life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,037
Dar-Es-Salaam walikaa waarabu na wakawaRithisha jina la kiarabu mbona kuna maendeleo na hata chuoo na mashule waliwajengea?!! NA majina yao bado mnayavaa !! Achaa uzembee Waarabu walikufundisha kuvaa nguo wewe na kujistiri maishani mwako na hiyo lugha unayozungumza na kuandika waarabu wamekufadhili ..hashakum ningeendelea lakini naheshima wanaJf hapa !!Sehemu yoyote iliyokaliwa na watu wageni wengi hasa waarabu, huwa hakuna maendeleo hata kidogo. kazi ni kuwaajili wazawa kwenye garage zao basi na kuwalipa viposho vidogovidogo kila siku na kuwaacha wa-ji-nga vile. wewe fikiria nimeenda pale Tabora school mwaka 2001, hata daladala hakuna, ni baiskeli tu.
Wana hali mbaya sana.
Utani wako peleka huko usihusishe Mwarabu kwa failures zako ... Lala salama na kila la heri.