Wanyamwezi nani kawaroga?

Wanyamwezi nani kawaroga?

Status
Not open for further replies.
Hongera sana Mtani umetupasha tukapashika Mimi nataka kusema wazi kuwa Aliyeturoga ni Mwarabu wakati ule wa Biashara ya Utumwa hapo ndipo mambo yalipoanza kutuharibikia mpaka leo hii hali ni mbaya sana Maendeleo hakuna wala Mwamko haupo watu wanakaa-kaa tu Ki-Mwinyi ni aibu kweli Aden Rage!!!!!!!ni Aibu sana tuombe Mungu atusaidie tuamuke toka Usinginzi tuliolazwa na Waarabu enzi hizo.

Vipi part II ya vita ya Kagera?
 
Wanyamwezi, heri aliyewaroga angekuwepo tungeomba radhi tusamehewe, lakini bahati mbaya alishakufa sasa sie tuliobaki tujitundike tu!
 
Nani kawaroga wanyamwezi?


Blunder wanazofanya wanyamwezi ni za dhahiri mno ni kama vile wamekata tama ya maisha wanangoja wafe tu, uwezo wa kufikiri umeisha kabisa sasa wanafikiria kwa kutumia magoti ndiyo hiyo inapelekea wanafanya grave mistakes.

Grave mistake ya kwanza

Haiyamkiniki kabisa kumchagua Aden Rage kuwa eti mbunge wa Tabora mjini centre ya wanyamwezi, Aden Rage ni msomali,matatizo ya wanyamwezi anayajua mnyamwezi mwenyewe bila kuelezwa na mtu, matatizo ya wasomali anayajua msomali mwenyewe bila kuelezwa na mtu, hapa msije mkaniletea suala la ubaguzi,ni kwamba kila kazi ina qualification,Rage hana qualification za kuwa mbunge wa kabila tukufu kabisa la wanyamwezi wa utemi wa unyanyembwe, ila kama Tabora mtahitaji mtu wa utapeli tapeli, na brabra, na uswahili mwingi na maneno maneno basi Rage ndiyo anafaa. Mnyamwezi mmelinajisi bunge letu kwa kumpitisha huyo kuwa mbunge, ni haki bunge la sasa kuwa halina heshima shauri ya hizo njaa zenu mwanyamwezi.

Grave mistake ya pili.

Ni eti kumtambikia Lowassa kwenye kaburi la Mtemi shujaa Issike Mwanakiyungi,Lowassa hasitahili kabisa heshima kama hiyo yeye siyo rais ,wala waziri mkuu, uwaziri mkuu alijihuhuzuru tena alijihuhuzuru siyo kwa uzuri kwa kashifa nzito, leo eti mnampeleka mtu kama huyo akalinajisi kaburi la shujaa kama Yule kwa lipi alilofanya? ni uvivu wa kufikiri kabisa, kama ni njaa basi mje kwetu Dodoma kuna chakula cha kutosha tuwagawieni kuliko kufanya vitu vya aibu nama hii.

Enyi wanyamwezi msiendekeze njaa zenu, njaa mbaya, njaa ndiyo kuwa inamfanya mtu aazirike haraka sana, njaa zenu zutawauwa.

Mwe jama, hata ninyi wa dodoma si mnao mbunge msomali. Niseme nisiseme? Tena wakweeenu, kapatikana na rushwa ili hesabu za sirikali zisikaguliwe.
 
Blayi wa Mpwapwa natumai sisi Wasukuma hujatuunganisha na Wasukuma wa Kusini (Wanyamwezi)!! La sivyo shingo yako ni halali yetu.

OUT OF TOPIC

Nasikia Wanyamwezi wanakuwekea kikao muda huu!

Mbea wewe mnyamwezi wa North; kikao kwa ajili ya huyu mshamba mla ubuyu? Give us a break; kikao tukifanyacho ni cha mapinduzi ya kweli (kisiasa kwanza halafu kiuchumi), subiri 2015.
 
Unaweza kukuta "alijeruhiwa" na Kaka yako. Muulize vizuri atakwambia

Aise nami nina mashaka hayo hayo; tatizo alifikiri wanyamwezi ni "ndoho tabhu" tu sasa kajuzwa otherwise. LOL
 
Hebu Tuangalie viongozi / Wanaharakati wa kitaifa waliotoka Tabora:

1. Teddy Kaserabantu (RIP) - Bukene
2. Chris KasangaTumbo (PIP) - Sikonge
3. Chief Fundikira (RIP) - Kiparapara - Tabora
4. Mh. Kabeho (RIP) - Nzega

Tabora likukuwa chimbuko la Siasa / Wanasiasa Mahili kama nilivyowataja hapo juu - Ref. mkutano mkuu wa TANU 1958 pia ulifanyika Tabora.
Tabora Chimbuko la Elimu bora katika nchi yetu - Tabora Gils & Boys - miaka ile zikijulikama kama St - Mary's schools, Wanasheria, wanaharakati, Ma-engineer, Wanajeshi wa ngazi za juu pia wametoka katika shule hizi - hata Mwalimu alisoma hapo Tabora.

Hata mimi sielewi tumejikwaa wapi ndugu zangu - tupeni mawazo endelevu badala ya kutubeza, je Kuweka kambi kwa waarabu miaka ya 1800 ndiyo kumeifanya Tabora yetu iliyopo katikati ya Tanzania kuwa na kitabia cha umwinyi- mwinyi? kupiga soga, uvivu, vingenge ya gahawa, fitna nk
 
Nani kawaroga wanyamwezi?


Blunder wanazofanya wanyamwezi ni za dhahiri mno ni kama vile wamekata tama ya maisha wanangoja wafe tu, uwezo wa kufikiri umeisha kabisa sasa wanafikiria kwa kutumia magoti ndiyo hiyo inapelekea wanafanya grave mistakes.

Grave mistake ya kwanza

Haiyamkiniki kabisa kumchagua Aden Rage kuwa eti mbunge wa Tabora mjini centre ya wanyamwezi, Aden Rage ni msomali,matatizo ya wanyamwezi anayajua mnyamwezi mwenyewe bila kuelezwa na mtu, matatizo ya wasomali anayajua msomali mwenyewe bila kuelezwa na mtu, hapa msije mkaniletea suala la ubaguzi,ni kwamba kila kazi ina qualification,Rage hana qualification za kuwa mbunge wa kabila tukufu kabisa la wanyamwezi wa utemi wa unyanyembwe, ila kama Tabora mtahitaji mtu wa utapeli tapeli, na brabra, na uswahili mwingi na maneno maneno basi Rage ndiyo anafaa. Mnyamwezi mmelinajisi bunge letu kwa kumpitisha huyo kuwa mbunge, ni haki bunge la sasa kuwa halina heshima shauri ya hizo njaa zenu mwanyamwezi.

Grave mistake ya pili.

Ni eti kumtambikia Lowassa kwenye kaburi la Mtemi shujaa Issike Mwanakiyungi,Lowassa hasitahili kabisa heshima kama hiyo yeye siyo rais ,wala waziri mkuu, uwaziri mkuu alijihuhuzuru tena alijihuhuzuru siyo kwa uzuri kwa kashifa nzito, leo eti mnampeleka mtu kama huyo akalinajisi kaburi la shujaa kama Yule kwa lipi alilofanya? ni uvivu wa kufikiri kabisa, kama ni njaa basi mje kwetu Dodoma kuna chakula cha kutosha tuwagawieni kuliko kufanya vitu vya aibu nama hii.

Enyi wanyamwezi msiendekeze njaa zenu, njaa mbaya, njaa ndiyo kuwa inamfanya mtu aazirike haraka sana, njaa zenu zutawauwa.
Akili finyu na wivu mwingi, Obama ni mjaluo na anaongoza taifa kubwa duniani na huwezi kusikia native yeyote wa America akimsema kwa asili yake labda tu amseme kwa tu kwa utendaji wake wa kazi, hivi unasubutu kuwatusi wanyamwezi hali yakuwa baba yako ni marehemu Matonya ombaomba. Use your head to think not MA------,Athank
 
Mbea wewe mnyamwezi wa North; kikao kwa ajili ya huyu mshamba mla ubuyu? Give us a break; kikao tukifanyacho ni cha mapinduzi ya kweli (kisiasa kwanza halafu kiuchumi), subiri 2015.

Leo Wasukuma wa Kusini mmepatikana, mkizidiwa mtuite!!
 
kwa sasa bado mi ni hostage siwezi hata kuongea chochote! Nipo icu magrumet niliyorushiwa sina hamu

Now l get it, mizigo ya kaka zangu si ya kitoto; pole na hongera with time utazoea. Nikuletee maembe mabichi?????
 
Nani kawaroga wanyamwezi?


Blunder wanazofanya wanyamwezi ni za dhahiri mno ni kama vile wamekata tama ya maisha wanangoja wafe tu, uwezo wa kufikiri umeisha kabisa sasa wanafikiria kwa kutumia magoti ndiyo hiyo inapelekea wanafanya grave mistakes.

Grave mistake ya kwanza

Haiyamkiniki kabisa kumchagua Aden Rage kuwa eti mbunge wa Tabora mjini centre ya wanyamwezi, Aden Rage ni msomali,matatizo ya wanyamwezi anayajua mnyamwezi mwenyewe bila kuelezwa na mtu, matatizo ya wasomali anayajua msomali mwenyewe bila kuelezwa na mtu, hapa msije mkaniletea suala la ubaguzi,ni kwamba kila kazi ina qualification,Rage hana qualification za kuwa mbunge wa kabila tukufu kabisa la wanyamwezi wa utemi wa unyanyembwe, ila kama Tabora mtahitaji mtu wa utapeli tapeli, na brabra, na uswahili mwingi na maneno maneno basi Rage ndiyo anafaa. Mnyamwezi mmelinajisi bunge letu kwa kumpitisha huyo kuwa mbunge, ni haki bunge la sasa kuwa halina heshima shauri ya hizo njaa zenu mwanyamwezi.

Grave mistake ya pili.

Ni eti kumtambikia Lowassa kwenye kaburi la Mtemi shujaa Issike Mwanakiyungi,Lowassa hasitahili kabisa heshima kama hiyo yeye siyo rais ,wala waziri mkuu, uwaziri mkuu alijihuhuzuru tena alijihuhuzuru siyo kwa uzuri kwa kashifa nzito, leo eti mnampeleka mtu kama huyo akalinajisi kaburi la shujaa kama Yule kwa lipi alilofanya? ni uvivu wa kufikiri kabisa, kama ni njaa basi mje kwetu Dodoma kuna chakula cha kutosha tuwagawieni kuliko kufanya vitu vya aibu nama hii.

Enyi wanyamwezi msiendekeze njaa zenu, njaa mbaya, njaa ndiyo kuwa inamfanya mtu aazirike haraka sana, njaa zenu zutawauwa.

Huyu mgogo ni Mtani wa Mnyawezi ndio mana kaandika haya!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom