi hapo yule Mzee alipokufa ndo Rage kapata ubunge.
Na Wanyakyusa na Wasafwa nani kawaroga? Maana wamemchagua Sugu ambae ni kichaa kabisa!!
Naogopa ban ningekupa maneno yako maana humu ukikosoa CDM ni dhambi kubwa tena sana. Yaani watu wanashinikiza ban ati mods mpe ban Shelui! Haya tunapambana hadi mwisho.